< Lioka 6 >
1 Ie tamy Sabotse valoha’e faharoey, le niranga teteke naho nitifo loham-bare o mpiama’eo naho nanosokosoke aze am-pitàñe vaho nikama.
Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
2 Aa le hoe ty Fariseo ila’e: Mañino nahareo ro mañota faly ami’ty Sabata?
Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
3 Le natoi’ Iesoà ty hoe: Mbe tsy vinaki’areo hao ty nanoe’ i Davide te nisaliko—ie naho o mindre ama’eo:
Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
4 ie nizilik’ añ’ Anjomban’ Añahare ao nandrambe mofo-fiatreke naho nikama vaho nandiva amo nindre ama’eo, ze faly tsy kamaeñe naho tsy o mpisoroñeo avao.
Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
5 Hoe re tam’iereo, Toe Talè’ o Sabatao i Ana’ondatiy.
Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
6 Teo ty Sabata t’ie niheo am-pitontonañ’ ao hañoke, le inge ty lahilahy mate-fitàn-kavana.
Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
7 Aa le nikirok’ aze o mpanoki-dilio naho o Fariseoo ke hañafak’ amy Sabotsey, ho talin-kitombok’ aze.
Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
8 Fe niarofoana’ Iesoà ty fitsakorea’ iareo, le hoe re am’ indaty mate-fitañey: Miongaha, mijohaña añivo etoa. Niongake re naho nijohañe.
Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
9 Le hoe t’Iesoà tam’ iereo: Inao ty ontaneko: ty fanoan-tsoa hao ke ty fanoan-draty ro mete ami’ty Sabata; ty handrombahañ’ aiñe, he ty hañohofan-doza?
Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
10 Jinilojilo’e iaby, le hoe re am’ indatiy: Ahitio o fità’oo. Nahiti’e le nijangañe amy zao i fità’ey.
“Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
11 Aa le niloroloro iereo, nikilily hañoho-doza amy Iesoà.
Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
12 Tamy andro zay, nomb’ ambohitse mb’eo t’Iesoà nitalaho, le nitolom-pilolok’ aman’Añahare ampara’ te niporea’ ty maraindray.
Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
13 Ie terak’ andro, le kinanji’e o mpiama’eo vaho nijoboñe ty folo ro’amby ze nanoe’e ty hoe: Firàheñe:
Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
14 i Simona ze natovo’e ty hoe Petera, naho i Andrea rahalahi’e, Iakobe naho i Jaona; i Filipo naho i Bartolomeo,
Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
15 i Matio naho i Tomasy; Iakobe ana’ i Alfeo; naho i Simona natao Zelota,
Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
16 i Jodasy ana’ Iakobe vaho i Jodasy nte-K’riote nifotetse azey.
Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
17 Nindre nizotso am’iereo t’Iesoà, le nijohañe an-tane mira amo mpiama’e nivorigidiñeo, le nimb’eo ka ty lahialeñe hirike e Iehodà naho e Ierosaleme naho o rova añ’olon-dria’ i Tiro naho i Sidona añeo,
Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
18 songa pok’eo hijanjiñe aze naho ho janganeñe amo areteñeo vaho nafaha’e o vinolevolem-pañahy maleotseo.
Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
19 Fonga te hitsapa aze i màroy, amy te nitolom-piboak’ ama’e ty haozarañe nampijangañe ie iaby.
Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
20 Nampiandra fihaino amo mpiama’eo t’Iesoà le nanao ty hoe: Haha nahareo rarakeo Fa anahareo i Fifehean’Añaharey
Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Haha o limpoañe henanekeo fa hanjañeñe. Haha o mirovetse henanekeo fa hiankahake.
Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
22 Haha nahareo, naho heje’ondaty, naho aitoa’e, naho onjire’e, vaho homosokoso’e o tahina’ areoo ty amy Ana’ondatiy.
Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
23 Mirebeha amy andro zay, vaho mivoàña an-kaehake! Inao, jabajaba o tambe’areo andindìñeo; manahake izay ka ty nanoan-droae’iareo amo mpitokio.
Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
24 Hankàñe ama’areo mpañalealeo! fa niazo’areo ty fañohòañe.
Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
25 Hankàñe amo anjañe henanekeo! fa ho saliko. Hankàñe amo mpiankahake henanekeo, fa hirovetse naho handala.
Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
26 Hankàñe ama’areo naho tsiririe’ondaty, Amy t’ie ty nanoen-droae’ iareo amo nieva ho mpitokio.
Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
27 Hoe ka iraho amo mahajanjiñeo: Kokò o rafelahi’ areoo; hasoào o malaiñe anahareoo.
Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
28 Tatao ze mamatse anahareo le mihalalia ho amo mijoy anahareoo.
Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
29 Ie manampify azo ami’ty fiambina’o t’indaty, atoloro ama’e ka ty haila’e; ie gaoñe’e ty saravi’o, ko tambozoreñ’ ama’e ty saro’o.
Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
30 Meo ze mihalaly ama’o; le ko ampipolieñe ze rinambe’e ama’o.
Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
31 Ty tea’areo hanoe’ ondaty ama’areo, anò am’iareo ka.
Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
32 Naho ze mpikoko anahareo avao ty ikokoa’areo, Ino ty ho tambe’ areo? Fa tea’ ty mpanan-kakeo ka ty te aze.
Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
33 Aa naho ze mañasoa anahareo avao ro añasoañe, Ino ty ho tambe’ areo? Amy te manao izay ka ty bey hakeo.
Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
34 Naho mampisongo amy ze tamae’ areo hahavake avao, ino ty ho tambe’areo? Fa mampisongo amo bey hakeoo o mpanan-kakeoo, hañavaha’iareo mira.
Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
35 Fe kokò ty rafelahi’ areo, hasoao, ampisongò, le ko mitamà avake naho ho ra’elahy ty tambe’ areo, vaho ho ana’ i Andindimoneñey, ie matarik’ amo tsivokatseo naho amo tsereheñeo.
Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
36 Mitretreza manahake ty fiferenaiñan-dRae’ areo.
Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37 Ko manìñe, le tsy ho tiñeañe. Ko mamàtse le tsy hafàtse. Mihevea le hiheveañe.
Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
38 Mañomea le ho meañe; ho tolorañe am-pañaranañe pea, nikobakobaheñe naho nihotsokotsòfeñe vaho mipopoke; ami’ty fañaranañe añarana’ areo ro añaranañe ama’areo.
Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
39 Tinovo’ Iesoà ami’ty ohatse toy: Mahay miaolo ty goa hao ty fey? Tsy sindre higodoñe an-kadaha ao v’iereon-droroe?
Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
40 Tsy ambone’ ty mpiana’e hao ty talè? fe ze añoñe ro hanahake an-talè’e.
Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
41 Aa vaho ino ty angarefa’o ty alìfe am-pihainon-drahalahi’o ao, fe tsy isa’o ty varamba am-pihaino’o ao?
Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
42 Akore ty anoa’o aman-drahalahi’o ty hoe: O koahe hafàhako o alìfe am-pihaino’oo. Fe tsy oni’o i varamba am-pihaino’oy? Soamiatreke! Ahifiho añe hey ty varamba am-pihaino’o ao hahafibiribira’o ty hañafake i alìfe am-pihainon-drahalahi’oy.
Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
43 Tsy mamoa voa raty ty hatae soa, vaho tsy mamoa soa ty hatae raty.
Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Sindre rendrek’ ami’ty voa’e ty hatae; tsy hampipotorañe voan-tsakoa ami’ty fatike, ndra filomboke ami’ty lombiry.
Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
45 Mañakatse ty soa ami’ty fañajàm-bara an-tro’e ao t’indaty soa vaho aboa’ i lo-tserekey am-pañajam-bara an-tro’e ao ty hativàñe; fa ty haliforañ’ arofo ro fisaontsiam-palie.
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
46 Ino ty tokava’ areo ahy Talè, Talè; fe tsy manao ze itaroñako?
Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
47 Ze mb’ amako, naho mijanjiñe o volakoo, vaho anoe’e, le itoroako ty ihambaña’e:
Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
48 Manahake t’indaty nañoreñ’ anjomba re; nihaly laleke vaho naore’e an-damilamy eo o faha’eo. Ie nisorotombaheñe le naronje’ i rano-vohitsey mafe i anjombay, f” ie tsy naha-ozoñozoñ’ aze, kanao nioreñe am-bato.
Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
49 Ty mijanjiñe fe tsy manao, ro sarèñe amy t’indaty nañoren-traño am-paseñe tsy amam-pahañe; tinorotosi’ i rano vohitsey; le niforetrake, vaho bey-fianto’ i trañoy.
Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.