< Salamo 118 >

1 Andriaño t’Iehovà amy te Ie ro soa! nainai’e ty fiferenaiña’e.
Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Anò ty hoe ry Israele: nainai’e ty fiferenaiña’e.
Israeli na aseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
3 Anò ty hoe ry anjomba’ i Aharoneo: nainai’e ty fiferenaiña’e.
Nyumba ya Haruni na iseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
4 Anò ty hoe ry mpañeveñe am’ Iehovà: nainai’e ty fiferenaiña’e.
Wafuasi waaminifu wa Yahwe na waseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
5 Nalovilovy iraho, le nitoreo am’ Ià; nanoiñe ahiko t’Ià, le navotra’e an-gadagadañe eo.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe; Yahwe alinijibu na kuniweka huru.
6 Amako t’Iehovà, tsy ho hemban-draho, ino ty hanoa’ondatio?
Yahwe yuko pamoja nami; sitaogopa; mwanadamu atanifanya nini? Yahwe yuko upande wangu kama msaidizi;
7 Amako t’Iehovà, ­mpañolotse ahiko, le ho sambaeko o malaiñ’ ahio.
nitawatazama kwa ushindi wale walio nichukia.
8 Hamake t’ie mipalitse am’ Iehovà, ta te misazok’ am’ ondatio.
Ni bora kuwa na makazi katika Yahwe kuliko kumtumainia mwanadamu.
9 Kitra’e mitsolok’ am’ Iehovà, ta te mirampy amo roandriañeo.
Ni bora kukimbilia katika Yahwe kuliko kuamini katika wakuu.
10 Hene miarikoboñe ahy o fifeheañeo fe iatoako ty tahina’ Iehovà.
Mataifa yote walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
11 Miarikatok’ ahy iereo, eka, toe misambory amako, fe iatoko ty tahina’ Iehovà.
Walinizunguka; naam, walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
12 Niropak’ amako hoe rene-tantele iereo, f’ie hakipike hoe fatike mirehetse; toe iatoako ty tahina’Iehovà.
Walinizunguka kama nyuki; walitoweka haraka kama moto kati ya miiba; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
13 Nanafasiotse ahy iereo hikorovohako, fe nañimb’ ahy t’Iehovà.
Walinishambulia ili waniangushe, lakini Yahwe alinisaidia.
14 Iehovà ro haozarako naho saboko, ie ro ­fandrombahañe ahy henane zao.
Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu, na ndiye anaye niokoa.
15 Inao ty feom-pirebehañe naho fandrombahañe an-kivoho’ o vañoñeo ao: mavitrike ty fitoloñam-pitàn-kavana’ Iehovà.
Kelele za ushindi zimesikika katika maskani ya wenye haki; mkono wa kuume wa Mungu umeshinda.
16 Mizonjoñe ty fitàn-kavana’ Iehovà; mahimbañe ty fitàn-kavana’ Iehovà.
Mkono wa kuume wa Mungu umetukuka; mkono wa kuume wa Yahwe umeshinda.
17 Tsy hikenkan-draho fa ho veloñe, hataliliko o sata’ Iehovào.
Sitakufa, bali nitaishi na kuyatangaza matendo ya Yahwe.
18 Nanilofe’ Ià am-pandilovan-draho, fe tsy natolo’e an-kavilasy.
Yahwe ameniadhibu vikali; lakini hajaruhusu nife.
19 Sokafo ho ahy o lalam-bein-kavantañañeo, hizilihako, hañandriañako Iehovà.
Unifungulie milango ya haki; nitaingia na nitamshukuru Yahwe.
20 Intoy ty lalam-bei’ Iehovà, hiziliha’o vañoñeo.
Hili ni lango la Yahwe; wenye haki hupitia kwalo.
21 Andriañekoo amy te tinoi’o, fa Ihe ro fandrombahañe ahy.
Nitakushukuru wewe, kwa kuwa ulinijibu, na umekuwa wokovu wangu.
22 I vato nado’ o mpandrafitseoy le fa talèm-batolahy.
Jiwe ambalo wajenzi walilikataa wajenzi limekuwa msingi.
23 Sata’ Iehovà izay, le fiain-tane am-pihainon-tikañe.
Yahwe ndiye afanyaye hili; ni la ajabu machoni petu.
24 Itoy ty andro tsinene’ Iehovà, antao hirebeke naho hifale ama’e.
Hii ni siku ambayo Yahwe ametenda; tutaifurahia na kuishangilia.
25 Ry Iehovà, Ehe, rombaho zahay henaneo! ry Iehovà, Ehe, ampiraoraò henane zao!
Tafadhali, Yahwe, utupe ushindi! Tafadhali, Yahwe, utupe mafanikio!
26 Andriañeñe ty mitotsak’ ami’ty tahina’ Iehovà! mañandriañe azo zahay boak’añ’anjomba’Iehovà ao.
Amebarikiwa yule ajaye katika jina la Yahwe; tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe.
27 Andrianañahare t’Iehovà, Ie ty nanolotse hazavàñe amantika; mireketa reke-tsampañe amo mpamonje sabadidakeo, mivovotse mb’ an-tsifa’ i kitreliy mb’eo.
Yahwe ni Mungu, na ametupa sisi nuru; ifungeni dhabihu kwa kamba pembeni mwa madhabahu.
28 Ihe ro Andrianañahareko, le andriañekoo; Andrianañahareko irehe, ho zonjoñeko.
Wewe ni Mungu wangu, nami nitakushukuru; wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe.
29 Andriaño t’Iehovà amy te ie ro soa! nainai’e ty fiferenaiña’e.
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema; kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

< Salamo 118 >