< Salamo 131 >
1 Sabom-Pionjonañe, a i Davide Ry Iehovà, tsy mirenge ty troko, tsy miandra o masokoo; tsy ahoako o raha loho jabajabao, vaho ze loho sarots’ amako.
Yahwe, moyo wangu haujivuni wala macho yangu hayana kuburi. Sina matarajio makubwa kwa ajili yangu mwenyewe wala kujihofia kwa mambo ambayo yako juu ya uwezo wangu.
2 Toe nampipendreñe naho nampitsiñe ty fiaiko iraho, manahake ty ajaja notaen-drene’e, ie hoe ajaja maota ty fiaiko.
Hakika nimejituliza na kuinyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa na mama yake, nafsi yangu ndani yangu iko kama mtoto aliye achishwa.
3 O ry Israeleo, itamao t’Iehovà henane zao vaho nainai’e.
Israeli, umtumainie Yahwe sasa na hata milele.