< Jona 2 >

1 Nihalaly am’ Iehovà Andrianañahare’e, an-tro’ i fiañey ao t’Ionà,
Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
2 ami’ty hoe, Nitoreo am’ Iehovà amy fisotriakoy, le tinoi’e; nikoiake boak’ an-Tsikeokeok’ ao, vaho jinanji’o ty feoko. (Sheol h7585)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
3 Fa navokovoko’o an-daleke ao iraho, an-teñateña’ o riakeo ao; nandipots’ ahy o kinera’eo; niary amboneko eo ze hene alo’o naho onja’o.
Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
4 Aa le hoe iraho, nahifike tsy ho isam-pihaino’o; fa ho toliheko indraike i kivoho’o miavakey.
Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
5 Niarikoboñe ahy o ranoo, pak’an-troko, niariseho amako i lalekey; vinandibandi’ o lomotseo ty lohako.
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
6 Nizotso mb’ am-baha’ o vohitseo; nañarikatok’ahy kitro katroke o tsotsò’ ty tane toio; fe nakare’o boak’ an-kibory ao ty haveloko, ry Iehovà Andrianañahareko.
Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
7 Ie nitoirañe an-troko ao ty fiaiko, le nahatiahy Iehovà, vaho niheo mb’ama’o an-kivoho’o miavake ao ty halaliko.
“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
8 Tsambolitio’ o mpañaon-kakoaham- bandeo ty fiferenaiñañe ama’e.
“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
9 Fe hañenga soroñe ama’o raho am-peom-pañandriañañe; havahako i ni-fantàkoy, fa boak’ am’ Iehovà ty fandrombahañe.
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
10 Aa le nafanto’ Iehovà i fiañey, vaho naloa’e an-tamboho ey t’Ionà.
Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

< Jona 2 >