< Lioka 22 >
1 Ie fa antitotse ty Sabadida-Mofo-tsy-aman-dalivay, i atao Fihelañey le
Basi Sikukuu ya Mkate Usiyotiwa Chachu ilikuwa imekaribia, ambayo inaitwa Pasaka.
2 nipay hanao afero mamitak’ ate amy Iesoà o mpisorom-beio naho o mpanoki-dilio, fe nimarimariheñe i lahialeñey.
Makuhani wakuu na waandishi wakajadiliana namna ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu.
3 Ie amy zao, nitsamoahe’ i mpañìnjey ty tro’ i Jodasy (ty atao nte-Kariota), mpiamy folo ro’ amby rey.
Shetani akaingia ndani ya Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na mbili.
4 Aa le nimb’ amo mpisorom-beio naho o kapitenio re nikilily ty hanolora’e Iesoà.
Yuda akaenda kujadiliana na wakuu wa makuhani na wakuu namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao.
5 Niehake iereo, naho nisafiry t’ie hitoloran-drala.
Walifurahi, na kukubaliana kumpa fedha.
6 Le niantofa’e, vaho nandiñe ty hamotets’ aze am’ iereo, ie tsy amy lahialeñey.
Yeye aliridhia, na alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu.
7 Tondrok’ amy zao ty Sabadida-Mofo tsy aman-dalivay, ty andro fandentàñe i Fihelañey.
Siku ya mikate isiyotiwa chachu ikafika, ambapo kondoo wa Pasaka lazima atolewe.
8 Le nirahe’e t’i Petera naho i Jaona ami’ty hoe: Akia, halankaño i Fihelañey ho kamaen-tikañe.
Yesu akawatuma Petro na Yohana, akasema, “Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuje tukile.”
9 Hoe iereo tama’e: Aia ty zoto’o hañajariañe aze?
Wakamuuliza, “Wapi unataka tuyafanyie hayo maandalizi?”
10 Hoe ty natoi’e: Ie mizilik’ an-drova ao nahareo le hifanojo ami’ t’indaty minday siny pea rano; oriho mb’an-traño imoaha’e ao.
Akawajibu, “Sikilizeni, mtakapokuwa mmeingia mjini, mwanamume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi. Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia.
11 Le anò ty hoe amy tompon’ anjombay: Hoe t’i Talè ama’o: Aia ty trañon’ ambahiny hitraofako fikama ty Fihelañe toy amo mpiamakoo?
Kisha mwambieni bwana wa nyumba, “Mwalimu anakwambia, “Kiko wapi chumba cha wageni, mahali ambapo nitakula Pasaka na wanafunzi wangu?”
12 le ho toroa’e traño mitratrañàka am-batsa vory haraotse; halankaño ao.
Atawaonyesha chumba cha ghorofani ambacho kiko tayari. Fanyeni maandalizi humo.”
13 Nienga iereo, nahaoniñe hambañ’ amy tsinara’ey vaho nañalankañe i Fihelañey.
Hivyo wakaenda, na wakakuta kila kitu kama alivyowaambia. Kisha wakaandaa chakula cha Pasaka.
14 Ie tondroke i oray, le niambesatse re naho o Firàhe’eo.
Muda ulipofika alikaa na wale mitume.
15 Le nanoa’e ty hoe: Nisalala hikama ty Fihelañe toy iraho mindre ama’ areo aolo’ ty haoreako.
Kisha akawaambia, “Nina shauku kubwa ya kula sikukuu hii ya Pasaka na ninyi kabla ya kuteswa kwangu.
16 Itaroñako te, tsy ihinanako ka, ampara’ ty hifonira’e am-Pifehean’ Añahare ao.
Kwa maana nawaambieni, sitakula tena mpaka itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.”
17 Rinambe’e ty fitovy le nañandriañe nanao ty hoe: Rambeso toy, ifanjotsò,
Kisha Yesu akachukua kikombe, na alipokwisha kushukuru, akasema, “Chukueni hiki, na mgawane ninyi kwa ninyi.
18 Itaroñako te tsy hinomako ka ty voa’ i vahey henàne zao ampara’ te tendreke i Fifehean’ Añaharey.
Kwa maana nawaambia, sitakunywa tena mzao wa mzabibu, mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja.”
19 Nandrambe mofo re le nañandriañe naho nifolahe’e vaho nazotso’e am’iereo ami’ty hoe: Intoy ty vatako banabanaeñe ho anahareo, anò zao ho fitiahiañe ahy.
Kisha akachukua mkate, na alipokwisha kushukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi.”
20 Hoe izay ka i fitoviy, ie fa nikama, nanao ty hoe: Ty fitovy toy ro fañina nivaoeñe ami’ ty lioko nadoañe ho anahareo.
Akachukua kikombe vivyo hivyo baada ya chakula cha usiku akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, ambayo imemwagika kwa ajili yenu.
21 Le hehe te mindre an-tañako am-pandambañañe etoañe ty fitañe hifotetse ahiko.
Lakini angalieni. Yule anisalitie yuko pamoja nami mezani.
22 Toe hitoronjo amy nilaharañey i Ana’ondatiy; fe hankàñe am’ indaty mifotetse azey!
Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake kama ilivyokwisha amuliwa. Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa!”
23 Aa le hene nifañontàne te ia am’ iereo ty hanao izay.
Wakaanza kuulizana wao kwa wao, nani miongoni mwao ambaye angefanya jambo hili.
24 Mbore nialy vava te ia am’ iereo ty atao loha’e.
Kisha yakatokea mabishano katikati yao kwamba ni nani anaye dhaniwa kuwa mkuu kuliko wote.
25 Le hoe t’Iesoà am’ iereo: Manindritindry o kilakila’ ondatio ty mpanjaka’ iareo, mbore tokaveñe ty hoe matarike o mpifele’ iareoo.
Akawaambia, “Wafalme wa watu wa mataifa wana ubwana juu yao, na wale mwenye mamlaka juu yao wanaitwa waheshimiwa watawala.
26 F’ie tsy hanahake izay, fa hisare te zai’areo ty zoke’areo, naho teu mpitoroñe ty mpifehe.
Lakini haitakiwi kabisa kuwa hivi kwenu ninyi. Badala yake, acha yule ambaye ni mkubwa kati yenu awe kama mdogo. Na yule ambaye ni wa muhimu sana awe kama atumikaye.
27 Aa ia ty bey, i miambesatse am-pandambaña eoy, ke ty manjotso? Tsy i miambesatse mikamay hao? Fe mitraoke ama’ areo iraho hoe te mpitoroñe.
Kwa sababu yupi mkubwa, yule akaaye mezani au yule anayetumika? Je si yule aketie mezani? Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye.
28 F’inahareo ro nipitek’ amako amo fañolañ’ay nizoeñeo,
Lakini ninyi ndio ambao mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu.
29 le hifañinako manahake ty fifeheañe nifañinan-dRaeko amako,
Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme,
30 soa te hikama naho hinoñe am-pandambañako am-pifeheako ao nahareo vaho hiambesatse am-piambesan-droandriañe eo hizaka i fifokoa’ Israele folo ro’ amby rey.
kwamba mpate kula na kunywa mezani kwangu kwenye ufalme wangu. Na mtakaa kwenye viti vya enzi mkizihukumu kabila kumi na mbili za Israel.
31 O Simona, Simona, toe nangatahe’ i Ratiy amako irehe ho tsararahe’e hoe lilañe,
Simoni, Simoni, fahamu kwamba, Shetani ameomba awapate ili awapepete kama ngano.
32 fe ihalaliako, te tsy hilesa ty fatokisa’o; le ihe mitampoly, ampahozaro o rahalahi’oo.
Lakini nimekuombea, kwamba imani yako isishindwe. Baada ya kuwa umerudi tena, waimarishe ndugu zako.”
33 Le hoe ty natoi’e aze: O Talè, veka’e hindre ama’o iraho ndra ho am-balabey ndra ho an-kibory ao.
Petro akamwambia, “Bwana, niko tayari kwenda na wewe gerezani na hata katika mauti.”
34 Hoe t’Iesoà: Taroñeko ama’o, Petera, Mbe tsy hikoike i akoholahiy te anito t’ie fa nanao jebe ahy in-telo.
Yesu akajibu, “Nakwambia, Petro, Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua.”
35 Le hoe re am’ iereo: Ie niraheko tsy aman-koro tsy aman-kotrañe tsy aman-kana; ino ty tsy niheneke ama’ areo? Leo raike, hoe iereo.
Kisha Yesu akawaambia, “Nilipowapeleka ninyi bila mfuko, kikapu cha vyakula, ua viatu, je mlipungukiwa na kitu?” Wakajibu “Hakuna.”
36 Aa le hoe re tam’ iereo: Henaneo, ze aman-koroñe, endeso, izay ka ty kotrañe; le ze tsy amam-pibara ro handetake ty sarimbo’e hikaloa’e.
Kisha akawaambia, “Lakini sasa, kila mwenye mfuko, na auchukue pamoja na kikapu cha vyakula. Yule ambaye hana upanga imempasa auze joho lake anunue mmoja.
37 Itaroñako te tsi-mete tsy henefañe amako ze pinatetse ty hoe, Nivolilieñe amo tsereheñeo re; eka, amam-pirefea’e ka ze hifetsak’ amako.
Kwa sababu nawaambia, yote ambayo yameandikwa kwa ajili yangu lazima yatimilike, 'Na alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati.' Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu kinatimizwa.”
38 Hoe o mpiama’eo, O Talè, intoa ty mesolava roe. Soa izay, hoe re.
Kisha wakasema, “Bwana, tazama! Hizi hapa panga mbili.” Na akawaambia”yatosha.”
39 Le nienga mb’am-bohitse Oliva mb’eo re ami’ty lili’e naho nañorik’aze o mpiama’eo.
Baada ya chakula cha usiku, Yesu aliondoka, kama ambavyo amekuwa akifanya mara kwa mara, akaenda mlima wa Mzeituni, na wanafunzi wakamfuata.
40 Ie an-toetse eo, le hoe re tam’iereo: Mihalalia tsy hivariñe am-panjiziañe ao.
Walipofika, aliwaambia, “Ombeni kwamba msiingie majaribuni.”
41 Nihankaña’e va’e tra-torake, nitafatongaleke naho nihalaly
Akaenda mbali na wao kama mrusho wa jiwe, akapiga magoti akaomba,
42 ty hoe: O Aba, naho satri’o, asitak’ amako ty fitovy toy, fe tsy ty satriko fa ty Azo ro hanoeñe.
akisema, “Baba, kama unataka, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike.”
43 Le nisodehañe ama’e ty anjely hirik’ andindìñe ao nampaozatse aze.
Kisha malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
44 Kanao nalovolovy, nimanea’e i halali’ey, le hoe fitsopan-dio jabajaba ty liñe’e nipopok’ an-tane eo.
Akiwa katika kuugua, akaomba kwa dhati zaidi, na jasho lake likawa kama matone makubwa ya damu yakidondoka chini.
45 Ie nitroatse amy halali’ey le nimb’ amo mpiama’eo mb’eo vaho nizoe’e nirotse ty hontoke.
Wakati alipoamka kutoka katika maombi yake, alikuja kwa wanafunzi, na akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni yao,
46 Hoe re am’iereo: Ino ty irota’ areo? Miongaha, le milolofa tsy mone hijoñe am-panjizieñe ao.
na akawauliza, “Kwanini mnalala? Amkeni muombe, kwamba msiingie majaribuni.”
47 Ie mbe nisaontsy, hehek’ i màroy naho i atao Jodasy, mpiamy folo ro’ amby rey, niaolo iareo naho nitotoke Iesoà vaho nañorok’ aze.
Wakati alipokuwa bado akiongea, tazama, kundi kubwa la watu likatokea, na Yuda, mmoja wa mitume kumi na wawili akiwaongoza. Akaja karibu na Yesu ili ambusu,
48 Aa hoe t’Iesoà tama’e, O Jodasy, ondroke hao ty ifotera’o i Ana’ondatiy?
lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
49 Ie nirendre’ o mpiama’eo ty hizò, le hoe iereo ama’e: O Rañandria, ho lafà’ay am-pibara hao?
Wakati wale waliokuwa karibu na Yesu walipoona hayo yanayotokea, wakasema, “Bwana, je tuwapige kwa upanga?”
50 Le kinitsi’ ty raik’ ama’e ty ravembia havana’ ty mpitoro’ i talèm-pisoroñey.
Kisha mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.
51 Fe tinoi’ Iesoà ty hoe: Adono amy zao. Le tsinapa’e i ravembia’ey vaho nampijangañe’e.
Yesu akasema, “hii inatosha. Na akagusa sikio lake, akamponya.
52 Le hoe t’Iesoà amo nimb’ama’e mb’eoo, o mpisorom-beio naho o mpifelek’ Anjomban’ Añahareo vaho o roandriañeo: Ia ty nihofiha’ areo boak’ ao reke-pibara naho doda hoe mañoridañe malaso?
Yesu akasema kwa kuhani mkuu, na kwa wakuu wa hekalu, na kwa wazee waliokuja kinyume chake, “Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga?
53 Nifamoemboeñe ama’areo añ’ Anjomban’ Añahare ao boak’ andro iraho, fa tsy nañitiam-pitàñe. Fe henaneo ty ora’ areo naho ty haozara’ i ìeñey.
Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote kwenye hekalu, hamkuweka mikono yenu juu yangu. Lakini hii ni saa yako, na mamlaka ya giza.”
54 Rinambe’iereo re, le nikozozòteñe mb’eo vaho nazilik’ añ’anjomba’ i mpisorom-beiy. Nanonjohy ey t’i Petera.
Wakamkamata, wakamuongoza, wakamleta nyumbani mwa kuhani mkuu. Lakini Petro akamfuatilia kwa mbali.
55 Teo ty namiañ’ afo an-kiririsa ey naho nitoboke, le niambesatse am’ iereo eo t’i Petera.
Baada ya kuwa wamewasha moto katika ule uwanda wa ndani na walipokwisha kukaa chini pamoja, Petro akakaa katikati yao.
56 Nitrea’ ty mpitoroñ’ ampela namindro amy afoy re naho niharefe’e, le hoe re: Nimpiama’e ka t’indaty tìañe.
Mtumishi mmoja wa kike akamuona Petro alipokuwa amekaa katika mwanga utokanao na moto, akamtazama akamwambia, “Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye.”
57 Fe hoe ty lie’e: O Rampela, jebe ahy izay.
Lakini Petro akakana, akasema, “mwanamke, mimi simjui.”
58 Ie añe, nahaoniñe aze ka ty raike, le hoe re: Mpiam’ iareo ka irehe. Hoe t’i Petera: O koahe, tsy izaho zay!
Baada ya muda kidogo, mtu mwingine akamuona akasema “Wewe pia ni mmoja wao”. Lakini Petro akajibu, “Mwanaume, mimi siyo.”
59 Ie ho ora raik’ añe le eo ty nisikisiky namente ami’ty hoe: Toe nimpindre ama’e re fa nte-Galilia.
Baada ya kama saa moja hivi, mwanaume mmoja akasisitiza akasema, “Kweli kabisa huyu mtu pia alikuwa pamoja naye, maana ni Mgalilaya.”
60 Aa hoe t’i Petera: O korahe nofiko z’o saontsie’o zao! Tsipaepae izay, ie mbe nisaontsy, le nikoike i akoholahiy,
Lakini Petro akasema, “Mwanaume, sijui usemalo.” Na mara, wakati akiongea, jogoo akawika.
61 le nitolike t’i Talè nitalahatse amy Petera. Aa le nitiahi’ i Petera i tsinara’ i Talè ama’ey ty hoe: Aolo’ ty koihe’ i mpikoikey, le hanao jebe ahy in-telo irehe.
Akageuka, Bwana akamtazama Petro. Na Petro akalikumbuka neno la Bwana, pale alipomwambia, “Kabla ya jogoo kuwika leo, utanikana mimi mara tatu.”
62 Niakatse amy zao t’i Petera nangololoike ty rovetse.
Akienda nje, Petro akalia kwa uchungu mwingi.
63 Nikobìke naho namofoke Iesoà o lahilahy namontititse azeo.
Kisha wale wanaume waliokuwa wakimlinda Yesu, wakamdhihaki na kumpiga.
64 Kinàpe’ iereo o fihaino’eo vaho rinarateha’ iareo ty lahara’e, le nañontane aze: Mitokia! Ia o nandafa Azoo?
Baada ya kumfunika macho, wakamuuliza, wakisema, “Tabiri! Ni nani aliyekupiga?”
65 Maro ka ty fiteraterà’ iereo ama’e.
Wakaongea mambo mengine mengi kinyume cha Yesu na kumkufuru yeye.
66 Naho nanjirike àndro, nivory o roandriañeo, o talem-pisoroñeo reketse mpanoki-dily; le nasese am-pivori’iareo ao re, vaho nanoañe ty hoe:
Mara ilipokuwa asubuhi, wazee wa watu walikusanyika pamoja, wakuu wa makuhani na waandishi. Wakampeleka kwenye Baraza,
67 Naho ihe i Norizañey, atalilio. Aa le hoe t’Iesoà am’iereo: Ndra te itaroñako, toe tsy hiantoke
wakisema, “Kama wewe ni Kristo, tuambie.” Lakini yeye akawaambia, “Kama nikiwaambia, hamtaniamini,
68 le ndra t’ie añontaneako tsy hanoiñe ka.
na kama nikiwauliza hamtanijibu.”
69 Henane zao te hiambesatse an-kavanan-kaozaran’ Añahare eo i Ana’ ondatiy.
Lakini kuanzia sasa na kuendelea, Mwana wa Adamu atakuwa amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu.”
70 Aa le hoe ty rodo-bei’ iareo: Anan’ Añahare arè v’Iheo? Hoe ty natoi’e: Ie saontsie’ areo.
Wote wakasema, “Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?” Na Yesu akawaambia, “Ninyi mmesema mimi ndiye.”
71 Le hoe iereo: Inoñe ka ty ipaian-tika valolombeloñe? kanao sambe nahajanjiñe am-bava’e.
Wakasema, “Kwa nini bado tunahitaji tena ushahidi? Kwa sababu sisi wenyewe tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe.”