< Levitikosy 12 >
1 Hoe ty nitsara’ Iehovà amy Mosè,
Bwana akamwambia Mose,
2 Misaontsia amo ana’Israeleo, ty hoe: Ie miareñe ty ampela naho misamak’ ana-dahy, le haleotse re am-para’ ty andro faha-fito, manahake o androm-piambola’eo ty ho faleora’e.
“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.
3 Le ho tampaheñe ami’ty andro fahavalo ty ofo’e.
Mvulana atatahiriwa siku ya nane.
4 Hidoñe am-pitaià’e ao re hiefetse ami’ty lio’e telopolo andro telo amby, le tsy hitsapa raha miavake naho tsy hizilik’ amy toe-miavakey ampara’ te heneke o andro fitaià’eo.
Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.
5 Aa naho mone misamak’ ampela re le haleotse hereñandro roe manahake i fiambola’ey, le hiefe-batañe andro enempolo-eneñ’amby ty amy lio’ey.
Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.
6 Ie heneke ty androm-piefera’e, ke te lahilahy ke te anak’ampela, le hengae’e amy mpisoroñe an-dalan-kibohom-pamantañañey ty vik’ añondry, lahi’e taoñe raike, hisoroñañe, naho ana-boromahilala ndra deho ho engan-kakeo.
“‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
7 Le hengae’e añatrefa’ Iehovà, naho hijebañe aze, vaho halio re amy fiorihan-dio’ey. Izay ty fetse ami’ ty rakemba nisamake lahilahy ndra ampela.
Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake. “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
8 Aa naho tsy lefe’e ty añondry le hindesa’e ana-boromahilala roe he deho roe; ty raike hisoroñañe vaho ty raike ho engan-kakeo; le hijebañe aze i mpisoroñey vaho halio re.
Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”