< Joba 23 >
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Mafaitse ty toreoko henaneo, taña-miletraletra ty amy hatreontreoko.
“Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
3 Ehe te napotako ty hahatreavako Aze, hiheovako mb’am-piambesa’e mb’eo.
Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
4 Halahako aolo’e eo ty amako, vaho hatsafeko veroke ty vavako.
Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
5 Ho azoko ty entañe havale’e ahy, vaho ho rendreko ty hitsara’e.
Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
6 Hatreatré’e ami’ty hara’elahin-kaozara’e hao? Aiy, f’ie ho haoñe’e.
Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
7 Mete hilahatse ama’e ty vañoñe, hamotsorañe ahy nainai’e amy Mpizakakoy.
Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
8 Hehe te mionjon-draho, f’ie tsy eo, midisa-voly, fa tsy isako,
Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
9 ie mitoloñ’an-kavia, tsy treako, ie mitolike mb’àn-kavana, tsy rendreko.
Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
10 Fe arofoana’e ty lala fombàko, ie fa nitsoeha’e le hiboake hoe volamena.
Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
11 Nahafitinoñe i lia’ey ty tomboko, nifaharako i lala’ey vaho tsy nitsile.
Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
12 Tsy nisitahako o nafèm-pivimbi’eo; nahajako o tsaram-palie’eo mandikoatse ty anjara rimako.
Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
13 F’ie tsy roe tsy telo, ia ty hampitolik’ aze? anoe’e iaby ze satrin’arofo’e.
Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
14 Ie ro mañeneke o atolots’ ahikoo: maro ty fanoe’e hoe Izay.
Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
15 Aa le hirevendreven-draho añ’atrefa’e eo; izaho mitsakore, le añeveñako.
Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
16 Ampianifan’ Añahare ty troko, ampangebahebae’ i El-Sadai,
Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
17 Toe tsy naitoañ’ añatrefa’ i ieñey iraho, naho nisaroña’e an-tareheko i fimoromoroñañey.
Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.