< Salamo 2 >
1 Ino ty fidabasida’ o kilakila ondatio, naho ty fikililia’ ondatio raha tsy vente’e.
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 Mijohañe o mpanjaka’ ty tane toio, naho mitrao-kinia o mpifeheo hiatreatre am’ Iehovà naho i Noriza’ey, manao ty hoe:
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 Antao handrafadrafatse o talirandra’ iareoo, le hahimpan-tika o rohi’ iareoo.
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4 Miankahake i mpiambesatse an-dindiñey; mitsikìke iareo t’i Talè.
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5 Fa ho trevohe’e an-keloke, vaho hampinevenevere’e am-pifombo’e:
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6 Toe izaho ty nañoriñe ty Mpanjakako e Tsiône ao amy vohiko miavakey.
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Sokireko ho lily: hoe t’Iehovà amako: Anako irehe, anindroany ty nampiareñako azo.
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 Mihalalia amako le hampandovaeko Azo o fifeheañeo, naho ho fanaña’o o olon-taneo.
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9 Ho pozahe’o am-bodam-by; Hampijeñajeñahe’e hoe siniharam-panao valàñe-tane.
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 Aa le mahihira ry mpanjakao; Mimetea oke ry mpizaka’ ty tane toio.
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 Toroño am-pañeveñañe t’Iehovà, vaho mirebeha am-pineveneverañe;
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 Ondroho i Anakey tsy mone hiviñera’e, vaho hihomak’ an-dalañe ey nahareo; fa mete hisolebatse aniany ty fifombo’e. Hene haha ze mitsolok’ ama’e.
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.