< Nomery 22 >
1 Nionjom-beo o ana’Israeleo nitobe an-tanemira’ i Moabe alafe’ Iardene tandrife Ierikò ey.
Watu wa Israeli wakasafiri mpaka wakaweka kambi kwenye uwanda wa Moabu karibu na Yeriko, kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule.
2 Ie amy zao hene nioni’ i Balak’ ana’ i Tsipore i nanoe’ Israele amo nte-Emoreoy.
Balaki mwana wa Zippori aliona yote ambayo Israeli aliwafanyia Waamori. Moabu aliogopa sana hao watu kwa sababu walikuwa wengi sana,
3 Aa le nirevendreveñe am’ondatio t’i Moabe kanao ninihanìha ty hamaro’e; le nanembetse i Moabe o ana’ Israeleo.
na Moabu alIwahofia wana wa Israeli.
4 Aa le hoe ty Moabe amo roandria’ i Midianeo, Fonga ho tselà’ i lahialeñey ze mañohoke an-tika manahake ty famelehan’ añombe o ahetse an-kivok’ ey. Mpanjaka’ o nte-Moabeo henane zay t’i Balak’ ana’ i Tsipore.
Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani, “Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho na maksai hula nyasi za kondeni.” Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu.
5 Le nampisangitrife’e mb’amy Balame ana’ i Beore e Petore añolon-tsaka’ an-tanen-te-Arame añe ty irake hikanjiy aze ami’ty hoe: Inao, nivotrake boake Mitsraime añe t’indaty; hehe t’ie manitsike ty ambone’ ty tane toy vaho mitobe marine ahiko etoa.
Akatuma wajumbe kwenda kwa Balamu mwana wa Beori, kule Petho ambayo iko karibu na mto Frati, katika nchi ya taifa lake na watu wake. Akamwita na kumwambia, “Tazama, Kuna taifa ambalo wamekuja hapa tokea Misiri. Wanafunika uso wa dunia na sasa wananifuatia mimi.
6 Mb’etoa aniany koahe, ozoño ho ahy ondatio, ie manjofake te amako. Hera ho gioheko le ho soiheñe hiakatse an-tane atoy, fa apotako te soa tata o tatae’oo vaho fatran-tane o ozoñe’oo.
Tafadhali naomba uje unilaanie hili taifa, kwa sababu wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwavamia na kuwafukuza watoke katika nchi yangu. Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa.”
7 Aa le niavotse mb’eo o roandria’ i Moabeo naho o roandria’ i Midianeo reketse ty saram-pamorehañe am-pitàñe vaho niheo mb’amy Balame mb’eo ninday ty nisaontsia’ i Balake.
Kwa hiyo wazee wa Moabu na wale wa Midiani wakaondoka, pamoja nao wakachukua malipo ya uganga. Wakafika kwa Balaamu wakamwambia maneno ya Balaki.
8 Le hoe re tam’ iereo, mialeña atoy te anito, le hañerem-bolañ’ ama’ areo iraho, ze ho tsarae’ Iehovà amako. Aa le nialeñe amy Balame ao o roandria’ i Moabeo.
Balaamu akawaambia, “Bakini hapa usiku wa leo. Kesho nitawaletea atakachoniambia BWANA.” Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakabaki na Balaamu kwa usiku huo.
9 Niheo mb’amy Balame t’i Andrianañahare nanao ty hoe: Ia ondaty mitraok’ ama’oo?
Mungu akaja kwa Balaamu na kumwambia, “Ni akina nani hawa waliokuja kwako?”
10 Le hoe t’i Balame aman’ Añahare, Nampañitrike ty saontsy toy amako t’i Balak’ ana’ i Tsipore:
Balaamu akamjibu Mungu, “Balaki mwana wa Zippori, Mfalme wa Moabu amewatuma kwangu. Alisema,
11 Heheke ondaty hirike Mitsraime añeo: tsitsihe’ iareo ty ambone’ ty tane toy; aa le mb’etoa irehe, ozoño ho ahiko; hera hahalefeako aly vaho haronjeko añe.
'Tazama hawa watu waliotoka Misri wanafunika uso wa nchi yangu. Sasa naomba uje unilaanie hawa watu. Labada nitaweza kuwa kuwashinda na kuwafukuza.'”
12 Le hoe t’i Andrianañahare amy Balame, Tsy hindreza’o fañaveloañe; tsy hozoñe’o ondatio fa soa-tata.
Mungu akamjiu Balaam, “Usiambatane na hao wanaume. Na usiwalaani hawa wana wa Israeli kwa sababu wamebarikiwa.”
13 Aa le nitroatse maraiñe t’i Balame nanao ty hoe amo roandria’ i Balàkeo, Mimpolia mb’ an-tane’ areo añe, amy te nifoneñe t’Iehovà tsy nañomey ahy lily hindrezako.
Balaamu akaamka asubuhi na kuwaambia wale viongozi wa Balaki, “Rudini nchini kwenu kwa sababu BWANA amenikataza kuambatana nanyi.”
14 Aa le niongake o roandria’ i Moabeo nimpoly mb’ amy Balàke mb’eo, nanao ty hoe: Tsy nimete nindre ama’ay t’i Balame.
Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakaondoka na kurudi kwa Balaki. Wakamwambia, “Balaamu amekataa kuambatana nasi.”
15 Nañitrik’ ana-donake indraike t’i Balake, ondaty maro naho ambone’ lohàñe te amo teoo.
Balaki akatuma viongozi wengine waliokuwa wanaheshimiwa zaidi kuliko kundi lile la awali.
16 Aa le niheo mb’ amy Balame mb’eo indaty rey nanao ty hoe, Hoe t’i Balak’ ana’ i Tsipore, Ko anga’o ndra inoñ’ inoñe ty hisebañe azo tsy homb’ amako mb’etoa;
Wakaja kwa Balaamu na kumwambia, “Balaki mwana wa Zippori anasema hivi, 'Tafadhali hebu kitu chochote kisikuzuie kuja kwangu,
17 toe ho rengèko vaho hanoeko ze saontsia’o. Aa le miambane ama’o t’ie homb’etoa hañozoñe ondatio ho ahiko.
kwa sababu nitakulipa malipo mazuri sana na kukupa heshima kubwa, nami nitakufanyia chochote utakachoniambia. Tafadhali sana uje unilaanie hawa watu.'”
18 Le hoe ty natoi’ i Balame amo mpitoro’ i Balakeo, Ndra te natolo’ i Balak’ amako ty anjomba’e pea volafoty naho volamena le tsy mete handilatse ty tsara’ Iehovà Andrianañahareko iraho hanao ndra inoñ’ inoñe ke t’ie bey he kede.
Balaamu akawajibu watu wa Balaki akawaambia, “Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA, Mungu wangu na kufanya pungufu au zaidi ya kile anachoniambia.
19 Aa le mialeña amako etoa manahake ty nanoe’ o ila’eo haharendrehako ze tsara hatovo’ Iehovà amako.
Sasa basi, tafadhali subirini hapa usiku wa leo pia, ili kwamba nipate kujifunza kitu zaidi ambacho BWANA ananiambia.”
20 Le niheo mb’ amy Balame amy haleñey t’i Andrianañahare nanao ty hoe ama’e, Aa naho nimb’ama’o mb’ atoy ondatio hikanjy azo, miavota naho indrezo; fe ze entañe hatoloko azo avao ty hanoe’o.
BWANA akaja kwa Balaamu usiku ule na kumwambia, “kwa kuwa hawa watu wamekuja kukuita, inuka uende nao. Lakini utafanya tu kile nitakachokuambia kufanya.”
21 Aa le nañaleñaleñe t’i Balame nanampe fitobohañe amy borìke’ey, vaho nitrao-dia amo androanavi’ i Moabeo.
Balaamu akainuka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na viongozi wa Moabu.
22 Fe nampamiañe ty haviñeran’ Añahare i fañavelo’ey, vaho nijohañe hikalañe i lala’ey ty Anjeli’ Iehovà, hiatreatrea’e hoe rafelahy. Ie amy zao niningitse borìke naho nindre ama’e ty mpitoro’e roe.
Lakini kwa sababu alienda, hasira za Mungu zikawaka. Malaika wa BWANA akasimama barabarani kama adui wa Balaamu, aliyekuwa akimpanda yule punda. Watumishi wawili wa Balaamu walikuwa pamoja naye.
23 Nahatrea i Anjeli’ Iehovày nijohañe an-dalañe ey reketse fibara natsoak’ am-pità’e i borìkey, le nivioñe amy lalañey i borìkey nitsile mb’an-tetek’ ao, le finofo’ i Balame ty lafa hampibalik’ aze mb’amy lalañey.
Yule punda alimwona yule malaika wa BWANA akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Yule punda akageuka na kwenda shambani. Balaamu akampiga yule punda ili arudi barabarani.
24 Le nijohañe ami’ ty zitse añivo’ ty tanem-bahe roe ey i Anjeli’ Iehovày, ty kijoly etia naho ty kijoly etia.
Sasa malaika wa BWANA akasimama kwenye njia nyembamba katikati ya mashamba ya mizabibu, na kushoto kwake kulikuwa na ukuta.
25 Ie nitrea’ i borìkey i Anjeli’ Iehovày le nioza amy rindriñey, vaho nanindry ty kitso’ i Balame amy rindriñey, aa le linafa’e indraike.
Yule punda akamwona yule malaika wa BWANA tena. Akasogea zaidi ukutani na kuubana mguu wa Balaamu ukutani. Balaamu akampiga tena yule punda.
26 Nihànkañe aolo ey amy zao i Anjeli’ Iehovày nijohañe añ’ oloñoloñe ey, le tsy eo ty hivioñañe ndra mañavana ndra mañavia.
Yule malaika wa BWANA akasogea mbele zaidi kwenye eneo jingine jembamba zaidi ambalo haikuwezekana kugeuka upande mwingine.
27 Naho nizoe’ i borìkey i Anjeli’ Iehovày le nibabok’ ambane’ i Balame eo; tsekak’ amy zao ty haboseha’ i Balame le finofo’e an-kobai’e i borìkey.
Yule Punda akamwona tena yule malaika wa BWANA, akalala chini ya Balaamu. Hasira za Balaamu zikawaka, akampiga yule punda kwa fimbo yake.
28 Aa le sinoka’ Iehovà ty vava’ i borìkey, vaho hoe re amy Balame, Ino ty nanoeko ama’o kanao linafa’o intelo aniany?
Kisha BWANA akafungua kinywa cha punda na akaongea. Akamwambia Balaamu, “Nimekukosea nini kiasi kwamba umenipiga mara tatu?”
29 Le hoe t’i Balame amy borìkey, Amy t’ie nanalatse ahy, le nainako te ni-reke-pibara ty tañako henaneo hamonoako azo!
Balaamu akamjibu yule punda, “Ni kwa sababu umenitendea kwa ujinga. Natamani kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, kama ningekuwa nao, sasa hivi ningekuwa nimekuua.”
30 Aa le hoe i borìkey amy Balame, Tsy izaho hao o borìke’oo, i niningira’o amo hene tao’o pake henaneoy? Liliko hao ty manao zao ama’o? Aiy, hoe re.
Yule punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa? Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?” Balaamu akasema “hapana.”
31 Aa le nampibeahe’ Iehovà ty fihaino’ i Balame naho niisa’e nijohañe amy lalañey i anjeliy, am-pibara napontsoañe am-pità’e; le nibotreke re nibabok’ an-dahara’e.
Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Balaamu akainamisha kichwa chake chini.
32 Le hoe i Anjeli’ Iehovày ama’e, Inoñe ty nijerà’o i borìke’oy in-telo? Nimb’ atoy iraho am-pirafelahiañe, amy te ihe manao hajangaringaria añatrefako.
Yule malaika wa BWANA akamwambia, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu? Tazama, Nimekuja kama adui yako kwa sababu matendo yako kwangu yamekuwa maovu.
33 Nitrea’ i borìkey iraho le nivioña’e intelo. Aa naho tsy niholiara’e le toe ho nañe-doza ama’o iraho anianikey vaho ho nengako velon-dre.
Yule punda aliniona na akageuka kutoka kwangu mara tatu. Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu, hakika ningekuwa nimekua na yeye kumwacha hai.
34 Le hoe t’i Balame amy Anjeli’ Iehovày, Nanao hakeo iraho fa tsy napotako te nijohañe an-dalañe ey irehe hiatreatre ahy. Aa naho joy ty am-pihano’o le himpoly iraho.
Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, nimetenda dhambi. Sikujua kuwa ulisimama kinyume na mimi barabarani. Kwa hiyo sasa, kama haikupendezi, Nitageuka.”
35 Aa le hoe i Anjeli’ Iehovày amy Balame, Akia, mindreza am’ondaty reo, fe ze entañe volañeko ama’o avao ty ho taroñe’o. Aa le nañavelo nindre lia amy androanavi’ i Balàke rey t’i Balame.
Lakini yule malaika wa BWANA akamwambia Balaamu, “endelea na wale watu. Lakini utasema maneno nitakayokwambia tu.”Kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale vioingozi wa Balaki.
36 Ie jinanji’ i Balake te fa tsatoke t’i Balame le niavotse mb’e Ire-Moabe mb’amy efe-tane efera’ i Arnoney, ty efe’e lavitse ama’e mb’eo hifanalaka ama’e.
Balaki aliposikia kuwa Balaamu alikuwa amekuja, alienda kukutana naye kule mjini Moabu pale Amoni, ambao uko mpakani.
37 Le hoe t’i Balak’ amy Balame, Aa vaho tsy nimaneako hitrike naho kanjy v’iheo? Ino ty tsy nañaveloa’o mb’amako. Tsy haiko hao ty hiasy azo?
Balaki akamwambia Balaamu, “Je, mimi sikutuma watu kukuita? Basi kwa nini hukuja kwangu? Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimike?”
38 Le hoe t’i Balame amy Balake, Intoy fa ama’o! meteko hao ty hanao ndra inoñ’ inoñe? Tsy mahay tsy ze tsara apon’ Añahare am-bavako ao avao ty ho taroñeko.
Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Tazama, mimi nimekuja kwako. Je mimi sina mamlaka ya kusema chochote? Mimi ninaweza kusema maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu.”
39 Aa le nindre lia amy Balake t’i Balame vaho nipotìtse e Keriat-kozote eo.
Balaamu akaenda na Balaki, na Wakafika Kiriathi Huzothi.
40 Nisoroñe añombe naho añondry amy zao t’i Balake vaho nañitrifa’e t’i Balame naho o androanavy nindre ama’eo.
Kisha Balaki akatoa sadaka ya maksai na kondoo na kumpatia Balaamu baadhi ya hiyo nyama na wale viongozi waliokuwa pamoja naye.
41 Ie amy maraiñey le nendese’ i Balake nañambone’ i Bamà-Baale t’i Balame, le eo re ro nahatalake ty indra’ ondatio.
Kesho yake asubuhi, Balaki akampeleka Balaamu mpaka juu mahali pa Baali. Kule juu Balaamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.