< Lioka 9 >
1 Kinanji’e hirimboñe eo i folo ro’ amby rey, le tinolo’e haozarañe naho lily handroake ze atao kokolampa naho hañaha ze hasilofañe;
Akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa uwezo na mamlaka juu ya mapepo yote na kuponya magonjwa.
2 le nirahe’e hitaroñe i Fifehean’ Añaharey vaho hampijangañe o marareo.
Akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
3 Hoe re am’ iareo: Ko minday inoñ’ inoñe ami’ty lia’areo, ndra kobaiñe ndra kotrañe ndra vaty ndra drala vaho ko minday saron-droe.
Akawaambia, “Msichukue chochote kwa ajili ya safari yenu wala fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala pesa wala msichukue kanzu mbili.
4 Mañialoa amy ze anjomba iziliha’ areo le hirik’ao ka ro hienga.
Nyumba yoyote mtakayo iingia, kaeni humo mpaka mtakapo ondoka mahali hapo.
5 Naho tsy mampiantraño anahareo ty ao, le ie miakatse i rovay, ahintsankintsaño ty lembok’ am-pandia’areo hanjehazehàñe iareo.
Na kwa wale wasio wapokea, mtakapo ondoka mji huo, jikung'uteni vumbi katika miguu yenu kwa ushuhuda juu yao”.
6 Aa le niavotse iereo nanitsike rova, nitsey i talili-soay vaho nampijangañe tok’aia tok’aia.
Wakaondoka na kwenda kupitia vijijini, wakitangaza habari njema na kuponya watu kila mahali.
7 Ie jinanji’ i Heroda mpizaka o nanoe’e iabio, le nitsimboetse, fa inao nitroatse t’i Jaona,
Sasa Herode, mtawala, alisikia yote yaliyo kuwa yakitokea alitaabika sana, kwa sababuu ilisemekana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji amefufuka kutoka wafu,
8 hoe ka ty ila’e te, i Elia ty niboake; ty ila’e ka nanao ty hoe: raik’ amo mpitoky haehaeo ro niheren-ko veloñe.
na baathi kwamba Elia amekwisha tokea, na kwa wengine kwamba mmoja wa manabii wa zamani amefufuka katika wafu tena.
9 Fa hoe ka t’i Heroda: Nampikitsìheko ty loha’ i Jaona, aa ia arè i andrendrehañ’ ahy te manao i raha rezay? le nipay ty hahaoniñe aze.
Herode alisema, “nilimchinja Yohana, lakini huyu ni nani ninae sikia habari zake? Na Herode alitafuta njia ya kumwona Yesu.
10 Ie nimpoly i Firàheñe rey le nitalilia’ iareo ze hene nanoeñe, vaho natola’e mb’am-patrambei’ i rova atao Betsaida ao.
Wakati waliporudi wale waliotumwa, wakamwamwambia kila kitu walicho fanya. Akawachukua pamoja naye, akaenda peke yake katika mji uitwao Bethsadia.
11 Aa ie nifohi’ i lahialeñey le norihe’iereo, fe rinambe’e soa naho nitaroñe i Fifehean’ Añaharey vaho hene jinanga’e ze nitaha.
Lakini makutano wakasikia kuhusu hili wakamfuata, na aliwakaribisha, na akaongea nao kuhusu ufalme wa Mungu, na aliwaponya wale waliohitaji uponyaji.
12 Ie niròñe i àndroy, niheo mb’ ama’e i folo ro’amby rey, nanao ty hoe: Ampiavoto o lahialeñeo homb’ amo rovao naho mb’ am-pariparitse atoy hañialo naho hivaty; fa loho an-kazihazin-tane atoy tika.
Siku ikaanza kuisha, na wale kumi na wawili wakaenda kwake na kusema, “Watawanye makutano kwamba waende katika vijiji vya karibu na mijini wakatafute mapumziko na chakula, kwa sababu tupo eneo la nyikani.”
13 Hoe ty natoi’e: Anjotsò hikama’e. Natoi’ iereo ty hoe: Tsy ama’e zahay naho tsy mofo lime vaho fiañe roe, naho tsy hiavotse hey hivily mahakama ho a ondaty iabio.
Lakini akawaambia, “Nyie wapeni kitu cha kula.” Wakasema “Hatuna zaidi ya vipande vitano vya mikate na samaki wawili, isipokuwa tungeenda na kununua chakula kwa ajili ya kusanyiko hili la watu.”
14 Va’e lime arivo ty lahilahy teo. Aa hoe re amo mpiama’eo: Ampiambesaro kilimampolo.
Kulikua na wanaume wapatao elfu tano pale. Akawambia wanafunzi wake. “Wakalisheni chini katika makundi ya watu wapatao hamsini kwa kila kundi.
15 Nanoe’ iareo, vaho songa nampiambesareñe.
Kwa hiyo wakafanya hivyo na watu wa wakaketi chini.
16 Rinambe’ Iesoà i mofo lime rey naho i fiañe roe rey le niandra mb’ andikerañe ey naho nañandriañe, le finola’e vaho natolo’e amo mpiama’eo hazotso amy lahialeñey.
Akachukua mikate mitano na samaki wawili na akatazama mbinguni, akavibariki, na kuvimega katika vipande, akawapa wanafunzi wake ili waviweke mbele ya makutano.
17 Nikama iereo le sindre nianjañe vaho natontoñe an-karoñe folo ro’amby ze sisa nifitafita.
Wote wakala na wakashiba, na vipande vya chakula vilivyo baki viliokotwa na kujaza vikapu kumi na viwili.
18 Teo t’ie nilolok’ am-bangiñe ao rekets’ o mpiama’eo le nañontanea’e ty hoe: Atao’ ondatio ho ia v’o ahoo?
Nayo ikawa kwamba, alipokuwa akiomba peke yake, wanafunzi wake walikuwa pamoja naye, na akawauliza akisema, “watu husema mimi ni nani?”
19 Tinoi’ iereo ty hoe: I Jaona Mpandipotse, fa ty ila’e ka manao ty hoe, i Elia, vaho ty ila’e te niheren-ko veloñe ty mpitoky haehae.
Wakijibu, wakasema, “Yohana mbatizaji, lakini wengine husema Eliya, na wengine husema mmoja wa manabii wa nyakati za zamani amefufuka tena.”
20 Hoe re: Aa inahareo? Atao’ areo ho ia iraho? Tinoi’ i Petera ty hoe: I Norizan’ Añaharey.
Akawambia, “Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?” Akijibu Petro akasema, “Kristo kutoka kwa Mungu.”
21 Hinatahata’e t’ie tsy hivolañe am’ ondaty,
Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza kutomwambia yeyote juu ya hili,
22 le hoe re: Tsy mahay tsy hanilofeñe raha maro i Ana’ ondatiy, le harinjèñe’ o roandriañeo naho o mpisorom-beio naho o mpanoki-dilio vaho ho vonoeñe, fe hampitroareñe ami’ty andro fahatelo.
akasema kwamba mwana wa Adamu lazma ateseke kwa mambo mengi na kukataliwa na wazee na Makuhani wakuu na waandishi, na atauawa, na siku ya tatu atafufuka.
23 Aa le hoe re tam’ iereo iaby: Naho eo ty te hanonjohy ahy, soa re te hihirimbeloñe naho hitarazo ty hatae ajale’e lomoñandro vaho hañorik’ ahy,
Akawambia wote, “kama mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku, na anifuate.
24 fa ndra iaia ro te handrombak’ ay ro hahamotso aze, le ndra iaia ty mamoe arofo ty amako, ho rombaheñe.
Yeyote ajaribuye kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote apotezae maisha yake kwa faida yangu, atayaokoa.
25 Ino ty tombo’e ho a t’indaty te fonga azo’e ty voatse toy, fe, ke t’ie motso, he haitoañe.
Je kitamfaidia nini mwanadamu, kama akiupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au akapata hasara ya nafsi yake?
26 Aa ndra iaia ty ho meñatse ahy ndra amo entakoo, ty ho meñare’ i Ana’ ondatiy t’ie mitotsak’ ami’ty enge’e naho ty an-dRae’e vaho ty amo Anjely masiñeo.
Yeyote atakaye nionea aibu mimi na maneno yangu, kwake yeye mwana wa Adam atamuonea aibu atakapo kuwa katika utukufu wake, na utukufu wa Baba na malaika watakatifu.
27 Eka! to t’itaroñako te, amo mijohañe etoañeo ty tsy ho lian-kavilasy ampara’ te oni’e i Fifehean’Añaharey.
Lakini ninawaambia ukweli, kuna baadhi yenu wasimamao hapa, hawata onja umauti mpaka wauone ufalme wa Mungu.”
28 Ie modo ty valo andro te nitsara izay, le nampindreze’e ama’e t’i Petera naho i Jaona naho Iakobe vaho nitroa-bohitse hitalaho.
Ikatokea yapata siku nane baada ya Yesu kusema maneno haya kwamba akawachukua pamoja nae Petro, Yohana na, Yakobo, wakapanda mlimani kuomba.
29 Ie niloloke le niova ty vinta’e naho nihafoty nitsipelatsipelatse ty sarimbo’e.
Na alipokuwa katika kuomba, muonekano wa uso wake ulibadilika, na mavazi yake yakawa meupe na ya kung'aa.
30 Le heheke, te nifanaontsy ama’e ty androanavy roe, i Mosè naho i Elia,
Na tazama, walikuwepo wanaume wawili wakiongea naye! Walikuwa Musa na Elia,
31 niboak’ am-bolonahetse vaho nisaontsieñe i fivetrahañe ho henefa’e e Ierosaleme añey.
walionekana katika utukufu. Waliongea kuhusu kuondoka kwake, jambo ambalo alikaribia kulitimiza Yerusalem.
32 Fe nikonkòñe te hirotse t’i Petera naho i rañe’e rey, f’ie nañente le nahaoniñe ty enge’e naho i roe-lahy niharo fijohañe ama’e rey.
Sasa Petro na wale waliokua pamoja naye walikuwa katika usingizi mzito. Lakini walipokuamka, waliuona utukufu wake na wanaume wawili waliokuwa wamesimama pamoja nae.
33 Ie nienga’ aze iereo le hoe t’i Petera ama’e: O Rañandria, soa ‘nio te etoan-tikañe; angao hañoreñe kijà telo: Ty ho Azo naho ty ho a i Mosè vaho ty ho a i Elia, fa tsy napota’e i linaño’e.
Ikatokea kwamba, walipokuwa wakiondoka kwa Yesu, Petro akamwambia, “Bwana, ni vizuri kwetu kukaa hapa na inatupasa tutengeneze makazi ya watu watatu. Tutengeneze moja kwa ajili yako, moja kwa ajili ya Musa, na moja kwa ajili ya Eliya.” Hakuelewa alichokuwa akiongelea.
34 Aa ie mbe nisaontsy, teo ty rahoñe niforoñe nandrongoñe iareo, naharevendreveñe te nisafora’ i rahoñey.
Alipokuwa akisema hayo, likaja wingu na likawafunika; na waliogopa walipoona wamezunguwa na wamezungukwa na wingu.
35 Hirik’amy rahoñey amy zao ty fiarañanañañe nanao ty hoe: Anako kokoako toy. Ijanjiño!
Sauti ikatoka kwenye wingu ikasema, “Huyu ni Mwanangu mteule. Msikilizeni yeye.”
36 Ie nianjiñe i fiarañanañañey, le Iesoà avao ty nizoeñe eo. Aa le nidìñe iereo tsy nahabeok’ am’ondaty amy andro rezay ndra inoñe amy nioni’ iareo rezay.
Sauti iliponyamaza, Yesu alikuwa peke yake. walikaa kimya, na katika siku hizo hawakumwambia yeyote lolote miongoni mwa waliyoyaona.
37 Amy loakandroy, ie nizotso i vohitsey le nifanalaka ami’ty lahialeñe.
Siku iliyofuata, baada ya kutoka mlimani, kusanyiko kubwa la watu lilikutana naye.
38 Le hoe ty napazapaza’ t’indaty boak’ amy lahialeñey ao: O Rañandria, mitoreo ama’o vazohò ty anako bako-tokañe toy.
Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko alilia kwa sauti, akisema, “Mwalimu ninakuomba umtazame mwanangu, kwa kuwa ni mwanangu wa pekee.
39 Inao! ie azin-draha le mikoriak’ amy zao; avokovoko’e an-tsintosintoñe reke-bore; le fiain-drifi’e te ifaoha’e, toe joie’e.
Unaona roho chafu humshika, na mara hupiga kelele, na pia humfanya achanganyikiwe na kutokwa povu kinywani. Nayo humtoka kwa shida, ikimsababshia maumivu makali.
40 Aa le nihalalieko o mpiama’oo ty handroak’ aze fe tsy nilefe.
Naliwasihi wanafunzi wako kuikea itoke. lakini hawakuweza.”
41 Hoe ty natoi’ Iesoà: Ty tariratse tsy mañaoñe naho mitangingìñe toy, ombiam-bao ty mbe hitraofako naho hifeahako? Endeso mb’etoa i ana’oy.
Yesu akajibu akasema, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, mpaka lini nitkaa nanyi na kuchukuliana nanyi? Mlete mwanao hapa.”
42 Ie niharine mb’eo i ajajay le nigore’ i kokolampay naho sinintotsinto’e. Trinevo’ Iesoà i anga-maleotsey le nihaha’e i ajalahiy vaho nahere’e aman-drae’e.
Kijana aliokuwa anakuja, roho cha ikamuangusha chini na kumtikisa kwa fujo. Lakini Yesu aliikemea ile roho chafu, alimponya mvulana, na kamkabidhi kwa baba yake.
43 Aa le hene nivereñe ty amy hara’ elahin-kaozaran’ Añaharey. Ie mbe nilatsa amy ze hene fanoe’ Iesoà, le hoe re amo mpiama’eo:
Wote walishangazwa na ukuu wa Mungu. Lakini walipokuwa wakistaajabu wote kwa mambo yote aliyo yaliyotedeka, akasema kwa wanafunzi wake,
44 Ajoño an-dravembia ao o tsara zao, te hafotetse am-pità’ ondaty i Ana’ ondatiy;
“Maneno yawakae masikioni mwenu, kwa kuwa Mwana wa Adamu atatolewa mikononi mwa wanadamu.”
45 Fe namoea’ iereo i saontsiy, amy te nampietahañe, tsy ho rendreke, le nihembañe tsy te hañontane aze ty amy tsaraeñey.
Lakni hawakuelewa maana ya maneno hayo, na yalifichwa machoni pao, ili wasije wakalielewa. Waliogopa kumuuliza kuhusu neno hilo.
46 Le nitsakoreñe am ‘iereo ao te ia ty zoke’e.
Kisha mgogoro ulianza ulizuka miongoni mwao i juu ya nani angekuwa mkuu.
47 Niarofoana’ Iesoà i fivetsevetsen-tro’ iareoy le nandrambe ajaja naho navotra’e añ’ila’e eo,
Lakini Yesu alipotambua walichokuwa wakihojiana mioyoni mwao, alimchukua mtoto mdogo, na kumuweka upande wake,
48 le hoe re am’ iereo: Ndra iaia mandrambe ty ajaja toy ami’ty añarako ro mandrambe ahiko, vaho ndra iaia mampihova ahy ro mampihova i nañirak’ ahiy; aa le ty tsitso’areo ty ho zoke.
na akasema, “kama mtu yeyote akimpokea mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, anipokea mimi pia, na yeyote akinipokea mimi, ampokea pia aliyenituma, kwa kuwa aliye mdogo kati yenu wote ndiye alie mkuu”
49 Hoe ty natoi’ i Jaona, O Rañandria, nitrea’ay ty nandroake kokolampa amy tahina’oy le nendaha’ay amy te tsy mpitrao-pañorik’ ama’ay.
Yohana akajibu akasema, “Bwana, tulimuona mtu akifukuza pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu haambatani na sisi.”
50 Hoe t’Iesoà tama’e: Ko sebaña’o, fa ze tsy mandietse antika ro mone mañimba.
Lakini Yesu akamwambia, “Msimzuie, kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu”
51 Ie an-titotse ty andro hañonjonañe aze le nionjoñe mb’ Ierosaleme mb’eo
Ikatokea kwamba, kulinga na siku zilivyokua zikikaribia zsiku zake za kwenda mbinguni, kwa uimara alielekeza uso wake Yerusalemu.
52 naho nañitrike ty hiaolo aze, vaho nimoak’ ami’ty rova e Samaria ao iereo hañalankañe ho aze.
Akatuma wajumbe mbele yake, nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.
53 Fe tsy nampihovaeñe, amy t’ie nitolin-daharañe mb’e Ierosaleme.
Lakini watu huko hawakumpokea, kwasababu alikua ameelekeza uso wake Yerusalemu.
54 Aa ie nioni’ Iakobe naho i Jaona, mpiama’e rey, le hoe iareo: O Rañandria, satri’o hao te handilia’ay afo boak’ andindìñe añe hidoiñe ey hampangotomomoke iareo?
Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipo liona hili, wakasema, “Bwana unahitaji tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze?”
55 Tinoli’e iereo le nitrevoha’e
Lakini aliwageukia akawakemea.
56 vaho nionjomb’ an-tanañe ila’e mb’eo.
Kisha walikwenda kijiji kingine.
57 Ie nañavelo amy lalañey, le nanoañe ty hoe: O Talè horiheko ndra aia aia ty homba’o.
Walipokuwa wakienda katika njia yao, mtu mmoja akamwambia, “Nitakufuata popote uendapo.”
58 Hoe t’Iesoà tama’e: Manan-davake o farasio naho amam-pipetaha’e o voron-dikerañeo; fe tsy amy Ana’ ondatiy ty fanjoàn’ añambone’e.
Yesu akamwambia, “Mbweha wanamashimo, ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana pakulaza kichwa chake.”
59 Hoe ka re ami’ty raike: Mañoriha ahy; fe hoe re: O Talè, angao hey handentek’ an-draeko.
Ndipo akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Lakini yeye akasema, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzika baba yangu,”
60 Hoe t’Iesoà tama’e: Adono o vilasio handeveñe ty vilasi’ iareo, fa ihe ka, akia, taroño i Fifehean’ Añaharey.
Lakini yeye akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, lakini wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu kila mahali.”
61 Hoe ka ty raike: O Talè, hañorik’ Azo iraho, fe adono hey hitalily an-trañoko ao.
Pia mtu mwingine akasema. “Nitakufuata, Bwana, lakini niruhusu kwanza nikawaage walio katika nyumba yangu.”
62 Aa hoe t’Iesoà tama’e: Tsy eo ty mitan-dasary t’ie mitolike, ro mañeva i Fifehean’Añaharey.
Laki Yesu akamwambia hakuna mtu, atiaye mkono wake kulima na kuangalia nyuma atakayefaa kwa ufalme wa Mungu.”