< Jeremia 44 >

1 Ty tsara niheo am’ Iirmeà ty amo nte-Iehodà iaby nañialo an-tane Mitsraimeo, o nimoneñe e Migdole naho e Takpanese naho e Nofe vaho an-tane’ i Patroseo, nanao ty hoe:
Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia kuhusu Wayahudi wote walioishi katika nchi ya Misri, wale wanaoishi Migdoli, Tahpanhesi, Memphis, na katika nchi ya Patrosi.
2 Hoe t’Iehovà’ i Màroy, i Andrianañahare’ Israeley, Fa niisa’ areo i fonga hankàñe nafetsako am’ Ierosalaime naho amo hene rova’ Iehodao; le heheke t’ie mangoakoake henaneo naho tsy imoneña’ ondaty,
“Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Wewe mwenyewe umeyaona maafa yote niliyoleta juu ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda. Ona, ni ukiwa leo. Hakuna yeyote anaishi mwao.
3 ty amy halò-tsereke nanoe’ iereo hampibosek’ ahy, ie niheo mb’amo ndrahare ila’eo, nañenga naho nitoroñe iareo, o tsy nifohi’ iereoo; ie ndra nahareo, ndra o roae’ areoo;
Hii ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya kunikosea mimi kwa kwenda kuchoma ubani na kuabudu miungu mengine. Hawa walikuwa miungu ambao wala wao wenyewe, wala ninyi, wala mababu zenu walijua.
4 ndra te nampihitrifeko ama’ areo o mpitoky mpitoroko iabio nañampitso t’ie niraheñe ninday ty hoe: Ehe, ko anoe’ areo o raha tiva hejekoo.
Basi nirudie kuwatuma watumwa wangu wote manabii kwao. Niliwatuma wao kusema, 'Acha kufanya vitu hivi machukizo ambayo nachukia.
5 F’ie tsy nañaoñe, tsy nanokilan-dravembia, tsy nibalintoa amo hatsivokarañeo, hijihera’ iareo ty fañembohañe aman-drahare ila’e.
Lakini hawakunisikiliza. Walikataa kuwa makini au kuyaacha maovu kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine.
6 Aa le nidoandoañe ty fiforoforoan-kabosehako, vaho namorototo an-drova’ Iehodà ao naho an-damo’ Ierosalaime ey, ampara’ t’ie nangoakoake naho kafoake, vaho ie henaneo.
Basi hasira yangu na gadhabu yangu zilimwanga na kuwasha moto kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Basi waliharibiwa na kuteketezwa, kama katika siku ya leo.”
7 Aa le hoe t’Iehovà, t’i Andrianañahare’ i màroy, t’i Andrianañahare’ Israele; Akore ty anoe’ areo ty haloloañe jabajaba zao hampiantoa’ areo fiaiñe hañitoa’ areo am’ Iehodà ze ondaty naho rakemba, ajaja naho anak’ ajaja minono, soa te leo raike tsy ho sisañe ama’ areo;
Basi sasa Yahwe, Mungu wa majeshi na Mungu wa Israel, asema hivi, “Kwanini unafanya maovu makubwa dhidi yenu? Kwanini mnasababisha ninyi wenyewe kujitenga kutoka miongoni mwa Yuda - wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao? Hakuna mabaki yenu yatabaki.
8 amy te sinigi’ areo iraho amo satam-pità’ areoo, ty fañenga’ areo aman-drahare ila’e an-tane Mitsraime ao, i nisesea’ areoy; soa t’ie haitoañe vaho ho fokom-patse naho titse amo kilakila’ ondati’ ty tane toio?
Kwa maovu yenu mmenikosea pamoja na matendo ya mikono yenu, kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine kwenye nchi ya Misri, ambapo mmekwenda kuishi. Mmeenda huko ili kwamba mtaangamizwa, ili kwamba mtalaaniwa na mashutumu miongoni mwa mataifa yote ya duniani.
9 Nihaliño’ areo hao ty fitoloñan-dratin-droae’ areo naho ty sata-rati’ o mpanjaka’ Iehodào naho ty sata-rati’ o vali’eo, naho ty sata-rati’ areo naho ty sata-ratin-tañanjomba’ areo, o nanoe’ iereo an-tane’ Iehodà ao naho an-dala’ Ierosalaimeo?
Mmesahau maovu yaliyofanywa na mababu zenu na maouvu yaliyofanywa na wafalme wa Yuda na wake zao? Mmesahau uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu?
10 Mboe tsy nireke pake henane, mbore tsy mañeveñe, tsy mañavelo an-Kàke ndra amo fañè najadoko aolo’ areo, añatrefan-droae’ areo.
Kwa siku hii, hawajanyenyekea bado. Hawashimu sheria yangu au maagizo niliyoweka mbele yao na mababu zao, wala hawatembei nazo.”
11 Aa le hoe t’Iehovà’ i Màroy, t’i Andrianañahare’ Israele; Inao te hatreatrèko ama’ areo ty tareheko ho ami’ty hankàñe, le fonga haitoako t’Iehodà;
Kwa hiyo sasa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, “Ona, Nimekaribia kuweka uso wangu dhidi yenu kuleta maafa kwenu na kuiharibu Yuda yote.
12 naho haitoako ty sehanga’ Iehodà niatre-daharañe mbe Mitsraime mb’etoy hitaveañe, naho songa ho mongo­reñe, toe hikoromak’ an-tane Mitsraime atoa nahareo, ho zevoñem-pibara naho ty hasalikoañe, fonga hivetrake, ty kede naho ty bey, ami’ty mesolava naho ty kerè; le ho fatse, naho fampangebahebahañe naho fanirañe vaho fañinjeañe.
Kwa kuwa nitachukua mabaki wa Yuda ambaye ameanza safari kwenda nchi ya Misri kuishi huko. Nitafanya hivi ili kwamba wataangamia wote katika nchi ya Misri. Wataanguka kwa upanga na njaa. Kutoka wadogo kwa wakubwa wataangamia kwa upanga na njaa. Watakufa na watakuwa sababu ya kuaapa, kulaani, mashutumu, na kitu kibaya.
13 Amy te ho liloveko o mañialo an-tane Mitsraimeo, manahake ty nandilovako Ierosalaime, ami’ty fibara naho ty kerè vaho ty angorosy,
Kwa kuwa nitawaadhibu watu wakazi wa nchi ya Misri kama nilivyoadhibu Yerusalem kwa upanga, njaa, na pigo.
14 leo raike tsy hipota­tsake ndra hahatambeloñe amo sehanga’ Iehodà nitaveañe mb’ an-tane Mitsraime hañialo añeo vaho himpoly mb’an-tane’ Iehodà añe, mb’amy fañiria’ iareoy; amy te tsy eo ty himpoly añe naho tsy o tsy ampe mahapolititseo avao.
Hakuna mkimbizi au mwathirika wa mabaki ya Yuda ambaye wataenda kuishi huko kwenye nchi ya Misri watarudi kwenye nchi ya Yuda, hata kama wanataka kurudi na kuishi huko. Hakuna kati yao atarudi, ijapokuwa wachache ambayo watatoroka kutoka huko.”
15 Aa le nanoiñe am’ Iirmeà ondaty nahafohiñe te nañenga amo ‘ndrahare ila’eo o vali’eoo naho o rakemba nizorazora eio naho i valobohòkey vaho ze hene ondaty nimoneñe an-tane Mitsraime e Patrose ao, ami’ty hoe,
Kisha watu wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakichoma ubani kwa miungu mingine, na wanawake wote waliokuwa katika kusanyiko kuu, na watu wote ambao walikuwa wakiishi kwenye nchi ya Misri katika Pathrosi walimjibu Yeremia.
16 I tsara nisaontsie’o ama’ay ami’ty tahina’ Iehovày: Tsy hañaoñe azo zahay.
Walisema, “Kuhusu neno ambalo mmetuambia sisi kwa jina la Yahwe: Hatutakusikiliza.
17 Fa tsy mete tsy hanoe’ay ze fonga enta’ naka­re’ o vava’aio, ty hañemboke amy mpanjaka-ampelan-dikerañey, naho ty hampidoañañe enga-rano, fa izay ty sata’ay, zahay naho o roae’aio, o mpanjaka’aio, o roandria’aio an-tane’ Iehodà naho an-dala’ Ierosalaime ao; amy t’ie nienen-kaneñe henane zay, vaho nijangañe, vaho tsy nizo hankàñe.
Kwa hakika tutafanya mambo yote ambayo tulisema tungefanya: kuchoma ubani kwa malkia wa Mbingu na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake kama sisi, mababu zetu, wafalme wetu, na viongozi wetu walivyofanya kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Kisha tutajazwa pamoja na chakula na tutafanikiwa, pasipo kupata maafa yoyote.
18 Fe mifototse ami’ty nampipoha’ay ty fañengañe amy mpanjaka ampelan-dike­rañey, naho ty fampidoaña’ay enga rano, le nipo-vara, vaho nizamanem-pibara naho ty kerè.
Wakati tunajiepusha kutofanya mambo haya, si kutoa sadaka ya ubani kwa Malkia wa Mbinguni na si kumwanga kinywaji cha sadaka kwake, tulikuwa wote tunaumwa umaskini na tulikuwa tunakufa kwa upanga na njaa.”
19 Aa vaho zahay avao hao ty mañenga amy mpanjakan-dikerañey naho mañiliñe enga-rano ama’e? Mamboatse mofomamy ami’ty vinta’e naho mampidoañe engan-drano ama’e hao zahay naho tsy eo valy?
Wanawake walisema, “Wakati tulipokuwa tunatengeneza ubani wa sadaka mbele ya Malkia wa Mbinguni na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake, tulifanya hivi vitu pasipo waume wetu kujua.”
20 Aa le hoe t’Iirmeà am’ondaty iabio, amo lahilahio naho amo rakembao naho amy ze fonga ondaty nanoiñe aze amy hoe zay:
Kisha Yeremia alisema kwa watu wote - kwa wanaume na wanawake, na watu wote waliomjibu yeye - alihubiri na kusema,
21 O tsotse nañemboha’ areo an-drova’ Iehodà naho an-dala’ Ierosalaimeo, inahareo naho o rae’ areoo naho o mpanjaka’ areoo naho o roandria’ areoo naho ondati’ i taneio; tsy niarofoana’ Iehovà hao, tsy nizilik’ am-pitsakorea’e ao hao?
“Je Yahwe hakukumbuka ubani ambao mliuchoma kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalem - wewe na mababu zenu, wafalme wenu na viongozi, na watu wa nchi? Kwa kuwa Yahwe anakumbuka hili kwenye akili; inakuja kwenye mawazo yake.
22 Ampara te tsy nileo’ Iehovà o sata-rati’ areoo, naho o raha tiva nanoe’ areoo; toly ndra ninjare kòake ty tane’ areo, toe halatsa­ñe, vaho fatse, tsy amam-pimoneñe pake henaneo.
Basi hawakuweza tena kuvumilia kwa sababu ya matendo yenu maovu, kwa sababu machukizo ambayo mlifanya. Basi nchi yenu imekuwa ukiwa, kutisha, na laana basi hapakuwa na mkazi tena kwa siku hii.
23 I fañenga’ areo irezay, o hakeo’ areo am’ Iehovào, t’ie tsy nañaoñe ty fiarañanaña’ Iehovà, te tsy nañavelo an-Kàke, ndra amo fañè’eo, ndra amo fitaroña’eo: ie ty nifetsaha’ o hekoheko zao ama’ areo henaneo.
Kwa sababu mlichoma ubani na kufanya dhambi dhidi ya Yahwe, na kwa sababu msingesikiliza sauti yake, sheria yake, amri zake, au maagizo ya agano lake, maafa haya dhidi yenu yemetokea kama kwa siku hii. “
24 Tinovo’ Iirmeà ty hoe am’ ondaty iabio, naho amo rakemba iabio: Janjiño ty tsara’ Iehovà, ry hene Iehodà an-tane’ Mitsraime atoio:
Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, “Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri.
25 Hoe t’Iehovà’ i Màroy, t’i Andrianañahare’ Israele: Fonga nisaontsy am-palie nahareo naho o tañanjomba’ areoo vaho nihenefem-pità’ areo ami’ty hoe, Toe hanoe’ay o fanta nititihe’aio naho hañenga amy mpanjaka-ampelan-dike­rañey, naho hañily enga rano ama’e; Toe hajado’ areo o nifantà’ areoo vaho ho henefe’ areo o fititiha’ areoo.
Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, “Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kwanga kinywaji cha sadaka kwake.” Sasa timiza viapo vyenu, vibebe.”
26 Ehe tsendreño ty tsara’ Iehovà, ry Iehodà mpañialo e Mitsraime atoañ’ iabio; Ingo fa nifanta amy añarako ra’elahiy iraho, hoe t’Iehovà, te le lia’e tsy ho toñoneñe am-palie’ ondaty nte-Iehodà an-tane Mitsraime atoao ty añarako ami’ty hoe, Kanao veloñe t’i Talè Iehovà.
Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu-asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, “Kama Bwana Yahwe aishivyo.”
27 Inao! haratiañe ty añambenako iareo, fa tsy fañasoàñe; vaho fonga ho mongore’ ty fibara naho ty hasalikoañe ze lahilahi’ Iehodà an-tane’ Mitsraime atoy, ampara’ te tsy aman-tsehanga’e.
Ona, Ninakutazama juu yako kwa ajili ya maafa na si kwa uzuri. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka wote wameishia.
28 Fe hipolititse amy fibaray ty honka’e tsy ampe boak’an-tane Mitsraime atoa homb’an-tane’ Iehodà mb’eo, soa te ho fohi’ i hengaha’ Iehodà nivotrak’ an-tane Mitsraime hañialoa’ey, te, ty tsara’ ia ty ho to, ke ty ahy he ty a iareo?
Kisha waathirika wa upanga watarudi kutoka nchi ya Misri kwa nchi ya Yuda, peke idadi ndogo yao. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ambao neno litakuwa kweli: yangu au yao.
29 Le inao, ty viloñe ama’ areo, hoe t’Iehovà, te toe hitilihako an-toetse atoy, hahafohina’ areo te vata’e hijadoñe ama’ areo ho ami’ty hankàñe o entakoo:
Hii itakuwa ishara kwa ajili yako - hili ni tamko la Yahwe - kwamba ninaweka dhidi yenu katika eneo hili, ili kwamba mtajua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa.
30 fa hoe ty nafè’ Iehovà: Ingo te hatoloko am-pità’ o rafelahi’eo naho am-pità’ o mipay ty fiai’eo t’i Parò-Kofrà mpanjaka’ i Mitsraime, hambañ’ amy nanolorako i Tsidkia, mpanjaka’ Iehodà, am-pita’ i Nebokadnetsare mpanjaka’ i Bavele, rafalahi’e nipay t’y fiai’e.
Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtoa Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake.

< Jeremia 44 >