< Salamo 5 >

1 O ry Iehovà, toloro ravembia o volakoo; ereñereo o toreokoo.
Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
2 Haoño ty feon-koiko ry Mpanjakako naho Andrianañahareko: Ihe ro ihalaliako.
Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
3 Handro ty hijanjiña’o ty feoko r’Iehovà; Maraindraiñe te honjoñeko vaho hiandra.
Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
4 Tsy mahafale azo ry Andrianañahare ty haratiañe; mbore tsy hañialo ama’o ty haloloañe.
Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5 Tsy hijohañe añ’atrefam-pihaino’o o mpirebodrebokeo; fonga heje’o ze mitolon-draha kafoake.
Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6 Ho rotsahe’o ze mivolam-bande; heje’ Iehovà t’indaty mampiori-dio naho ty mamañahy.
Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
7 Fe naho izaho, i fo ferenaiña’o fonitsey ty himoahako añ’anjomba’o ao, vaho hiambane mb’añ’anjomba’o miavake mb’eo, fa mañeveñ’ ama’o.
Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
8 Ry Iehovà, Iaolò ami’ty hatò’o ty amo mivoñoñe ahikoo; avantaño añatrefako eo ty lala’o.
Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
9 Tsy am-pahitiañe ty vava’ iareo; hatsivokarañe ty an-tro’e ao; kibory misokake o tretra’eo, ie mitsiriry am-pameleke.
Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
10 Ozoño iereo, ry Andrianañahare, hikorovok’ ami’ty fikililia’iareo; soiho añe ami’ty habeim-piolà’iareo amy t’ie niody ama’o.
Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11 Hene hirebeke ze mipalitse ama’o, hiriñariña an-kobaiñe nainai’e; le ampialofo, handia taroba ama’o o mpikoko ty tahina’oo,
Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12 Toe ihe ty mampanintsiñe o vantañeo, ry Iehovà, ohoñe’o fañisohañe hoe te am-pikalan-defoñe.
Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.

< Salamo 5 >