< Joba 41 >
1 Mahatarike i Leviatàne am-bintañe v-iheo? hatindri’o ambane an-tàly hao i lela’ey?
“Je, waweza kumvua Lewiathani kwa ndoano ya samaki, au kufunga ulimi wake kwa kamba?
2 Lefe’o hao ty mampikiviro i oro’ey, ndra ty hangirike i soma’ey am-pengoke?
Waweza kupitisha kamba puani mwake, au kutoboa taya lake kwa kulabu?
3 Hanao lako halaly ama’o hao re? Ke hivolañe mora ama’o?
Je, ataendelea kukuomba umhurumie? Atasema nawe maneno ya upole?
4 Hifañina ama’o hao, handrambesa’o aze ho fetrek’oro’o kitro katroke?
Je, atafanya agano nawe ili umtwae awe mtumishi wako maisha yake yote?
5 Ho hisà’o hao hoe voroñe? ke ho tantalie’o ho amo anak’ ampela’oo.
Je, utamfuga na kumfanya rafiki kama ndege, au kumfunga kamba kwa ajili ya wasichana wako?
6 Hifampihehetse ama’e hao o mpanao balikeo? Ho zarae’ iareo am’ o mpanao takinakeo hao re?
Je, wafanyabiashara watabadilishana bidhaa kwa ajili yake? Watamgawanya miongoni mwa wafanyao biashara?
7 Ho tsitsihem-pirango hao i holi’ey? Ndra i loha’ey an-defom-piañe?
Je, waweza kuijaza ngozi yake kwa vyuma vyenye ncha kali, au kichwa chake kwa mkuki wa kuvulia samaki?
8 Apaoho ama’e ty fità’o vaho tiahio i ho ali’oy te tsy hindroe’o.
Kama ukiweka mkono wako juu yake, utavikumbuka hivyo vita na kamwe hutarudia tena!
9 Hete! Toe tsy vente’e t’ie salalaeñe, tsy ho tafahohoke hao te isahañe?
Tumaini lolote la kumtiisha ni kujidanganya; kule kumwona tu kunamwangusha mtu chini.
10 I Tsy eo ty lahitsi’ay mahavany hitsobore aze; ia arè ty mahafiatreatre amako?
Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza. Ni nani basi awezaye kusimama dhidi yangu?
11 Ia ty nanolotse ahy, te havahako? ahiko ze hene ambanen-dikerañe ao.
Ni nani mwenye madai dhidi yangu ili nipate kumlipa? Kila kitu kilicho chini ya mbingu ni mali yangu.
12 Tsy hitsiñeko o kitso’eo, ty haozara’e ra’elahiy, vaho i sandri’e tsaratseakey,
“Sitashindwa kunena juu ya maungo yake, nguvu zake na umbo lake zuri.
13 Ia ty hañolitse o sisin-koli’eo? Ia ty hahafizilik’ añivom-balañorà’e roe ao?
Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje? Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?
14 Ia ty mahafisokake o lalam-bein-tarehe’eo? mampangetraketrake ty fañarikatoha’ o nife’eo.
Nani athubutuye kuufungua mlango wa kinywa chake, kilichozungukwa na meno yake ya kutisha pande zote?
15 Fisengea’e o sisì’e fatratseo, ie mikititse hoe linite;
Mgongo wake una safu za ngao zilizoshikamanishwa imara pamoja;
16 Akore ty fifampikiteha’e kanao tsy mahafitsifitse ao ty tioke.
kila moja iko karibu sana na mwenzake, wala hakuna hewa iwezayo kupita kati yake.
17 Nifampireketeñe iereo, mifampipiteke, tsy lefe akatrake.
Zimeunganishwa imara kila moja na nyingine; zimengʼangʼaniana pamoja wala haziwezi kutenganishwa.
18 Mitsopela-kazavàñe o fihatsìhe’eo, manahake ty holi-maso’ i maraindraiñey o maso’eo.
Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.
19 Failo milebaleba ty miakatse am-bava’e, afo mipelatse ty mipitsike mb’eo.
Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake; cheche za moto huruka nje.
20 Mañatoeñe o loa-koro’eo, hoe valàñe mamorotse ambone vinda mirehetse.
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
21 Mamiañe foroha ty kofò’e, afo misodotse ty miboak’ am-bava’e ao.
Pumzi yake huwasha makaa ya mawe, nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.
22 Mimoneñe an-kàto’e ty haozarañe, vaho mitsinjak’ aolo’e eo ty miroreke.
Nguvu hukaa katika shingo yake; utisho hutangulia mbele yake.
23 Mifampirekets’ ama’e i holi’e mifanosokeo, gañe ama’e Izay tsy mete asitse.
Mikunjo ya nyama yake imeshikamana imara pamoja; iko imara na haiwezi kuondolewa.
24 Gañe hoe vato ty fo’e; manahake ty hamafem-bato-lisañe ambane.
Kifua chake ni kigumu kama mwamba, kigumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 Ie mivoalatse, miholi-tsandry o fanalolahio; ie vereñe mamoe’ay.
Ainukapo, mashujaa wanaogopa; hurudi nyuma mbele yake anapokwenda kwa kishindo.
26 Tsy lefe t’ie liherem-pibara, ndra lefoñe, ndra ana-defo, ndra baramino masioñe.
Upanga unaomfikia haumdhuru, wala mkuki au mshale wala fumo.
27 Atao’e ho boka maike ty viñe, naho hatae voroke ty torisìke.
Chuma hukiona kama unyasi, na shaba kama mti uliooza.
28 Tsy mahafandrifitse aze o ana-paleo; atao’e forompotse o vato-piletseo.
Mishale haimfanyi yeye akimbie; mawe ya kombeo kwake ni kama makapi.
29 Tonton-drongoñe ama’e o kobaiñeo, tohafa’e o lefoñe mikaratsakaratsakeo.
Rungu kwake huwa kama kipande cha jani kavu; hucheka sauti za kugongana kwa mkuki.
30 Silam-balañe-tane masioñe ty ambane’e, hoe mamofopofoke ampemba t’ie miranga fotake.
Sehemu zake za chini kwenye tumbo zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu, zikiacha mburuzo kwenye matope kama chombo chenye meno cha kupuria.
31 Ampitroatroahe’e hoe valàñe i lalekey; ampanahafe’e ami’ty fampitranahañe rano mañitse i riakey.
Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa ichemkayo, na kukoroga bahari kama chungu cha marhamu.
32 Anoe’e lala-miloeloe ty am-boho’e ao anoe’e hoe a maròy foty i lalekey.
Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta; mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi.
33 Tsy ambone-tane atoy ty mañirinkiriñe aze, ie nitsenèñe tsy ho aman-tahotse.
Hakuna chochote duniani kinacholingana naye: yeye ni kiumbe kisicho na woga.
34 Jilojilove’e iaby ze atao abo; ie ty lohà’ ze hene anam-pirengevohañe.
Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna; yeye ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.”