< Salamo 21 >

1 RyIehovà, mirebeke ty haozara’o i mpanjakay; mandia taroba amy fandrombaha’oy.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, mfalme huzifurahia nguvu zako. Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake kwa ushindi unaompa!
2 Fa natolo’o aze ty naìnañ’ arofo’e, le tsy nangazoña’o ama’e o halalin-tsoñi’eo. Selà
Umempa haja ya moyo wake na hukumzuilia maombi ya midomo yake.
3 Salakae’o am-pitahian-tsoa; apo’o añ’ambone’e eo ty sabaka volamena ki’e.
Ulimkaribisha kwa baraka tele na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.
4 Nihalalia’e haveloñe, le natolo’o aze, eka, halava andro kitro añ’afe’e.
Alikuomba maisha, nawe ukampa, wingi wa siku milele na milele.
5 Mañonjoñe ty enge’e o fandreketa’oo, nanampeza’o asiñe naho volonahetse.
Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa, umeweka juu yake fahari na utukufu.
6 Nampiraoraoe’o nainai’e; Ampirebehe’o ami’ty hafaleañe añ’atrefa’o.
Hakika umempa baraka za milele, umemfanya awe na furaha kwa shangwe ya uwepo wako.
7 Iatoa’ i mpanjakay t’Iehovà, ie tsy ho ronjeronjeñe ty amy fiferenaiña’ i Andindimoneñey.
Kwa kuwa mfalme anamtumaini Bwana; kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.
8 Ho onim-pità’o ze hene rafelahi’o; ho takarem-pitàn-kavana’o o malaiñe azoo.
Mkono wako utawashika adui zako wote, mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.
9 Hampanahafe’o ami’ty toñake mirekake iereo an-tsam-piforoforoa’o; hagodra’ Iehovà an-kaviñerañe, vaho ho forototoe’ ty afo.
Wakati utakapojitokeza utawafanya kama tanuru ya moto. Katika ghadhabu yake Bwana atawameza, moto wake utawateketeza.
10 Ho mongore’o an-tane atoy o tarira’ iereoo, naho o tiri’iareoo amo ana’ondatio.
Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani, uzao wao kutoka wanadamu.
11 Nikilily raty azo iereo, nikitroke haratiañe ama’o, f’ie tsy ho lefe,
Ingawa watapanga mabaya dhidi yako na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,
12 Hampiambohoe’o iereo Ampibitsohe’o fale o lahara’eo.
kwa kuwa utawafanya wakimbie utakapowalenga usoni pao kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.
13 Mionjona ry Iehovà an-kaozara’o! Ho saboe’ay naho ho bangoa’ay ty hafatrara’o!
Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako, tutaimba na kusifu nguvu zako.

< Salamo 21 >