< Salamo 102 >
1 ie andeme’e vaho mandoa toreo aman’Añahare. Ry Iehovà, janjiño ty halaliko; le ampomb’ama’o ty toreoko.
Sikia maombi yangu, Ee Yahwe; sikia kulia kwangu kwako.
2 Ko aeta’o amako ty lahara’o añ’andron-kaloviloviañe. atokilaño amako ty ravembia’o; malisà hanoiñe ahy ami’ty andro ikanjiako.
Usiufiche uso wako mbali nami wakati wa shida. Unisikilize. Nikuitapo, unijibu upesi.
3 Mihelañe hoe hatoeñe o androkoo; miforehetse hoe an-toñak’ ao o taolakoo.
Kwa maana siku zangu zinapita kama moshi, na mifupa yangu kama moto.
4 Pinaoke hoe ahetse ty troko vaho miheatse toe andikofako ty mitozin-kaneñe.
Moyo wangu umeumizwa na niko kama majani yaliyo kauka. Ninasahau kula chakula chochote.
5 Mipitek’ an-taolako ao ty holiko ty ami’ty volam-piselekaiñako.
Kwa muendelezo wa kuugua kwangu, nimekonda sana.
6 Hoe tangongo am-patrañe añe iraho, hoe vorondolon-dratraratra.
Niko kama mwali wa jangwani; nimekuwa kama bundi magofuni.
7 Mandre an-tsareke iraho; manahake ty tivoke miereñereñe an-tampènake ey.
Ninalala macho kama shomoro faraghani, pekeyake juu ya paa.
8 Mañinje ahy lomoñandro o rafelahikoo; mamàtsy ahiko o mpirengevok’amakoo,
Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; wale wanao nidhihaki hutumia jina langu katika laana.
9 Fa nihaneko hoe ampemba ty lavenoke, vaho linaroko firovetse ty finomako,
Ninakula majivu kama mkate na kuchanganya kinywaji changu kwa machozi.
10 ty ami’ty haviñera’o naho ty fifombo’o, fa rinambe’o iraho le nahifi’o añe.
Kwa sababu ya hasira yako kali, umeniinua juu kunitupa chini.
11 Manahake ty fipononòran-talinjo o androkoo; vaho miheatse hoe boka iraho.
Siku zangu ni kama kivuli kanachofifia, na ninanyauka kama majani.
12 Nainai’e eo irehe ry Iehovà, ty Tahina’o an-tarirats’ an-tariratse.
Lakini wewe, Yahwe, unaishi milele, na kumbukumbu lako ni kwa vizazi vyote.
13 Hiongake irehe hitretre i Tsiône, fa tsatoke te hisohe’o, ie tondroke i nifantañañey.
Wewe utasimama na kuirehemu Sayuni. Sasa ni wakati wa mkurehemu yeye. Wakati ulio teuliwa umefika.
14 No’ o mpitoro’oo o vato’eo; mbore kokoa’ iereo o lembo’eo.
Maana watumishi wako wameyaridhia mawe yake pendwa na kuyaonea huruma mavumbi ya magofu yake.
15 Soa te hañeveña’ o fifeheañeo ty tahina’ Iehovà, naho ze hene mpanjaka’ ty tane toy ty enge’o;
Mataifa wataliheshimu jina lako, Yahwe, na wafalme wote wa nchi watauheshimu utukufu wako.
16 fa nitratrañàhe’ Iehovà ty Tsiône ie niboak’ amy enge’ey.
Yahwe ataijenga tena Sayuni na ataonekana katika utukufu wake.
17 Nihaoñe’e ty halali’ o poi’eo; vaho tsy niambohoa’e ty toreo’ iareo
Wakati huo, atajibu maombi ya fukara; hatayakataa maombi yao.
18 Ho patereñe ho a ty tariratse mandimbe, soa te handrenge Ià ondaty mboe tsy nanoeñeo:
Hii itaandikwa kwa ajili ya vizazi vijavyo, na watu ambao bado hawajazaliwa watamsifu Yahwe.
19 Nivazohoe’e boak’an-toe’e masiñe ankaboañ’ añe, nisary ty tane toy boak’ an-dikerañe eñe t’Iehovà,
Maana ametazama chini toka mahali pa juu patakatifu;
20 hijanjiñe ty fiñeoñeom-pirohy, hañaha o nafatse havetrakeo
Toka mbinguni Yahwe ameiangalia nchi, ili kusikia kuugua kwa wafungwa, kuwafungua waliohukumiwa kufa.
21 soa te ho talilie’ ondaty e Tsiône ao ty tahina’ Iehovà, naho ty enge’e e Ierosalaime ao,
Kisha watu watalitangaza jina la Yahwe katika Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu
22 ie mifanontoñe ondatio, naho o fifeheañeo hitoroñe Iehovà.
pindi mataifa na falme watakapokusanyika pamoja kumtumikia Yahwe.
23 Nado’e deme’e iraho añivon-dalañe eo; nitomore’e o androkoo.
Amechukua nguvu zangu katikati ya siku zangu za kuishi, amezifupisha siku zangu.
24 Hoe iraho, Ry Andrianañahareko, ehe, ko ampisintahe’o añivo’ o androkoo iraho; mitakatse ze kila tariratse o tao’oo.
Nilisema, “Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu; wewe uko hapa hata kizazi chote.
25 Haehae irehe ro nañoreñe ty tane toy, satam-pità’o o likerañeo.
Tangu zama za kale wewe uliiweka nchi mahali pake; mbingu ni kazi ya mikono yako.
26 Ho momoke iereo, fa nainai’e eo irehe; fonga hikoneatse hoe sikiñe hambo’e, ampilimbeze’o hoe sarimbo vaho ho vaoe’o iereo.
Mbingu na nchi zitaangamia lakini wewe utabaki; zitachakaa kama mavazi; utaziondoa kama watu waondoavyo mavazi yaliyo chakaa, nazo hazitaonekana tena.
27 Fe tsy mihotike irehe, tsy mbia higadoñe o tao’oo.
Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitakuwa na mwisho.
28 Le lia’e ho eo o anam-pitoro’oo, le hijadoñe añatrefa’o eo o tiri’eo.
Watoto wa watumishi wako wataendelea kuishi, na uzao wao utaishi katika uwepo wako.