< Marka 7 >

1 Nihimpoke ama’e o Fariseo naho mpanoki-dily ila’eo, ie nihitrike boak’e Ierosaleme añe;
Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
2 le nahaisake te nikama mofo am-pitàñe maleotse o mpiama’e ila’eo,
Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
3 (Toe tsy mikama hey o Fariseoo naho o Jiosy iabio naho tsy manasa an-dili’e am-pañambenañe o satan-droaeo,
(kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
4 le tsy mikama iereo te boak’an-tsena naho tsy mañalio vatañe, vaho tsiefa o raha rinambe’ iereo hambenañe, manahake ty sasa-fitovy naho valàñe vaho gorogoro torisìke)
Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
5 le hoe ty nañontanea’ o Fariseoo naho o mpanoki-dilio aze: Akore te tsy orihe’ o mpiama’oo o lilin-droaeo, ie mihinan-kaneñe an-taña maleotse?
Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
6 Tinoi’ Iesoà ty hoe: To ty nitokia’ Isaia ty ama’ areo soamiatrekeo, ami’ty pinatetse ty hoe: Miasy ahy am-pivi­mby ondaty retoa, Fe lavits’ ahy ty arofo’ iareo,
Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
7 Borosode ty italahoa’iareo, ie mañanatse fañè’ondaty hoe hatòm-bolañe.
Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
8 Nado’areo o lilin’Añahareo hivontititse amo lilin-droaeo.
Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
9 Tinovo’e ty hoe: Eka, soa avao te nadò’areo ty lilin’Añahare hañambenañe o lilin-droaeo.
Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
10 Fa hoe t’i Mosè: Miasia an-drae’o naho i rene’o, naho Havetrake ze mamatse rae ndra rene.
Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
11 Fe hoe nahareo: Naho anoe’ ondaty aman-drae ndra rene ty hoe: Ze amako ho nañimba anahareo ro Korbane (toe: Enga aman’ Añahare);
Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
12 le tsy apo’ areo hanao ndra inoñ’ inoñe re ho aman-drae’e ndra rene’e,
hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
13 aa le mivalike amy tsaran’ Añaharey nahareo an-dilin-droae’areo ze mbore taroñe’ areo; toe maro ty fanoe’ areo hambañe amy zay.
Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
14 Aa le kinanji’e hitotok’ aze i maroy naho nanoa’e ty hoe:
Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
15 Tsy eo ty alafe’ ondaty, ie mimoake ama’e ao, ty mahativa aze, fa o miakatse ama’eo ty mahativa ondaty.
Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
(Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
17 Nienga i lahialeñey re le nizilike añ’ anjomba ao, naho nañontanea’ o mpiama’eo i fandrazañañey.
Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
18 Le hoe re tam’ iereo: Tsy maharendreke ka v’inahareoo? Tsy apota’ areo hao te tsy mahativa ondaty ze mizilike ama’e ao boak’ alafe’e,
Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
19 amy t’ie tsy mijoñe añ’arofo’e fa am-pisafoañe ao, vaho amontoñeñe.
kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
20 Le hoe re: Ze miakatse ama’ ondaty ro maniva indatiy.
Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
21 Amy te boak’ao, hirike an-tro’ ondaty ao ty iakaran-kilily, hakarapiloañe, fikamerañe, fañohofan-doza, havambàñe,
Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
22 fihàñañe, hatserehañe, famañahiañe, hadrao, fikirofañe, fañinjeañe, fiebo­tseborañe vaho ty hadagolàñe.
uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
23 Boak’ ao i hene raty mahativa ondaty rezay.
Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
24 Niongake re, niavotse mb’ an-tane Tirò naho i Sidona añe, vaho nizilike añ’anjomba ao, toe laha’e te tsy ho fohi’ ondaty, f’ie tsy nahafietake.
Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
25 Nahajanjiñe ty ama’e ty rakemba, ie nangare’ ty anga-draty i anak’ ampela’ey, le niheo mb’ama’e niankotrake am-pandia’e eo.
Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
26 Nte Grika i rakembay, Siro-foinika ty famosora’e; nihalalia’e ty handroake i kokolampa amy anak’ ampela’eiy;
Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
27 fe hoe ty natoi’ Iesoà: Soa re te vontsiñe hey o ajajao, fa tsy mete te rambeseñe ty mofo’ o ajajao hahifike amo anak’ amboao.
Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
28 Tinoi’e ty hoe: Eka, Rañandria, fe ndra o anak’ amboa añ’ ilam-pandambañañeo ro milintseñe ze afitafita’ o ajajao.
Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
29 Le hoe re ama’e: Ty amy enta’oy, akia, fa niakats’ amy anak’ ampela’oy i anga-dratiy.
Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
30 Ie nimpoly añ’anjomba’e ao, zoe’e nàndre an-tihy eo i anak’ ampela’ey, fa nimaotse añe i kokolampay.
Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
31 Nienga an-tane’ i Tirò re niranga i Sidona mb’an-driake Galilia mb’eo amparipari’ ty atao Dekapo­lisy.
Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
32 Le nandesañe ty giñe naho saro-drehake, le nihalaliañe te hampitongoà’e fitañe.
Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
33 Natola’e amy lahialeñey, naho nazili’e an-dravembia’e ao o rambom-pità’eo, le nañakatse ranom-pañere vaho napotsapotsa’e am-pamele’e eo,
Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
34 le niandra mb’ an-dike­rañe ey naho niselekaiñe vaho nanoa’e ty hoe: Ef’fata, ze midika ty hoe: Misokafa.
Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
35 Nisokake amy zao o ravembia’eo naho nihaha i handram-pamele’ey vaho nalange i saontsi’ey.
Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
36 Le linili’e tsy hitalily ama’ia ia, fa ndra te nonjone’e i hatahatay, àntsake te naboele’ iereo i taliliy.
Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
37 Tsy aman’ ohatse ty hadabà’ iareo kanao nanao ty hoe: Hene fonitse ze anoe’e, ampijanjiñe’e ty giñe, vaho ampisaontsie’e ty moañe.
Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”

< Marka 7 >