< Matio 2 >

1 Ie toly e Betleheme e Iehodà ao t’i Iesoà, tañ’andro’ i Heroda mpanjaka, le inge totsak’ e Ierosaleme ty mpañandro maro boak’ atiñanañe añe,
Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
2 nanao ty hoe: Aia i Mpanjaka’ o Jiosio vaho samakey? Fa tinalake’ay atiñanañe eñe ty vasia’e, vaho pok’eo zahay an-dravoravom-piasiañe hitalaho ama’e.
wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
3 Ie jinanji’ i Heroda mpanjaka le nitsiborehetoke reketse ze hene mpimone’ Ierosaleme.
Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
4 Aa le hene natonto’e o androanavi’eo, vaho nañontanea’e he fohi’ iareo ty hisamahañe i Norizañey.
Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
5 Hoe ty natoi’ iareo: E Betleheme Iehodà ao, ty amy pinatetse amy mpitokiy ty hoe:
Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
6 Ihe Betleheme Iehodà, Efratà, tane’ Iehodà, Inao toe pininite’e amo fifokoa’ Iehodao irehe; fe hirik’ ama’o te hionjom-bamako ty ho Mpifehe e Israele ao.
“‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
7 Le kinanji’ i Heroda i mpañandro rey naho natola’e vaho nitsikarahe’e am’iereo i andro niboaha’ i vasiañey.
Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
8 Nahitri’e mb’e Betleheme mb’eo iereo ami’ty hoe: Akia, hotsohotsò i Ajaja-lahiy, ie rendre’ areo, ampahafohino ahy, fa homb’ama’e mb’eo ka iraho hitalaho.
Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
9 Ie nahajanjiñe i mpanjakay le nienga; naho indroy i vasiañe niisa’ iereo atiñanañe añey niaolo iareo ampara’ te nipok’ amy toetsey, nijohañe ambone’ ty toe’ i ajajay ey.
Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
10 Nifale iereo toe nirañorano an-kobay te nahaisake i vasiañey.
Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
11 Aa ie nizilike an-traño ao le nitendreke aze naho i Marie rene’e; naho nitongaleke aolo’e eo, niambane ama’e, nanokake o horo’ iareoo naho nibanabana ravoravo ama’e: volamena naho mañi-dè vaho rame.
Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
12 Hinatahata’ ty anjely ami’ty nofy iereo, nanoro t’ie tsy hibalike mb’amy Heroda mb’eo, aa le nimpoly mb’an-tane’ iareo añe nañorike lalan-kafa.
Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
13 Ie añe, intoy, nisodeha amy Josefe ty Anjeli’ Iehovà, nanao ty hoe: Mitroara, rambeso i Ajajalahiy naho i rene’e, mibioña mb’e Mitsraime añe vaho itaveaño ampara’ te tohineko, amy te paiae’ i Heroda havetrake i Ajajalahiy.
Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
14 Aa le nendese’e i Ajajay naho i rene’e,
Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
15 vaho nitambatse añe ampara’ te niantantiritse t’i Heroda, hañenefañe ty nampi­saontsieñe i mpitokiy ty hoe: Boake Mitsraime añe ty nitokavako ty Anako.
ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
16 Ie nifohi’ i Heroda ty nanoa’ i mpañandro rey, le tsy hay aia ty habose’e, toe niojeoje an-troke, vaho linili’e te hahitrike amo roandria’e iabio ty hanjamañe ze hene anak’ ajajalahy e Betleheme naho amparipari’e ao ze nisamake ambane ty tao nisaontsie’ i mpañandro reiy te nisamaheñe i ajalahiy.
Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
17 Niheneke amy zay ty nisaontsie’ i Jeremia mpitoky:
Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
18 Jinanjiñe e Rama ao ty fiarañanañañe; fandalañe naho fangololoihañe mafaitse: Mirovetse o ana’eo t’i Rahelie, ntt
“Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
19 Ie nihomake t’i Heroda, le nitoje amy Josefe e Mitsraime ao ama’ nofy ty anjeli’ Iehovà
Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
20 nanao ty hoe: Mitroara, rambeso i Ajajalahiy naho i rene’e, le akia mb’an-tane’ Israele añe; fa mate o nipay hañoho-doza amy Ajajaio.
na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
21 Aa le niongake re, ninday i Ajajay naho i rene’e, nimpoly mb’ an-tane Israele mb’eo.
Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
22 Jinanji’e te nandim­be i Heroda rae’e nifeleke e Iehodà ao t’i Horkanose, le nimarimarike tsy te homb’eo. Aa le nirisihe’ i Anjeliy ami’ty nofy re ty hitsile mb’ an-tane Gilgale añe.
Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
23 Ie nandoake ao le nimoneñe an-drova atao Nazareta, hañeneke i nisaontsie’ o mpitokio te: Hatao nte-Naz’rete re.
akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”

< Matio 2 >