< Nomery 33 >

1 Zao o fangem-pañaveloa’ o ana’ Israeleo te niavotse an-tane Mitsraime añe am-pivovoran-dahindefoñe ambane’ ty fehe’ i Mosè naho i Aharoneo.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 Sinoki’ i Mosè o fiorotan-dia’ iareo ki-fange-fange’e ami’ ty lili’ Iehovào; le zao o fange’eo ty amo toe-piengà’eo.
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 Nenga’ iareo ty Ramesèse ami’ ty volam-baloha’e, ami’ty andro faha folo-lime’ ambi’ i volam-baloha’ey; ami’ty andro nanonjohy i Fihelañ’ Ambone’ o ana’ Israeleoy ty niavota’ iareo an-kavokavoke am-pahaisaha’ o nte-Mitsraime iabio,
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 naho nandeveñe o tañoloñoloña’e iabio o nte-Mitsraimeo, o nipaohe’ Iehovà añivo’ iereoo, vaho nametsaha’ Iehovà zaka o ndrahare’ iareoo.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 Aa le nienga i Ramesese o ana’ Israeleo naho nitobe e Sokòte;
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 nienga i Sokòte vaho nitobe Etàme añ’olo’ i fatrambeiy.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 Nionjoñe boak’ Etàme le niolake mb’e Pihakiròte atiñana’ i Baale-Tsefòne mb’eo vaho nitobe marine i Migdòle.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Ie nenga i Pihakirote, le nisoroke i riakey naho nañavelo telo andro am-patrambey Etame vaho nitobe e Marà.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 Nenga’ iareo ty Marà le nipotìtse e Elime ao; aman-drano manganahana folo roe-ambi’ ty Elime naho satrañe fitompolo vaho nitobeañe.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 Ie nienga i Elime le nitobe añ’ olo’ i Ria-Binday,
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 nienga i Ria-Binday le nitobe ampatrambei’ i Sine,
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 niavotse i fatrambei’ i Siney le nitobe e Dofkà,
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 nienga i Dofkà le nitobe e Alòse,
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 nienga i Alòse vaho nitobe e Refidìme, f’ie tsy aman-drano ho kamae’ ondatio.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 Ie nienga i Refidime le nitobe am-patrambei’ i Sinay,
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 ni­enga i Fatrambey Sinay vaho nitobe e Kibròtatahavà.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 Ie nienga i Kib­ròtatahavà le nitobe e Katseròte,
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 nienga i Katseròte le nitobe e Ritmà,
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 nienga i Ritmà le nitobe e Rimòne Pèretse,
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 nienga i Rimòne Pèretse le nitobe e Libnà,
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 nienga i Libnà le nitobe e Risà,
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 nienga i Risà le nitobe e Kehelàta,
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 nienga i Kehelàta le nitobe e Vohi-Sèfere,
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 nienga i Vohi-Sè­fere le nitobe e Karadà,
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 nienga i Karadà le nitobe e Makelòte,
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 nienga i Makelòte le nitobe e Tàkate,
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 nienga i Tàkate le nitobe e Tèrake.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 nienga i Tèrake le nitobe e Mitkà,
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 nienga i Mitkà le nitobe e Khasmonà,
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 nienga i Khasmonà le nitobe e Moserà,
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 nienga i Moserà le nitobe e Benè’ià’akàne,
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 nienga i Benè’ià’akàne le nitobe e Kore Hagid’gàde,
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 nienga i Kore Ha­gidgàde le nitobe e Iotbàta,
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 nienga i Iotbàta le nitobe e Ebranà
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 nienga i Ebranà le nitobe e Etsiòne Gèbere,
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 nienga i Etsiòne Gèbere vaho nitobe am-patrambei’ i Tsine, atao ty hoe Kadàse.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 Ie nienga i Kadàse le nitobe e Vohi-Hore añ’olon-tane’ i Edome.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 Niañambone’ i Vohi-Hore mb’eo t’i Aharone mpisoroñe ami’ty lili’ Iehovà vaho nihomake eo ami’ty taoñe fah’efa-polo’ niavota’ o ana’ Israeleo an-tane Mitsraime ami’ty andro valoha’ i volam-pahalimey.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Ni-zato-tsi-roapolo taoñe telo’ amby t’i Aharone te nivilasy ambone’ i Vohi-Hore eo.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 Jinanji’ ty mpanjaka’ i Arade nte-Kanàne mpimoneñe atimo an-tane Kanàne ao te nomb’ ama’e mb’eo o ana’ Israeleo.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 Aa le niavotse nitobe e Tsalmonà añe iereo.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 Ie nienga i Tsalmonà le nitobe e Ponòne.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 Ie nienga i Ponòne le nitobe e Obòte.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 Ie nienga i Obòte le nitobe e Ièha Aba­rìme añ’efe-tane’ i Moabe.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 Nenga’ iareo t’Iìme vaho nitobe e Dibone-Gade.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 Ie nienga i Dibone-Gade le nitobe e Almone-Diblataième.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 Ie nienga i Almone-Diblataième le nitobe amo vohi’ i Abarìmeo aolo’ i Nebò.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 Ie nienga i am-bohi’ Abarìmeo le nitobe a montombei’ i Moabe añ’olo’ Iardeney tandrife Ierikò.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 Nitobe marine Iardeney iereo, mifototse e Bete’ ha’ Iesimòte pak’añ’Ala-Roi’ i Abele a montombei’ i Moabe añe.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 Aa le nitsara amy Mosè t’Iehovà a montombei’ i Moabe añ’ olo’ Iardeney tandrife’ Ierikò eo, nanao ty hoe:
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 Taroño amo ana’ Israeleo ty hoe: Ie mitsake Iardeney mb’an-tane Kanàne mb’eo,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 le fonga hanoe’ areo soike ze mpimoneñe amy tane aolo’ areoy, arotsaho o vato-sinoki’e iabio, ampiantò o sare tineno’ iareo iabio le demoho o tamboho’ iareo iabio;
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 ho tavane’ areo i taney vaho himoneñe ao, amy te natoloko anahareo i taney ho fanañañe.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 Le ho zarae’ areo an-tsapake i taney ho lova’ o hasa­vereña’ areoo; ty maro ho tolora’ areo lova bey, le ty tsy ampe ho tolora’ areo lova kede; ze nitsatoha’ i tsapakey ty ho fanaña’ indatiy ho lova’e; ty amo fifokoañeo ty anjarañe aze.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 Fa naho tsy hatao soike aolo’ areo mb’eo o mpimoneñe an-taneo le ho fatik’ am-pihaino’ areo, naho fitsipok’ an-deme’ areo o nisisa’ areo ama’eo, vaho hitsibore anahareo an-tane himoneña’ areo ao.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 Le hanoeko ama’ areo i sinafiriko hanoeñe am’ iareoy.
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”

< Nomery 33 >