< Ohabolana 6 >
1 O anake, ie nampipok’ antoke am’ondatio, lehe nañoho-pitàñe hitsoake ty ambahiny,
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
2 ie finandri’ ty entan-tsoñi’o, vinandibandi’ ty fireham-bava’o,
kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
3 Ano zao, ty anake toke: Mivotsora, ie fa nihotrak’ am-pità’ ondatio: akia, mireha ama’e, imaneo halaly indatiy!
basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ukajinyenyekeshe kwake; msihi jirani yako!
4 Ampifoneño roro o maso’oo, tsy hidrodreke o vohomaso’oo.
Usiruhusu usingizi machoni pako, usiruhusu kope zako zisinzie.
5 Mibolitira hoe hirañe an-tañañe, naho hoe kibo am-pitàm-pikehe.
Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji, kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.
6 Akia mb’ami’ty vitike, ry tembo, haraharao o sata’eo vaho mahihira!
Ewe mvivu, mwendee mchwa; zitafakari njia zake ukapate hekima!
7 Ie tsy amam-pifehe, tsy amam-pisary, tsy amam-pandily,
Kwa maana yeye hana msimamizi, wala mwangalizi, au mtawala,
8 fe kotepè’e ami’ty asara ty hane’e, vaho atonto’e am-pitatahañe o lintse’eo.
lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
9 Pak’ ombia irehe te mbe hitozoke, ty mpitsorotake tia? Ombia t’ie hitroatse amy firoroa’o?
Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?
10 Mikonkòñe kedeke, miroro tsi-ampe, mifehefare hitofa’o heike:
Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
11 le hiambotraha’ ty hararahañe hoe malaso, vaho ty hapoiañe hoe lahifihaty.
hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.
12 Ty lahi-tembo naho i lahiaga: i mpañariok’ am-bava vìlañey,
Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu,
13 ami’ty maso mipie, an-tomboke mitsao tane, an-drambo-taña manondrotondro,
ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
14 ie am-pikitrohan-draty an-tro’e nainai’e, ro mbore mikilily, mitolom-pamitse fifalaiñañe;
ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.
15 Aa le, hiambotraha’ ty hankàñe ami’ty manao zao le ho demoke tsy lefe jangañeñe.
Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula; ataangamizwa mara, pasipo msaada.
16 Eneñe ty raha heje’ Iehovà, Eka, fito ro tiva ama’e:
Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
17 ty fihaino mievoñevoñe, ty fameleke mandañitse, ty fitàñe mampiori-dio-maly,
macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
18 ty troke mikitro-karatiañe, ty fandia mifajifajy mb’an-katsivokarañe,
moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,
19 ty mpitalily vilañe, mikofòke lañitse, naho ty mampiboele fifankalaiñañe an-drolongo’e.
shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.
20 O anake, ambeno ty lilin-drae’o, vaho ko apo’o ty fañòhan-drene’o.
Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 Ifeheo an-tro’o ao nainai’e; rohizo am-bozo’o eo.
Yafunge katika moyo wako daima, yakaze kuizunguka shingo yako.
22 Hiaoloa’e te mijelanjelañe, ie màndre, hambena’e; tsekake le ivesovesoa’e.
Wakati utembeapo, yatakuongoza; wakati ulalapo, yatakulinda; wakati uamkapo, yatazungumza nawe.
23 Toe failo o lilio, naho hazavàñe t’i Hake, vaho lalan-kaveloñe o endake fanoroañeo.
Kwa maana amri hizi ni taa, mafundisho haya ni mwanga na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,
24 Hikalañe azo tsy homb’ amy tsimirirañey, ami’ty lela-malama’ i karapiloy.
yakikulinda na mwanamke aliyepotoka, kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.
25 Ko irie’o an-troke ty hamontramontra’e, asoao tsy ho tsepahe’ ty vohomaso’e.
Moyo wako usitamani uzuri wake wala macho yake yasikuteke,
26 Vonga-mofo ty tamben-tsimirirañe, fa naho vali’ ondaty, le i fiaiñe sarotsey ty itsindroha’e.
kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini, hata ukose kipande cha mkate, naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.
27 Naho otroñe’ ondaty añ’araña’e ao ty afo, tsy hirehetse hao ty saro’e?
Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake bila nguo zake kuungua?
28 Mete lia’ondaty hao ty vae mirekake, tsy hahamae’ o fandia’eo?
Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka bila miguu yake kuungua?
29 Izay ty fifandian-tihy ami’ty vali’ ondaty: tsy mete tsy liloveñe ty mitsapa aze.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine; hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.
30 Tsy injè’ ondatio ty mpampikametse te mikizo hampahaeneñe ty fiai’e saliko,
Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
31 fa ndra ie, naho tsepake, ro hañavake im-pito, fonga hondroha’e ze vara añ’akiba’e ao.
Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.
32 Akore ty hagegea’ ty mañarapilo an-drakemba: fa sata’ ty handrotsa-batañe.
Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
33 Vono-troboke naho hasalarañe ty ho zoe’e, vaho tsy ho faopaoheñe ka i inje’ey.
Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;
34 Mampiforoforo ondaty ty famarahiañe, tsy hapo’e amy andro hamalea’e fatey.
kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.
35 Tsy handrambesa’e ondroke, tsy mahatèke aze t’ie ampitoboroñan-dravoravo.
Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.