< Salamo 120 >
1 Izaho niampoheke, le nikanjy Iehovà, vaho tinoi’e.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 O ry Iehovà, apitsoho an-tsoñin-dremborake ty fiaiko, boak’ ami’ty lela mamañahy.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 Inon-ty homeañ’ azo, ino ka ty hanoeñe ama’o ty lela letra’e tia?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 ana-pale masiom-panalolahy, naho forohan’ andrabey!
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Hankàñe amako te mañialo e Mèseke añe, naho ty fimoneñako an-kiboho’ i Kedàre ao!
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 Loho hatr’ela’e ty nitraofam-piaiko ami’ty kivoho’ o malaim-pilongoañeo.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 Toe mpitea filongoan-draho; fa ie ivolañako, aly avao ty onjone’ iereo.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.