< Salamo 149 >
1 Treño t’Ià. Takasio sabo vao t’Iehovà, ty enge’e ami’ty fivori’ o noro’eo.
Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
2 Hifalea’ Israele i Mpañoreñ’ azey; hirebeha’ o ana’ i Tsiôneo ty Mpanjaka’ iareo.
Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
3 Hibango i tahina’ey an-tsinjake, ho saboe’ iereo am-pititihañe marovany naho kantsàñe.
Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
4 Fa mahafale Iehovà ondati’eo; hampihamine’e fandrombahañe o mirèkeo.
Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
5 Hampipoña-pandrengeañe o noro’eo, hisabo an-kaehak’ an-tihi’iareo eo.
Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
6 Ho am-palie’ iareo ty fañonjonañe an’ Andrianañahare, vaho am-pità’ iareo ty fibara sambe-lela’e,
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
7 hamale fate amo fifeheañeo, naho handilo ondatio,
ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
8 handrohy o mpanjaka’ iareoo an-tsilisily, o roandria’iareoo an-dangoke viñe,
wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
9 hametsahañe am’ iereo i zaka pinatetsey; ho fandrengeañe ze hene noro’e. Treño t’Ià.
ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.