< Mika 5 >
1 Mifanontona am-pirimboñañe, ry anak’ ampelam-pirimboñañeo fa vinandro’ iareo tika; nilafàe’ iareo an-kobaiñe ty fiambina’ i Mpizaka’ Israeley.
Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
2 Fa ihe ry Betlekheme Efràtae, ty loho kede añivo’ o arivo lahi’ Iehodao; boak’ ama’o ty hionjoñe ho ahy, ty ho mpifehe’ Israele, ie haehae añe o fionjona’eo, faha-tsietoimoneñe añe.
Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
3 Aa le hatolo’e añe iereo ampara’ te nahatoly anake i mitsongoy, himpoly amy zao ty sehanga’ o longo’eo mb’amo ana’ Israeleo mb’eo.
Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
4 Hiongake re, le hampiandraze’e ami’ty haozara’ Iehovà, ami’ty volonahe’ i Tahina’ Iehovà Andrianañahare’ey; hiaiñ’ añoleñañe iereo, amy t’ie ho ra’elahy pak’añ’olo’ ty tane toy henane zay.
Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
5 Ie ty ho fañanintsin-tika, naho maname ty tanen-tika o nte-Asoreo, handialia o anjomban-tikañeo, le hampitroaren-tika ama’e ty mpiarake fito, naho ty mpiaolo valo boak’ am’ondatio.
Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
6 Harahe’ iereo am-pibara ty tane Asore, naho ty tane’ i Nimrode amo lalambei’eo naho havotso’e amo nte-Asoreo tika, ie mivotrak’ an-tanen-tika ao, mandialia añate’ o efe-tanen-tikañeo.
Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
7 Ho añivo’ o kilakila’ondatio añe ty sehanga’ Iakobe, hoe zono boak’ am’ Iehovà, hoe oran-joba amo ahetseo, tsy nitamà’ ondaty, tsy niliñisa’ o ana’ondatio.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
8 Ho am-po’ o fifeheañeo ty sehanga’ Iakobe añivo’ o kilakila’ ondatio ao, hanahake ty liona añ’ate’ o bibin-alao, naho ty ana-diona añivo’ o añondry lia-raikeo ao, ie miranga ro mandialia naho mandrimidrimitse vaho tsy eo ty handrombake.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
9 Honjoneñe ambone’ o rafelahi’oo ty fità’o, vaho haitoañe iaby o malaiñ’ Azoo.
Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
10 Ie amy andro zay, hoe t’Iehovà, te hapitsoko añivo’o ao o soavala’oo, vaho ho rotsaheko o sarete’oo.
“Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
11 Haitoako ka o rova’ i taneio, vaho fonga hahotrako ambane o kijoly fatratseo;
Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
12 Haitoako am-pità’o ze atao famorehañe; ihe tsy ho amam-pisikily ka;
Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
13 Ho firaeko o hatae sinoki’oo, naho o vato mitroatse añivo’o aoo, soa tsy hitalahoa’o ka o satam-pità’oo.
Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
14 Hombotako boak’ añivo’o ao ka o samposampo’oo; vaho ho rotsaheko o rova’oo.
Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
15 Le hondrohako amo kilakila’ ondatio ty vale-fate an-kabosehañe, naho am-piforoforoañe amo tsy nañaoñeo.
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”