< Lioka 11 >
1 Teo te nitroatse amy fitaloha’e an-toetse zay t’Iesoà le hoe ty nanoa’ ty mpiama’e: O Rañandria, añohò anay ty hiloloke manahake ty naô’ i Jaona o mpiana’eo.
Ilitokea wakati Yesu alipokuwa anaomba mahali fulani, mmoja wa mwanafunzi wake alimwambia, “Bwana, tufundishe sisi kuomba kama Yohana alivyo wafundisha wanafunzi wake'.
2 Le hoe re am’ iereo: Naho miloloke nahareo, anò ty hoe: O Aba, Havaheñe abey ty tahina’o; Hitotsak’ abey ty fifehea’o,
Yesu akawaambia, Msalipo, semeni, 'Baba, Jina lako litakazwe. Ufalme wako uje.
3 Azotsò lomoñandro ty mahakama mahatsàk’ anay.
Utupe mkate wetu wa kila siku.
4 Le adono o hakeo’aio, Fa apo’ay ka ty tahi’ ze anaña’ay hakeo. Le ko minday anay mb’am-panjiziañe,
Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe wote waliotukosea. Usituongoze katika majaribu.”
5 Le nitovoña’e ty hoe: Ia ama’ areo ro aman-drañetse miheo mb’ ama’e vakimiraleñe mihalaly ty hoe: O koahe, ampitsepaho mofo telo,
Yesu akawaambia, “Ni nani kwenu atakuwa na rafiki, ambaye atamuendea usiku, na kumwambia, Rafiki niazime mikate mitatu.
6 fa pok’ amako ao aniany ty rañeko amy lia’ey vaho tsy eo ty hafahako aze?
Kwa sababu rafiki yangu amenijia sasa hivi kutoka safarini, nami sina cha kumuandalia.'
7 Le hanoiñe ty hoe i añ’anjombay: Ko mañembets’ ahy, fa migabeñe o lalañeo, naho miharo fandreañe amako o keleìakoo, vaho tsy mahafitroatse iraho hañomeako azo ndra inoñe.
Na yule aliyeko ndani akamjibu, usinitaabishe, Mlango umekwisha kufungwa, na watoto wangu, pamoja nami tumekwisha kulala kitandani. Siwezi kuamka na kukupa wewe mikate.
8 Itaroñako te, ndra t’ie tsy hiongake hañomey ty amy firañetañey, i hatsotseha’ey ty hiongaha’e hañomey ze hene paia’e.
Nawaambia, japo kuwa haamki na kukupatia mikate kama rafiki yake, kwa sababu ya kuendelea kumgongea bila aibu, ataamka na kukupatia vipande vingi vya mikate kulingana na mahitaji yako.
9 Aa le hoe ty volako ama’areo: mihalalia, le ho meañe; mitsoeha le ho tendreke, mañonkòña le ho sokafeñe.
Nami pia nawaambieni, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata, pigeni hodi nanyi mtafunguliwa.
10 Fa ze mihalaly mahazo, ze mikodebe mahatendreke vaho ze mañonkòñe ro sokafañe.
Kwa kuwa kila mtu aombaye atapokea, na kila mtu atafutaye atapata, na kila mtu apigaye hodi, mlango utafunguliwa kwake.
11 Aa naho mangatake mofo ama’ iaia ama’areo roae ty ana’e, ho tolora’e vato hao? ke angataha’e fiañe, ho tolora’e mereñe hao hasolo’ i fiañey?
Ni baba yupi miongoni mwenu, mwanaye akimuomba samaki atampa nyoka badala yake?
12 He ihalalia’e atoly, ho sozoa’e kalengo hao?
Au akimuomba yai atampa nge badala yake?
13 Aa ndra t’ie raty ro mahafañome raha soa amo keleia’ areoo, mentsake te hatolon-dRae’areo an-dikerañe ao amy ze mihalaly ama’e i Arofo Masiñey.
Kwa hiyo, ikiwa ninyi mlio waovu mnajuwa kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni kwamba atawapa Roho Mtakatifu hao wamuombao?”
14 Rinoa’e ty kokolampa moañe le ie nifaok’ añe i angatsey, nisaontsy i moañey vaho nilatsa i lahialeñey.
Baadaye, Yesu akawa anakemea pepo, na mtu mwenye pepo alikuwa bubu. Ikawa pepo lilipomtoka, mtu huyo aliweza kuongea. Umati wakastaajabu sana.
15 Aa hoe ty asa’ o ila’eo: I belzeboba, talè’ o kokolampao ro androaha’e kokolampa.
Lakii watu wengine wakasema, huyu anaondo mapepo kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo
16 Ty ila’e ka, nipay viloñe ama’e boak’ andindìñe ao hanjiziañ’ aze.
Wengine walimjaribu na kumtaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
17 Aa kanao niarofoana’ Iesoà ty vetsevetse’ iareo, le nanoa’e ty hoe: Hangoakoake ze fifeheañe mifañito; le hikoromake ze anjomba mifañavake.
Lakini Yesu aliyatambua mawazo yao na kuwaambia, “Kila ufalme utakaogawanyika itakuwa ukiwa, na nyumba iliyo gawanyika itaanguka.
18 Aa lehe mizara i mpañìnjey, hanao akore ty hijadoña’ i fifehea’ey? ie atao’ areo te i belzeboba ro añariako kokolampa.
Kama Shetani atakuwa amegawanyika, ufalme wake utasimamaje? Kwa sababu mwasema natoa mapepo kwa Belzebuli
19 Aa naho i belzeboba ty androahako kokolampa, ia ka ty androaha’ o ana’ areoo ty a iareo? Ie ro hizaka anahareo.
Kama mimi natoa mapepo kwa Belzebuli, je wenzenu wanatoa mapepo kwa njia gani? Kwa sababu hii, wao watawahukumu ninyi.
20 Aa naho ty rambo-pitàn’ Añahare ro androahako kokolampa, le fa tendrek’ ama’areo i Fifehean’ Añaharey.
Lakini, kama natoa mapepo kwa kidole cha Mungu, basi uflame wa Mungu umewajia.
21 Ie ambena’ ty fanalolahy vory fialiañe ty akiba’e, le hanintsiñe o vara’eo.
Mtu mwenye nguvu aliye na silaha akilinda nyumba yake, vitu vyake vitakaa salama.
22 Fa ie iambotraha’ ty maozatse te ama’e, mahagiok’ aze, le hene ho tavane’e o fialiañe niatoa’eo vaho ho zarae’e o finao’eo.
Lakini akivamiwa na mtu mwenye nguvu zaidi, Yule mtu mwenye nguvu atamnyang'anya silaha zake, na kuzichukua mali zake zote.
23 Manjehatse ahy ze tsy mitraok’ amako; le mampiparaitake ze tsy mindre manontoñe amako.
Yeye asiye pamoja nami yuko kinyume nami, na yeye asiyekusanya pamoja nami hutapanya.
24 Ie miakatse am’ ondatio ty kokolampa, manalio mb’an-tane tsi-an-drano mipay ty hitofà’e, fe tsy manjò le manao ty hoe: himpoliako i traño niboahakoy.
Pepo mchafu amtokapo mtu, huenda na kutafuta mahali pasipo na maji ili ajipumzishe. Atakapokuwa amekosa, husema, 'nitarudi nilipotoka.
25 Ie avy ao, zoe’e pinioke vaho soa hamiñe.
Akirudi na kukuta nyumba imefagiliwa na imekaa vizuri.
26 Aa le miavotse re minday kokolampa fito raty te ama’e, le mitsamoake manozìtse ao; raty te amy nifotora’ey ty higadoña’ indatiy.
Hivyo huenda na kutafuta mapepo saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe na kuwaleta waje wakae mahali pale. Na hali ya mtu huyo huwa mbaya kuliko ilivyokuwa mara ya kwanza.”
27 Ie mbe nisaontsy, le nampipoña-peo ty rakemba amy lahialeñey, nanao ty hoe ama’e: Haha ty fisafoañe nivesatse azo naho o fatroa ninonoa’oo.
Ilitokea kwamba alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamke fulani alipasa sauti yake zaidi ya wote kwanye mkutano wa watu na kusema “Limebarikiwa tumbo lililo kuzaa na matiti uliyoyanyonya”
28 Hoe ty natoi’e: Lombolombo’ ty haha ze mijanjiñe ty tsaran’ Añahare vaho mañambeñe aze.
Lakini yeye akasema, wamebarikiwa wale wasikio neno la Mungu na kulitunza.
29 Ie niha-famoeboetse eo i màroy le hoe re: Lo-tsereke ty tariratse mipay viloñe toy, fe tsy eo ty viloñe hatolotse naho tsy ty vilo’ i Jonà,
Wakati umati wa watu wanakusanyika na kuongezeka, Yesu akaanza kusema “Kizazi hiki ni kizazi cha uovu. Hutafuta ishara, na hakuna ishara watayopewa zaidi ya ile ishara ya Yona.
30 fa hambañe ami’ty naha-viloñe amo nte-Niniveo t’i Jonà, i Ana’ondatiy ami’ ty tariratse toy.
Maana kama Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninawi, ndivyo na Mwana wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki
31 Hiongake amy fizakañe ty tariratse toiy i mpanjaka-ampela atimoy handrabioñe aze, fa niboak’añ’ olon-tane añe re hitsendreñe ty hihi’ i Solomona; fe hehe te lombolombo’ i Solomona ty etoy.
Malkia wa Kusini atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki na kuwahukumu wao, kwani yeye alitoka katika mwisho wa nchi ili aje asikilize hekima za Solomoni, na hapa yuko aliye mkuu kuliko Solomoni.
32 Hindre hiongak’ ami’ty tariratse toy amy andron-jakay t’i Ninive hañinje aze amy t’ie nisoloho amy koi-dava’ i Jonày; fe zoke’ i Jonà ty etoañe.
Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki siku ya hukumu watakihukumu, kwani wao walitubu kwa mahubiri ya Yona, na tazama, hapa yuko aliye mkuu kuliko Yona.
33 Tsy eo ty nandrehetse jiro, ze mbore hampikafitse aze ndra hampikolopok’ aze ami’ty tsikotòke, fa hapo’e ambone’ fasian-jiro ey, ho isa’ ze mimoak’ ao i hazavàñey.
Hakuna Mtu yeyote, awashaye taa na kuiweka sehemu ya chini yenye giza isiyoonekana au chini ya kikapu, ila huwasha na kuweka juu ya kitu ili kila mtu aingiaye aweze kuona mwanga.
34 Failom-pañova ty fihaino, ie vantañe ty fihaino’o le lifo-kazavàñe ty sandri’o, fa naho mengoke, le mimoromoroñe iaby ty sandri’o.
Jicho lako ni taa ya mwili. Jicho lako likiwa zuri basi mwili wako wote utakuwa kwenye mwanga. Lakini jicho lako likiwa baya basi mwili wako wote utakuwa kwenye giza.
35 Aa le mitaoa, he maieñe ty zava ama’o ao.
Kwa hiyo, mjihadhari ili mwanga ulio ndani yenu usitiwe giza.
36 Ie amy zao, naho lifo-kazavàñe ty sandri’o naho tsy maieñe ty ao, le ho lifo-kazavañe, manahake ty añazavam-pailo azo amy fireandrea’ey.
Hivyo basi, kama mwili wako wote uko kwenye mwanga, na hakuna sehemu iliyo katika giza, basi mwili wako utakuwa sawa na taa iwakayo na kutoa mwanga kwenu.”
37 Ie mbe nisaontsy, le nañambara aze ty Fariseo, hikama; aa le nizilik’ ao re, nidegañe am-pandambaña eo.
Alipomaliza kuongea, Farisayo alimwalika akale chakula nyumbani kwake, naye Yesu akaingia ndani na kuwa pamoja nao.
38 Fe nilatsa’ i Fariseoy naho nioni’e t’ie tsy nanasa hey aolo’ te nikama.
Na Mafarisayo wakashangaa kwa jinsi ambavyo hakunawa kwanza kabla ya chakula cha jioni.
39 Aa le hoe t’i Talè tama’e: Hehe ty fanoe’ areo Fariseo, liove’ areo ty voho’ o fitovio naho o fingao, fe miboboke tity naho haloloañe ty an-trok’ ao.
Lakini Bwana akawaambia, “Ninyi Mafarisayo mnaosha nje ya vikombe na bakuli, lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu.
40 Ry gege bey! Tsy i nanao ty voho’ey hao ty nanao i am-po’aoy?
Ninyi watu msio na ufahamu, Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia?
41 Hàmake te anoloran-ko falalàñe o ama’areoo, le ho kila halio ty ama’areo.
Wapeni masikini yaliyo ndani, na mambo yote yatakuwa safi kwenu.
42 Hankàñe ama’areo Fariseo! fa ampahafoloe’ areo ty sakaviro naho ty sakay vaho ze karaza añañe; fe rioña’ areo ty hatò naho ty fikokoan’ Añahare; mbe ho nanoe’areo irezay, fe tsy ho nado’areo ka ty ila’e.
Lakini ole wenu Mafarisayo, kwani mnatoa zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani. Lakini mmeacha mambo ya haki na kumpenda Mungu. Ni muhimu zaidi kufanya yaliyo ya haki na kumpenda Mungu, bila kuacha kufanya na hayo mengine pia.
43 Hankàñe ama’areo Fariseo! Tea’ areo ty fiambesatse aolo am-pitontonañe ao naho ty añontanea’ ondaty an-tsena ey,
Ole wenu Mafarisayo, kwa kuwa mnapenda kukaa katika viti vya mbele kwenye masinagogi na kuamkiwa kwa salamu za heshima sokoni.
44 Hankàñe ama’ areo fa manahak’ o kibory tsy amam-pamantarañeo, ie lialià’ ondaty avao kanao tsy fohiñe.
Ole wenu, kwani mnafanana na makaburi yasiyo na alama ambayo watu hutembea juu yake pasipokujua.”
45 Tinoi’ ty mpahay lily ty hoe: O Talè, mañinje anay ka ‘n-Iheo amy saontsi’oy.
Mwalimu mmoja wa sheria za Kiyahudi akamjibu na kumwambia, “Mwalimu, unachokisema kinatuudhi pia sisi.”
46 Hoe ty natoi’e: Hekoheko ama’ areo mpahay Hake ka! Amy te ampijinie’areo kilankañe midogìñe t’indaty, le ndra ty anakiky tsy apao’ areo amy kilankañey.
Yesu akasema, “Ole wenu, waalimu wa sheria! kwani mnawapa watu mizigo mikubwa wasiyoweza kuibeba, walakini ninyi hamgusi mizigo hiyo hata kwa moja ya vidole vyenu.
47 Hankàñe ama’areo! fa amboara’ areo kibory o mpitoky vinonon-droae’ areoo.
Ole wenu, kwa sababu mnajenga na kuweka kumbukumbu kwenye makaburi ya manabii' ambao waliuwawa na mababu zenu.
48 Toe iantofa’ areo ty satan-droae’ areo, ie ro toe namono, naho inahareo ro namboatse o kibori’eo.
Hivyo ninyi mwashuhudia na kukubaliana na kazi walizozifanya mababu zenu, kwa sababu hakika waliwauwa manabii ambao mnajenga kumbukumbu katika makaburi yao.
49 Izay ty nataon’ Añahare ty hoe ami’ty hilala’e, Hañitrifako Mpitoky naho Firàheñe, ho vonoeñe ty ila’e vaho hanilofeñe ty ila’e.
Kwa sababu hiyo pia, hekima ya Mungu inasema, 'Nitawatumia manabii na mitume nao watawatesa na kuwaua baadhi yao.
50 Aa le hampañavahañe ami’ty tariratse toy ty lio’ o mpitoky naorikori’e faha’ ty fifotora’ ty voatse toio,
Kizazi hiki kitawajibika kwa damu ya manabii waliouawa tangu kuanza kwa dunia,
51 mifototse ami’ty lio’ i Abela pak’ ami’ ty lio’ i Zakaria vinono añivo’ i kitreliy naho ty Anjomban’ Añahare eo. Eka! Itaroñako te hampañavahañe ami’ty tariratse toy izay.
Kutoka damu ya Abeli hadi damu ya Zakaria, aliyeuawa katikati ya madhabahu na patakatifu. Ndiyo, nawaambia ninyi, kizazi hiki kitawajibika.
52 Hankàñe ama’areo mpahay lily! Tinava’areo ty lahin-dakilen-kihitse. Tsy nimoaha’areo, fe sebañe’ areo ze mañaly lalañe hizilik’ ao.
Ole wenu waalimu wa sheria za Kiyahudi, kwa sababu mmechukua funguo za ufahamu; nyie wenyewe hamuingii, na wale wanaotaka kuingia mnawazuia.”
53 Ie nanao izay, le nanoe’ o mpanoki-dilio naho o Fariseoo tsikony naho nimanea’ iereo ontane,
Baada ya Yesu kuondoka pale, Waandishi na Mafarisayo walimpinga na kubishana naye juu ya mambo mengi.
54 nandiñe hitsepake aze amy ze hiakatse am-palie’e.
wakijaribu kumnsana kwa maneno yake.