< Levitikosy 16 >
1 Hoe ty nitsara’ Iehovà amy Mosè naho fa nikoromake i ana-dahi’ i Aharone roe rey, ie nañarine am’ Iehovà vaho nivetrake;
Bwana akasema na Mose baada ya kifo cha wale wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele za Bwana.
2 aa hoe t’Iehovà amy Mosè: Saontsio aman-drahalahi’o Aharone ty tsy himoake tsi-nahy amy toe-miavake añate’ i lamba-fañefetsey ao, hiatrek’ am’ i toem-pijebañañe ambone’ i vatam-pañinaiy, tsy mone hihomake, fa miboak’ amy rahoñe ambone’ i toem-pijebañañeiy iraho.
Bwana akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.
3 Zao ty hiziliha’ i Aharone amy Toe-miavakey ao: reketse ty bania ho engan-kakeo, naho ty añondrilahy hisoroñañe.
“Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika mahali patakatifu: atachukua fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
4 Hiombea’e i saroñe leny miavakey naho o saroñe leny manaroñe i sandri’eio; ho diañe’e i fiètse leniy, vaho hiombea’e i sabaka leniy; ie sindre sikiñe miavake; ho sasà’e an-drano hey i sandri’ey, vaho hañombe irezay.
Atavaa koti takatifu la kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani; atafunga mshipi wa kitani kiunoni, na kuvaa kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu, kwa hiyo ni lazima aoge kwa maji kabla ya kuyavaa mavazi hayo.
5 Le hangalake vik’oselahy roe amy fivori’ bein’ ana’ Israeley re ho engan-kakeo, naho ty añondrilahy hisoroñañe.
Atachukua mbuzi dume wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
6 Le hasese’ i Aharone i banian’ engan-kakeo ho am-bata’ey, hijebaña’e ty vata’e naho i anjomba’ey.
“Aroni atamtoa huyo fahali kwa ajili ya sadaka yake ya dhambi ili afanye upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake.
7 Ho rambese’e i ose roe rey, vaho hampijohaña’e aolo’ Iehovà an-dalan-kibohom-pamantañañe eo.
Kisha atawachukua wale mbuzi dume wawili na kuwaleta mbele za Bwana kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
8 Le hanao kitsapake amy ose roe rey t’i Aharone; ty tsapake raike ho a Iehovà vaho ty tsapake raike ho a i Azazele.
Aroni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya Bwana na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi.
9 Ho banabanae’ i Aharone i ose niazo an-tsapake ho a’ Iehovà le hengae’e ho engan-kakeo,
Aroni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya Bwana imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
10 fe hampijohañañe veloñe aolo’ Iehovà i ose niazo an-tsapake ho a i Azazeley, hanoañe fijebañañe vaho hampihitrifeñe mb’am-patrambey mb’amy Azazele añe.
Lakini mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa kubebeshwa dhambi atatolewa akiwa hai mbele za Bwana, atumike kwa kufanya upatanisho kwa kumwacha aende jangwani akiwa amebebeshwa dhambi.
11 Hengae’ i Aharone amy zao i banian’ engan-kakeo ho am-bata’ey, hijebañe ty vata’e naho o añ’anjomba’eo, vaho ho lenta’e i banian’ engan-kakeo ho am-bata’ey.
“Aroni atamleta yule fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na nyumba yake, naye atamchinja huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe.
12 Ho rambese’e ty sadro pea vae mirekake boak’ amy kitrely añatrefa’ Iehovày, naho ty emboke mañitse dinemoke mahaatsa-pitàn-droe vaho hasese’e mb’amy lamba-fañefetsey ao,
Atachukua chetezo kilichojaa makaa yanayowaka kutoka madhabahuni mbele za Bwana, na konzi mbili za uvumba laini uliosagwa vizuri wenye harufu, na kuvipeleka nyuma ya pazia.
13 hapo’e ambone’ i afo añatrefa’ Iehovày i embokey, hañàmpoa’e i toem-pijebañañe ambone’ i fañinaiy i hatoen-embokey, tsy mone hivetrake re.
Ataweka uvumba juu ya moto mbele za Bwana, na moshi wa uvumba utafunika kile kiti cha rehema kilicho juu ya Ushuhuda, ili asife.
14 Handrambesa’e ty lio’ i baniay le hafitsen-drambo-pità’e añ’ila atiñana’ i toem-pijebañañey, vaho hafitsen-drambo-pità’e im-pito aolo’ i toem-pijebañañey i lioy.
Atachukua sehemu ya damu ya fahali, na kwa kidole chake atanyunyiza sehemu ya mbele ya kiti cha rehema; kisha atanyunyiza sehemu ya hiyo damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kiti cha rehema.
15 Ho lentae’e amy zao i osen-engan-kakeo ho a ondatioy vaho hendese’e mb’am-po i lamba fañefetsey ao ty lio’e, le hambañe amy nanoa’e amy liom-baniaiy ty hanoa’e amy lioy: hafitse’e amy kapekey naho aolo’ i kapekey,
“Kisha atamchinja mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, na kuichukua damu yake nyuma ya pazia, na aifanyie kama alivyofanya kwa damu ya fahali: Atanyunyiza juu ya kiti cha rehema na mbele yake.
16 le hijebañe i toe-miavakey re ty amo haleora’ o ana’Israeleoo, naho ty amo fiolàñe nampanan-tahiñe iareo iabio; izay ka ty hanoe’e amy kibohom-pamantañañe mitoboke añivo’ ty haleora’ iareoy.
Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu kwa sababu ya unajisi na uasi wa Waisraeli, kwa dhambi zao zozote. Atafanya hivyo kwa ajili ya Hema la Kukutania, ambalo liko miongoni mwao katikati ya unajisi wao.
17 Ko apoke te ho ama’ ondaty ty an-kibohom-pamantañañe ao ie mimoak’ ao hijebañe amy toe-miavakey ampara’ te miavotse, ie fa nanao hijebañañe ho amy vata’ey naho i anjomba’ey vaho i valobohò’ Israele iabiy.
Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.
18 Hiavotse mb’amy kitreliy añatrefa’ Iehovà mb’eo re hijebañañe aze, naho hangalak’ ami’ ty lio’ i baniay naho ami’ty lio’ i osey, vaho hatente’e amo tsifa miariari’ i kitreliio.
“Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za Bwana na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu.
19 Le hamitseza’e lio im-pito an-drambo-pità’e, hañaliova’e hiavake ami’ty haleora’ o ana’ Israeleo.
Atanyunyiza baadhi ya hiyo damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, ili kuitakasa na kuiweka wakfu kutokana na unajisi wa Waisraeli.
20 Ie heneke ty fañefera’e i toe-miavakey naho i kibohom-pamantañañey naho i kitreliy, le hampiatrefe’e i ose veloñey.
“Aroni atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, atamleta mbele yule mbuzi aliye hai.
21 Hasampe’ i Aharone an-doha’ i ose’ veloñey ty fità’e roe le hiantofa’e ama’e ze hene hìla’ o ana’ Israeleo, naho o fiodiañe nampanan-kakeo iareo iabio le hapo’e an-doha’ i osey, vaho hampanesefeñe mb’am-patrambey añe, am-pità’ t’indaty nihentseñeñe.
Aroni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi aliye hai na kuungama juu yake uovu wote na uasi wa Waisraeli, yaani dhambi zao zote, ili kuziweka juu ya kichwa cha huyo mbuzi. Atamwachia huyo mbuzi akimbilie jangwani kwa uangalizi wa mtu aliyepewa wajibu huo.
22 Fonga ho vavè’ i osey am-bata’e mb’ am-bangìñe añe o hakeo’ iareoo; le hampidada’e an-dratraratra añe i osey.
Yule mbuzi atachukua juu yake dhambi zao zote mpaka mahali pasipo na watu; naye yule mtu atamwachia akimbilie jangwani.
23 Ie añe, le hizilik’ an-kibohom-pamantañañe ao t’i Aharone hañafake o siki-leny nisaroña’e amy fiziliha’e amy toe-miavakeiio vaho hapo’e ao;
“Kisha Aroni ataenda ndani ya Hema la Kukutania na kuvua yale mavazi ya kitani aliyoyavaa kabla ya kuingia katika Patakatifu pa Patakatifu, naye atayaacha pale.
24 le hanasa sandriñe an-drano amy toe-miavakey re, le hañombe saroñe ila’e naho hiavotse vaho hañenga i soroñe ho am-bata’ey naho i soroñe ho a ondatioy hijebaña’e ty vata’e naho ondatio,
Ataoga kwa maji katika mahali patakatifu na kuvaa mavazi yake ya kawaida. Kisha atatoka na kutoa dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yake na sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe, na kwa ajili ya watu.
25 hengae’e an-katoeñe amy kitreliy ty safo’ i engan-kakeoy.
Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
26 Le ho sasà’ i nanese i ose mb’amy Azazeley o saro’eo vaho hiandro an-drano, heneke izay le himoak’ an-tobe ao.
“Yule mtu anayemwachia yule mbuzi wa kubebeshwa dhambi ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji; baadaye anaweza kuingia kambini.
27 Ho jinieñe alafe’ i tobey i banian-engan-kakeoy naho i osen-engan-kakeoy; i nañandesan-dio hijebañañe i toe-miavakey rey, le fonga horoañe ty holi’iareo, ty nofo’iareo vaho ty tai’ iareo.
Yule fahali na mbuzi waliotolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi, ambao damu yao ilikuwa imeletwa Patakatifu pa Patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho, ni lazima watolewe nje ya kambi. Ngozi zao, nyama, na matumbo pamoja na mavi vitateketezwa kwa moto.
28 Ho sasà’ i mpañoro’ irezaiy o siki’eo, naho hampandroa’e an-drano i sandri’ey; izay re vaho hizilik’ an-tobe ao.
Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini.
29 Hambena’ areo ho fañè nainai’e zao: ami’ty volam-paha fito, ami’ty andro faha folo’ i volañey, le hilie-batañe nahareo tsy hitoloñe aman-dra inoñ’inoñe, ke t’ie samak’ an-tane, he t’ie renetane mimoneñe ama’ areo ao.
“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni lazima mfunge, wala msifanye kazi yoyote, iwe mzawa au mgeni anayeishi miongoni mwenu,
30 Fijebańañe anahareo i andro zay, fañaliovañe; soa t’ie halio añatrefa’ Iehovà amo fonga hakeo’ areoo.
kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha mtakuwa safi mbele za Bwana kutokana na dhambi zenu zote.
31 Ho Sabatam-pitofàñe do’e ho anahareo izay, hiliera’ areo vatañe; ie fañè nainai’e tsy modo.
Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.
32 I mpisoroñe norizañe naho natokañe hitoloñe ho mpisoroñe handimbe an-drae’ey ty hanao i fijebañañey, ie hañombe o saroñe lenio, o saro-miavakeo,
Kuhani ambaye ametiwa mafuta na kuwekwa wakfu ili kuingia mahali pa baba yake kama kuhani mkuu atafanya upatanisho. Atavaa mavazi matakatifu ya kitani,
33 naho hijebaña’e i toe-miavakey, naho hijebañe i kibohom-pamantañañey naho i kitreliy, eka naho o mpisoroñeo naho ondaty amy valobohòkey iabio.
na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.
34 Ho fañè nainai’e tsy modo ho anahareo izay, hijebañañe o ana’ Israeleo amo tahi’ iareo iabio boa-taoñe. Le nanoe’ i Mosè i nandilia’ Iehovày
“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.” Ndivyo ilivyofanyika, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.