< Joba 35 >
1 Le hoe ty natovo’ i Eliho:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 Atao’o mahity hao i nanoe’o ty hoe, Izaho ro vantañe te aman’ Añahare.
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 Fa hoe irehe, Inoñe ty ho tombo’e ho azo? Ino ty ho tambeko mandikoatse te tsy nandilatse?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 Hanoiñe azo naho o rañe’o mindre ama’oo iraho.
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 Mitalakesa mb’andikerañe ey vaho Mahaisaha; Heheke o rahoñeo, ambòne’o iereo.
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Ihe mandilatse, Mijoy aze hao? Ie bey hakeo, Inoñe ty anoe’o ama’e?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 Ie vantan-drehe, ino ty atolo’o aze, ke ino ty rambese’e am-pità’o?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 Ho ama’ ondaty manahak’ azo ty hatsivokara’o naho amo ana’ ondatio ty havañona’o.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 O hamarom-pamorekekeañeo ty itoreova’ iareo, ty sira maoza’ i maroy ty ikaiha’iareo,
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 fe tsy eo ty manao: Aia t’i Andrianamboatse ahy, i Mpañomey sabo an-kaleñey,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 i mañòke raha maro amantika te amo bibi’ ty tane toioy, vaho ampahihire’e ambone’ o voron-tiokeo?
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 Eo ty mikaike, f’ie tsy manoiñe ty amy firengevoha’ ondaty raty tserekeoy.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 Toe tsy janjin’ Añahare ty raha kafoake; tsy haoñe’ i El-Sadai,
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 Antsake t’ie manao te tsy mahaoniñe aze; aolo’e eo ty enta’o, aa le liñiso;
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 Ie henaneo, mbe tsy nitilihe’e an-kaviñera’e, tsy loho nihaoñe’e o fandilarañeo.
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 Aa le evoñe ty aakam-palie’ Iobe; ampitomboa’e lañonañe tsy aman-kilala.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”