< Matio 11 >

1 Ie nagado’ Iesoà ty fañòhañe i mpiama’e folo ro’amby rey, le nienga, vaho nafanto’e ama’e ty hampioke naho hampitao amo rova’ iareoo.
Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
2 Ie tam-porozò ao t’Jaona, le jinanji’e o fitoloña’ Iesoào le nirahe’e ty mpiama’e roe,
Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake
3 hanoa’ iareo ty hoe: Ihe hao i ho aviy, ke mbe añe i tamaen-tikañey?
ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4 Hoe ty natoi’ Iesoà am’iareo: Akia, atalilio amy Jaona o niisa’ areoo naho o jinanji’ areoo:
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
5 Mahaisake o feio, mitsontike o kepekeo, lioveñe o angamaeo, mahajanjiñe o gìñeo, vañoneñe o vilasio vaho votsoreñe o rarakeo.
Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
6 Faly ze tsy aliheñe ty amako.
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 Naho nañavelo iereo le nitaroñe i Jaona amy lahialeñey t’i Iesoà: Handrèndreke inoñe ty nihitrifa’ areo mb’am-patram-bey añe? Ty vinda natroetroen-tioke hao?
Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo?
8 Ke inoñe ty niakara’areo ho sarieñe? t’indaty misarimbo marerarera hao? Toe añ’anjombam-panjaka ao o mpisaroñe lamba marerarerao.
Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme.
9 Naho izay, inoñe ty niavota’ areo ho isaheñe añe? ty mpitoky hao? Eka, itaroñako t’ie lombolombo ty mpitoky.
Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
10 Ie i nipatereñe ty hoe: Inay, mañitrike ty ìrako hiaolo Azo iraho, ie ty hañajary ty lalañe aoloko.
Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa: “‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako.’
11 Eka! to t’itaroñako te, ze nasaman’ ampela, tsy ama’e ty nionjoñe ambone’ i Jaona Mpandipotse, f’ie ili­koara’ ty kede amy fifehean-dikerañey.
Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana.
12 Boak’amo andro’eo pake henane, le rembèñe i fifehean-dikerañey vaho te hitavañ’ aze o piaroteñeo.
Tangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka.
13 Songa mita­lily ampara’ i Jaona o mpitokio naho i Hake.
Kwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
14 Aa naho laha’areo ty hiantoke: ie i Elia ho aviy.
Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.
15 Ze aman-dravembia hijanjiñe, mijanjiña!
Yeye aliye na masikio, na asikie.
16 Razañeko ami’ty tariratse toy ty ajalahy mitoboke an-tsena ao mifampikoike
“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,
17 ty hoe, Nisaboa’ay f’ie tsy nandrodo; nangololoiha’ay f’ie tsy nirovetse.
“‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkuomboleza.’
18 Pok’eo t’i Jaona, tsy nikama, tsy ninoñe, le hoe iereo: Aman-kokolampa re.
Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’
19 Avy ka i Ana’ Ondatiy: mikama naho minoñe, vaho anoeñe ty hoe: Intia ty màhake naho mpigenoke, rañe’ o bakakalahio naho o mpanan-kakeoo. Izay ty fizaka’ o seretseo o mahihitseo.
Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nao wanasema, ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.”’ Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli kwa matendo yake.”
20 Nikobiha’ Iesoà amy zao o rova nanoe’e o vilo’eo ie tsy nitolike am-pisolohoañe.
Ndipo Yesu akaanza kushutumu miji ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu.
21 Fatse ama’o Korazina! naho, Hankàñe ama’o Betsaida! Fa naho nanoeñe e Tirò ao naho e Sodoma añe o viloñe nanoeñe ama’ areoo, le ho nitolike amy andro zay iereo am-pisolohoañe, an-gony naho lavenoke.
“Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
22 Eka! hoe ty itaroñako te ho mora amy Tirò naho i Sodoma te ama’ areo.
Lakini nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
23 Ihe, Kapernaome, hionjoñe mb’andindìñe eñe v’iheo? Toe hazotso mb’an-tsikeokeoke ao, fa naho nanoeñe e Sodoma o viloñe nanoeñe ama’oo, hera mbe ho niteo. (Hadēs g86)
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
24 Eka! itaroñako te haivañe an-tane Sodoma ta te ho ama’o i andron-jakay.
Lakini nakuambia kwamba, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ya hukumu kuliko wewe.”
25 Ie henane zay, niongake t’i Iesoà nanao ty hoe: Rengen-dRehe, ry Aba, Andrianamboatse i likerañey naho ty tane toy, amy te naeta’o amo mahihitseo naho amo mahilalao i tsara zay vaho binenta’o amo mirèkeo.
Wakati huo Yesu alisema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo.
26 Eka Aba, toe nivantañe añatrefa’o izay.
Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
27 Kila natolotse ahiko boak’ aman-dRaeko, tsy eo ty mahafohiñe i Anakey naho tsy t’i Rae, naho tsy ia ty mahafohiñe t’i Rae naho tsy i Anakey vaho ze sa­tri’ i Anakey hatòke.
“Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu: Hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.
28 Mb’amako mb’etoa ze hene mokotse naho mifeake fitoloñañe, le himbaeko vaveñe ty joka’e.
“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29 Rambeso ama’areo ty jokako, le mioha amako fa lem-po iraho naho mora naho mazava-troke, vaho hahatendreke fitofàn’ arofo nahareo,
Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
30 amy te mora ty jokako, vaho maivañe o kilànkakoo.
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”

< Matio 11 >