< Jaona 11 >

1 Teo t’indaty nisiloke, i Laza­rosy nte-Betania, an-drova’ i Marie naho i Marta raha­vave’e;
Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha Maria na Martha dada zake.
2 ie i Marie nañosotse solik’ amy Talè naho namaoke o fandia’eo amo maroi’eo. I Lazarosy rahalahi’ey ty nisiloke,
Huyu Maria, ambaye Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu yake kwa nywele zake.
3 aa le nampihitrife’ i rahavave’e rey ama’e ty hoe: O Talè, Inao! siloke i rañe’oy.
Hivyo hawa dada wawili walituma ujumbe kwa Yesu kumwambia, “Bwana, yule umpendaye ni mgonjwa.”
4 Ie nahajanjiñe zay t’Iesoà, le hoe re: Tsy higadoñe an-kamomohañe i hasilofañe zay, fa ho ami’ty engen’ Añahare, handrengeañe i Anan’ Añaharey.
Lakini Yesu aliposikia hayo, akasema, “Ugonjwa huu hautaleta mauti bali umetokea ili kudhihirisha utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu apate kutukuzwa kutokana na ugonjwa huu.”
5 Nikokoa’ Iesoà t’i Marta naho i rahavave’ey vaho i Lazarosy.
Pamoja na hivyo, ingawa Yesu aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao,
6 Aa naho jinanji’e t’ie niheta’e le mbe nitamañe roe andro an-toe’e eo avao.
baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
7 Ie añe le hoe re amo mpiama’eo, Antao hionjomb’e Iehodà indraike.
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Haya, turudi Uyahudi.”
8 O Talè, hoe o mpiama’eo: anianike te nipay hametsa-bato ama’o o Tehoda, aa le hibalike mb’eo v’Iheo?
Wanafunzi wake wakamwambia, “Rabi, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”
9 Tinoi’ Iesoà ty hoe: Tsy ora folo-ro’amby hao o fangen’ antoandroo? Ie mañavelo an-tariñandroke ondatio le tsy hitsikapy amy te isa’e ty hazava’ ty voatse toy.
Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.
10 Fa ie manjotike haleñe t’indaty, le hitsikapy amy te tsy ama’e i hazavàñey.
Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
11 Ie nanoe’e izay, le tinovo’e ty hoe: Fa mirotse i rañen-tika Laza­rosiy; fe homb’eo iraho hanohiñ’ aze amy firota’ey.
Baada ya kusema haya, Yesu akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”
12 Aa hoe o mpiama’eo: O Talè, kanao mirotse re, tsy t ‘ie mihajangañe hao?
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
13 I havilasi’ey ty nitsarae’ Iesoà; fe natao’ iereo te i fitofà’e am-piròtsey ty nienta’e.
Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
14 Aa le nabeja’ Iesoà ami’ty hoe: Toe fa nivetrake t’i Lazarosy.
Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.
15 Le ehake ty ama’areo iraho te tsy añe, hatokisa’ areo; antao homb’ ama’e mb’eo.
Hata hivyo nafurahi kwa kuwa sikuwepo huko kabla ya Lazaro kufa, ili mpate kuamini. Lakini sasa twendeni kwake.”
16 Le hoe t’i Tomasy (atao Didimo) amo mpifañosoñe ama’eo: Antao ka tika hitrao-pihomak’ ama’e.
Tomaso aliyeitwa Pacha akawaambia wanafunzi wenzake, “Sisi nasi twendeni tukafe pamoja naye.”
17 Ie pok’eo t’Iesoà, zoe’e t’ie fa efats’ andro an-donak’ ao.
Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.
18 Toe marine’ Ierosaleme ty Betania, miha folo-lim’ amby stadia avao;
Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,
19 maro amo Tehoda ty nomb’amy ­Marta naho i Marie mb’eo nañotroñe iareo ty amy rahalahi’ iareoy.
na Wayahudi wengi walikuwa wamekuja kuwafariji Martha na Maria kwa ajili ya kufiwa na ndugu yao.
20 Ie nirendre’ i Marta te nimb’eo t’Iesoà le niavotse nanalaka aze, fe tambatse añ’anjomba ao t’i Marie.
Martha aliposikia kwamba Yesu anakuja, alitoka kwenda kumlaki, ila Maria alibaki nyumbani.
21 Le hoe t’i Marta amy Iesoà: O Talè, naho teo irehe tsy ho nivilasy i rahalahikoy.
Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.
22 Fe apotako, ndra henanekeo te ze halalie’o aman’ Añahare, ro hatolon’ Añahare Azo.
Lakini sasa ninajua kuwa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
23 Hoe t’Iesoà tama’e: Hitroatse i rahalahi’oy.
Yesu akamwambia, “Ndugu yako atafufuka.”
24 Hoe t’i Marta: Fantako t’ie hivañom-beloñe amy fivañonam-belo’ i andro honka’eiy.
Martha akamjibu, “Ninajua ya kuwa atafufuka wakati wa ufufuo wa wafu siku ya mwisho.”
25 Hoe t’Iesoà tama’e: Izaho o fivañonan-koveloñeo naho o haveloñeo; ho veloñe ze miato amako, ndra te vilasy.
Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa atakuwa anaishi
26 Tsy ho vilasy ka ze veloñe miato amako. Atokisa’o v’izao? (aiōn g165)
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn g165)
27 Hoe re tama’e; Eñ’anio Talè, atokisako te Ihe i Norizañey, i Anan’ Añahare nivotrak’ ami’ty voatse toiy.
Martha akamwambia, “Ndiyo Bwana, ninaamini ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye ulimwenguni.”
28 Ie nanoe’e izay, le nienga hikoike i Marie rahavave’e vaho natola’e, nanao ty hoe: F’atoy t’i Talè, mikanjy azo.
Baada ya kusema haya Martha alikwenda, akamwita Maria dada yake faraghani na kumwambia, “Mwalimu yuko hapa anakuita.”
29 Ie jinanji’e izay le niongak’ amy zao vaho nimb’ama’e mb’eo.
Maria aliposikia hivyo, akaondoka upesi akaenda mpaka alipokuwa Yesu.
30 Mbe tsy nigodañe an-tanàñe ao t’Iesoà, fa tamy nanalakà’ i Martay avao.
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
31 Ie nioni’ o Jiosy naho mpañohò mindre amy Marie añ’anjomba’eo t’ie niongake masìka naho niavotse, le nanonjohy aze fa natao’ iareo t’ie nimb’an-donake mb’eo hirovetse.
Wale Wayahudi waliokuwa pamoja na Maria nyumbani wakimfariji walipoona ameondoka haraka na kutoka nje, walimfuata wakidhani ya kwamba alikuwa anakwenda kule kaburini kulilia huko.
32 Ie pok’ amy Iesoà eo t’i Marie, le niisa’e naho nihohok’ am-pandia’e eo, nanao ty hoe: O Rañandria naho teo irehe tsy ho nihomake i rahalahikoy.
Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa, alipiga magoti miguuni Pake na kusema, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.”
33 Ie nivazoho’ Iesoà t’ie niharovetse naho te nirovetse ka o Jiosy nindre ama’eo, le niselekaiñe añ’arofo ao vaho nioremeñe,
Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana.
34 nanao ty hoe: Aia ty nandrohota’ areo aze? Hoe iereo tama’e: O Talè, mb’etoañe hivazoho.
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
35 Nirovetse t’Iesoà.
Yesu akalia machozi.
36 Le hoe o Tehodao, Hehe ty fikokoa’e aze!
Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”
37 Fa hoe ty ila’e: Aa vaho akore ondatio, ie nampibeake ty fihaino’ o feio, tsy ho nikalañe indatiy tsy ho nihomake?
Lakini wengine wakasema, “Je, yule aliyefungua macho ya kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?”
38 Niroreke indraike t’Iesoà, le nimb’ an-donake mb’eo, ie lakato ginabem-bato.
Yesu kwa mara nyingine akiwa amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa limewekwa kwenye ingilio lake.
39 Le hoe t’Iesoà: Adogeràto o vatoo. Fe nanoa’ i Marta, rahavave’ i nivilasiy, ty hoe: O Talè, mitrotròtse re henaneo, fa efats’ andro!
Yesu akasema, “Liondoeni hilo jiwe.” Martha ndugu yake yule aliyekuwa amekufa akasema, “Lakini Bwana, wakati huu atakuwa ananuka kwani amekwisha kuwa kaburini siku nne.”
40 Hoe t’Iesoà ama’e: Tsy vinolako hao te ihe matoky ro hahaoniñe ty engen’ Añahare?
Yesu akamwambia, “Sikukuambia kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”
41 Aa le nadogera’ iereo i vatoy. Niandrandra t’Iesoà nanao ty hoe: O Aba, mañandriañe Azo iraho fa jinanji’o.
Kwa hiyo wakaliondoa lile jiwe kutoka kaburini. Yesu akainua macho yake juu akasema, “Baba, ninakushukuru kwa kuwa wanisikia.
42 Fantako te ijanjiña’o nainai’e, fe ondaty mijohanjohañ’ etoañeo ty nivolañako, hatokisa’e te ihe ro nañitrik’ ahy.
Ninajua ya kuwa wewe hunisikia siku zote, lakini nimesema haya kwa ajili ya umati huu uliosimama hapa, ili wapate kuamini ya kuwa wewe umenituma.”
43 Ie nanao izay le nipazahe’e ty hoe: O Laza­rosy, miakara!
Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti yake akaita, “Lazaro, njoo huku!”
44 Niakatse i nivilasiy, nivahoren-damban-dolo o fità’e naho fandia’eo, mbore nibandieñe lamba-leny i lahara’ey; vaho hoe t’Iesoà tam’ iereo: Draito, apoho hidraidraitse.
Yule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”
45 Aa le maro amo Jiosy nitilike i Marieo, ie nahaisak’ i nanoe’ Iesoày, ro niantok’ aze.
Hivyo Wayahudi wengi waliokuwa wamekuja kumfariji Maria, walipoona yale Yesu aliyoyatenda wakamwamini.
46 Fe niheo mb’amo Fariseoo mb’eo ty ila’e nitalily o nanoe’ Iesoào.
Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Yesu aliyoyafanya.
47 Aa le nanontom-pivory o mpisorom-beio naho o Fariseoo vaho nanao ty hoe: Ino ty hanoen-tika? amy te maro ty viloñe anoe’ indatiy.
Kwa hiyo viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaita mkutano wa baraza. Wakaulizana, “Tufanyeje? Huyu mtu anafanya ishara nyingi.
48 Ie apo-tika hitoloñe hoe izay, le hene hiantok’ aze, vaho hivotrak’eo o nte Romao hitavañe ty toen-tika naho ty fifehean-tika.
Kama tukimwacha aendelee hivi, kila mtu atamwamini, nao Warumi watakuja na kupaharibu mahali petu patakatifu na taifa letu.”
49 Aa hoe ty raik’ am’iereo, i Kaiafa, talèm-pisoroñe amy taoñe zay: Tsy maha-pi-draha nahareo!
Mmoja wao aliyeitwa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo, akasema, “Ninyi hamjui kitu chochote!
50 Tsy aereñere’ areo hao te mahasoa anahareo te hivilasy ho a ondatio t’indaty raike, ta te fonga ho rotsaheñe i fifeheañey?
Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”
51 Tsy te aze i entañe zay, fa t’ie ni-talèm-pisoroñe amy taoñey ro nitoky te hivetrake ho a i fifeheañey t’Iesoà,
Hakusema haya kutokana na mawazo yake mwenyewe bali kama kuhani mkuu mwaka huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya taifa la Wayahudi,
52 vaho tsy ho a’ i fifeheañey avao, fa hatonto’e ho raike o anan’ Añahare miparaitakeo.
wala si kwa ajili ya taifa hilo pekee, bali pia kwa ajili ya watoto wa Mungu waliotawanyika, ili kuwaleta pamoja na kuwafanya wawe wamoja.
53 Nifototse amy andro zay, le nikinia ty hañoho-doza ama’e iareo
Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.
54 Aa le tsy nañavelo aivo’ o Tehodao ka t’Iesoà, fa nivike mb’an-tane marine’ i fatram-beiy naho nimb’an-drova atao Efraime, vaho nañialo ao rekets’ o mpiama’eo.
Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.
55 An-titotse henane zay i Fihelañ’ ambone’ o Jiosioy, le niavotse hirik’ an-kalok’ao ty maro nionjoñe mb’e Ierosaleme mb’eo aolo’ i Fihelañey, hiefetse.
Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase.
56 Aa ie nitsoetso­eke Iesoà le nifamesoveso o nijohanjohañe añ’ anjomban’ Añahare aoo, ty hoe: Akore ty heve’ areo? Tsy homb’ an-tsàndalam-bey atoa hao re?
Watu wakawa wanamtafuta Yesu, nao waliposimama kwenye eneo la Hekalu waliulizana, Je, mtu huyu hatakuja kamwe kwenye Sikukuu?
57 Ie amy zao, fa linili’ o mpisorom-beio naho o Fariseoo te tsi-mete tsy mitalily ze mahafohiñe ty anjoañ’ aze, hitsepaha’ iareo.
Viongozi wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kuwa yeyote atakayejua mahali Yesu aliko, lazima atoe taarifa ili wapate kumkamata.

< Jaona 11 >