< Salamo 148 >

1 Treño t’Ià. Rengeo t’Iehovà, hirik’an-dindiñe añe, jejò ry an-dikerañeo.
Msifuni Bwana. Msifuni Bwana kutoka mbinguni, msifuni juu vileleni.
2 Treño ry hene anjeli’eo, jejò ry lahialen-dikerañeo.
Msifuni, enyi malaika wake wote, msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.
3 Treño, ry andro naho volañeo, mandrengea aze, ry vasiañe mipelapelatse eñeo.
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.
4 Treño ry likerañe an-tiotiotseo naho o rano ambonen-dikerañeo.
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.
5 Bangoeñe ty tahina’ Iehovà, amy t’ie nandily, le nioreñe iereo.
Vilisifu jina la Bwana kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.
6 Toe noriza’e tsy ho modo nainai’e; nampijadoñe lily tsy ho lilareñe.
Aliviweka mahali pake milele na milele, alitoa amri ambayo haibadiliki milele.
7 Rengeo t’Iehovà boak’ an-tane ry fañane jabajaba an-driak’ ao naho ry laleke iabio,
Mtukuzeni Bwana kutoka duniani, ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,
8 ry helatse naho havandra, fanala naho tsìtsiñe, ry tio-bey mañeneke o tsara’eo,
umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu, pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,
9 ry vohitseo naho ze hene haboañe, o hatae miregoregoo naho o mendoraveñe iabio,
ninyi milima na vilima vyote, miti ya matunda na mierezi yote,
10 ry biby lio naho ze fonga hare, ry biby milalio naho voroñe mitiliñeo,
wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,
11 ry mpanjaka’ ty tane toio naho ze kila ondaty, ry roandriañe naho mpifehe’ ty tane toio,
wafalme wa dunia na mataifa yote, ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,
12 ry ajalahy naho somondrarao, ry androanavy naho ajajao;
wanaume vijana na wanawali, wazee na watoto.
13 Hene mibango ty tahina’ Iehovà; fa i tahina’ey avao ro onjoneñe; ambone’ ty tane toy naho o likerañeo ty enge’e. Ty enge’ o noro’e iabio, o ana’ Israeleo ‘nio, ondaty marine azeo. Treño t’Ià!
Wote na walisifu jina la Bwana, kwa maana jina lake pekee limetukuka, utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.
Amewainulia watu wake pembe, sifa ya watakatifu wake wote, ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake. Msifuni Bwana.

< Salamo 148 >