< Levitikosy 1 >

1 Aa le kinanji’Iehovà t’i Mosè vaho nisaontsia’e boak’ amy kibohom-pamantañañey ty hoe:
Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
2 Misaontsia amo ana’ Israeleo le ano ty hoe: Naho ama’ areo ty hañenga soroñe am’ Iehovà, le añandeso amo hare’ areoo: he amo lia-raikeo ke amo añombeo.
“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
3 Aa ie hañenga soroñe boak’ am-pirai-trokey, le lahi’e tsy aman-kandra, an-tsatrin-tro’e t’ie hañenga añatrefa’Iehovà an-dalan-kibohom-pamantañañe eo.
“‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
4 Hasampe’e an-doha’ i hisoroñañey o fità’eo, soa te ho rambeseñe ama’e ho fijebańañe aze.
Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
5 Ho lentae’e añatrefa’Iehovà i baniay; le hendese’ o ana’ i Aharone mpisoroñeo ty lio’e vaho hada­si’ iareo añariary i kitrely an-dalan-kibohom-pamantañañey ty lio’e.
Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
6 Le ho holire’e i hisoroñañey vaho ho patepatere’e.
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
7 Le hampipok’ afo amy kitreliy o ana’i Aharone, Mpisoroñeo, vaho handahatse ty hatae amy afoy.
Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
8 Ho hajarie’ o mpisoroñe, ana’ i Aharoneo, amo hatae añ’ afo ambone’ i kitreliio o tori-henao naho i lohay vaho i safots-ènay;
Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
9 le ho sasà’e an-drano o aova’eo naho o tombo’eo, naho ho forototoe’ i mpisoroñey irezay ho hatoeñe ambone’ i kitreliy, ho soroñe, enga oroañe añ’ afo, ­hàñim-pañanintsiñe am’ Iehovà.
Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
10 Aa naho boak’ amo mpirai-liao—ke añondry he ose—ty hisoroñañe, le ho lahi’e tsy aman-kandra ty hengae’e.
“‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
11 Ho lentà’e avara’ i kitrely añatrefa’ Iehovày, vaho hadàsi’ o ana’ i Aharone mpisoroñeo añ’ariari’ i kitreliy ty lio’e.
Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
12 Ho lilie’e i henay; vaho halaha’ i mpisoroñey ami’ty hatae amy afo ambone’ i kitreliiy ty loha’e naho ty safo’e,
Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
13 le ho sasà’e rano o ova’eo naho o tombo’eo naho ho fonga engae’ i mpisoroñey, hengae’e an-katoeñe amy kitreliy ho soroñe, enga oroañe añ’ afo, hàñim-pañanintsiñe am’ Iehovà.
Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
14 Aa naho voroñe ty hengae’e ho soroñañe am’ Iehovà; he deho ke ana-boromahilala ty ho banabanae’e.
“‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
15 Hendese’ i mpisoroñey mb’ amy kitreliy mb’eo, le haola’e i lohay, naho hengae’e an-katoeñe amy kitreliy; vaho hampiorihe’e añ’ila’ i kitreliy o lio’eo.
Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
16 Hafaha’e ty tsibokò’e naho o volo’eo vaho hahi­fi’e ami’ty ila atiñana’ i kitreliy mb’amy toen-davenokey.
Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
17 Ho vorahe’e amo ela’eo fe tsy ho riate’e roe, le hengae’ i mpisoroñey ho hatoeñe amy kitreliy amy hatae ambone’ i afoiy; ho soroñe, enga oroañe añ’afo, hàñim-pañanintsiñe am’ Iehovà.
Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

< Levitikosy 1 >