< Ohabolana 9 >

1 Fa nandranjy i akiba’ey t’i Hihitse, fa rinamerame’e i faha’e fito rey.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 Fa nandenta, fa linaro’e ty divai’e, fa hinalanka’e i fandambaña’ey.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 Fa nirahe’e o anak’ampata’eo, hikaike boak’ an-digiligin-kaboa’ i rovay ey.
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 O ry tahitahiñe, mitsilea mb’etoa! le hoe re amy seretsey,
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 Mb’etoa ikamao o hanekoo naho inomo i divay linarokoy,
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Apoho ty hagegeañe naho miveloma, mañaveloa an-dalan-kilala.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Mizò inje ty mañendake mpanivetive; tendreke joy ty mitrevoke ty lo-tsereke.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Ko mañendake ty mpamokafoka hera halaiñ’azo; Trevohe’o ty mahihitse le hikokoa’e.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Anaro o mahihitseo le hiha-mahihitse avao; ampandrendreho ty vantañe le hitombo an-kilala.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 Ty fañeveñañe am’ Iehovà ro fifotoran-kihitse, vaho ty fahafohinañe i Masiñey ro faharendrehañe.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 Izaho ty fampitomboañe o andro’oo, fampitompeañe taoñe o havelo’oo.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 Ie mahihitse, hañimbañ’ azo i hihitsey; Ihe manivetive ty hivave izay.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 Mamantsiñe ty rakemba gege, ie tsotra tsy mahafohin-draha,
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 Mitobok’ an-dalam-bein-akiba’e eo, am-pitobohañe amo haboa’ i rovaio,
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 mikaike ze miary eo, amo mañavelo an-kavantañañeo:
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 O ry trentrañeo, mitsilea mb’etoa! le hoe re amy tsy aman-kilalay:
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 Mamy ty rano nikamereñe, vaho mafiry ty mofo kamaeñe añ’etak’ ao.
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 Fe tsy apota’e te lolo ty ao, te an-tsikeokeok’ ao o nampihovae’eo. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Ohabolana 9 >