< Filipiana 4 >
1 Ie amy zay, ry longo-sarotse tamaekoo! ty haehako naho sabakan-drengeko, mijohaña amy Talè, ry rañeko.
Kwa hiyo wapendwa wangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa.
2 Mihalaly amy Eodiae iraho naho mihalaly amy Sintikee t’ie hiharo-rehake amy Talè.
Ninakusihi wewe Eudia, pia ninakusihi wewe Sintike, mrejeshe mahusiano ya amani kati yenu, kwa sababu ninyi, nyote wawili mliungana na Bwana.
3 Eka, ry longo-sarotse, ehe imbao i nindre nifanehake amako amy talili-soay rey, naho i Klementa, naho o mpitrao-toroñe amako ila’eo, ie fa misokitse am-boken-kaveloñe ao o tahina’eo.
Kwa kweli, niwasihi pia ninyi watenda kazi wenzangu, muwasaidie hawa wanawake kwa kuwa walitumika pamoja na mimi katika kueneza injili ya Bwana tukiwa na Kelementi pamoja na watumishi wengine wa Bwana, ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
4 Mirebeha nainai’e amy Talè. Indraeko ty hoe: mañonjona kobaiñe!
katika Bwana siku zote. tena nitasema, furahini.
5 Ee te ho rendre’ ze kila ondaty ty hatsò-tro’areo. Fa marine t’i Talè.
Upole wenu na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.
6 Ko emberen’ inoñ’ inoñe fe amy ze he’e, am-pilolofañe naho halaly mitraofa fañandriañañe, le ampahafohino an’ Andrianañahare o fisalalà’ areoo,
Msijisumbue kwa jambo lolote. Badala yake, fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kusali, kuomba na kushukuru. Na mahitaji yenu yajulikane kwa Mungu.
7 le ty fañanintsin’ Añahare milikoatse ze hene fohiñe abey ro hañambeñe o arofo naho fitsakorea’ areoo am’ Iesoà Norizañey.
Basi amani ya Bwana iliyo kuu kuliko ufahamu wote, italinda mioyo na mawazo yenu kwa msaad Kristo Yesu.
8 Honka’e ry longo, ze atao hatò, ze hene havañonañe, ze mahity, ze hiringiri’e, ze fanjàka, vaho ze soa talily; naho eo ty talango’e, naho eo ty mañeva renge—imoneño.
Hatimaye, ndugu zangu; yatakafarini sana mambo yote yenye ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, na yale yenye taarifa njema, yenye busara, pamoja na yale yanayohitaji kusifiwa.
9 Le anò o nirendreke naho rinambe naho jinanjy vaho nioni’ areo amakoo, aa lonike te ho ama’ areo t’i Andrianañaharen-kanintsiñe.
Yatekelezeni mambo yale mliojifunza, mliyopokea mliyoyasikia na yale mliyoyaona kwangu naye Baba yetu wa amani atakuwa nanyi.
10 Akore ty firebehako amy Talè kanao nivaòeñe indraike ty fiatraha’ areo ahy henaneo, toe fa ela, ie ho nanoe’ areo avao, fe tsy nahatafetetse heike.
Ninayo furaha kubwa sana juu yenu katika Bwana kwa kuwa ninyi mmeonyesha tena nia ya kujihusisha kwenu juu ya mahitaji yangu. Kwa kweli, hapo awali mlitamani kunijali kwa mahitaji yangu japo hamkupata fursa ya kunisaidia.
11 Tsy te mipay t’ie nitaroñeñe, fe nioke tsy hieren-draho ndra inoñe ty mizo;
Sisemi hivyo ili kujipatia kitu kwa ajili ya mahitaji yangu. Kwani nimejifunza kuridhika katika hali zote.
12 Mahazats’ ahy te poie’e, haiko t’ie anjañe. Aa ndra aia’ aia, naho aman’ inoñ’ inoñe le fa niòke, ke te vontsy he saliko, ke mpañarivo he rarake,
Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa na pia katika hali ya kuwa na vingi. Katika mazingira yote haya mimi nimejifunza siri ya namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhihtaji.
13 ho tafetereko ze he’e añamy Mpampaozatse ahikoy.
Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na Yeye anitiaye nguvu.
14 Fe, soa i nanoe’ areoy, t’ie nitraoke amy faloviloviakoy,
Hata hivyo, mlifanya vyema kushiriki nami katika dhiki zangu.
15 le fohi’ areo ka, ry nte-Filipio, t’ie niakatse i Makedonia añe naho namototse nitaroñe i talili-soaiy, le tsy eo ty Fivory namahañ’ ahy ndra an-tolotse ndra rambe, naho tsy inahareo avao.
Ninyi wafilipi mnafahamu kwamba mwanzo wa injili nilipoondoka Makedonia, hakuna Kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi pekee yenu.
16 Eka ie te Tesalonika añe, tsy indraike avao ty nañitrifa’ areo o nipaiakoo.
Hata nilipokuwa Thesaslonika, ninyi mlinitumia msaada zaidi ya mara moja kwa ajili ya mahitaji yangu.
17 Tsy t’ie mipay falalàñe, fa i vokatse haroroñe amy rake’ areoiy.
Simaanishi kwamba natafuta msaada. Bali nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu.
18 Le hene rinambeko ami’ty hapea’e, toe nahaeneñe vaho nahaàtseke, toe rinambeko amy Epafrodito o nahitri’ areoo; hañitse marifondrifoñe, soroñe mañeva naho sitran’ Añahare.
Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi. Nimepokea vitu vyenu kutoka kwa Epafradito. Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithiri ya manukato, vyenye kukubalika ambavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu.
19 Aa le hatsafen’ Añahareko ama’areo abey ze hene ipaiañe amy vara’e lifots’ engeñe am’ Iesoà Norizañeiy.
Kwa ajili hiyo, Mungu wangu atawajazeni mahitaji yenu kwa utajiri wa utukufu wake katikaYesu Kristo.
20 Aa ie henaneo, aman’ Añahare Raentika ty engeñe nainai’e donia, Amena. (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
21 Añontaneo ze hene noro’e am’ Iesoà Norizañey. Mañontane anahareo o rolongo amako atoio.
Salamu zangu zimfikie kila muumini katika Kristo Yesu. Wapendwa nilio nao hapa wanawasalimieni.
22 Salamae’ o noro’e iabio, àntsake o añ’anjomba’ i Kaisarao.
Pia waumini wote hapa wanawasalimieni, hususani wale wa familia ya Kaisari.
23 Ho ami’ty arofo’ areo abey ty hasoa’ Iesoà Talè Norizañey.
Na sasa neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu.