< Jakoba 3 >
1 O ry longo, ee te tsy maro ty ho mpañoke; fohiñe te ho lombolombo’e ty fizakañe antika.
Ndugu zangu, siyo wengi wenu mnapaswa kuwa walimu, mkijua kwamba tutapokea hukumu kubwa zaidi.
2 Songa mitsikapy ami’ty sata maro tika. Aa naho tsy fingane’ i saontsi’ey t’indaty le vañoñe indatiy mahafehe ty vata’e iaby.
Kwa kuwa wote tunakosea katika njia nyingi. Kama yeyote huwa hajikwai katika maneno yake, huyo ni mtu mkamilifu, aweza kudhibiti mwili wake wote pia.
3 Ie aomben-tika añ’oron-tsoavala ty laboridy hañoriha’e antika, le mahafeleke ty vata’e iaby.
Sasa kama tunaweka lijamu za farasi katika vinywa vyao wanatutii, na tunaweza kuigeuza miili yao yote.
4 Oniño ka o samboo. Ndra t’ie jabajaba naho aronjen-tio-bey, ro tehafem-panehake kede mb’amy ze satri’ i mpinday azey hombañe.
Tambua pia kwamba meli, ingawa ni kubwa na husukumwa na upepo mkali, zinaongozwa kwa usukani mdogo sana kwenda popote anakotaka nahodha.
5 Manao izay i famelekey, ie kedekedeke amo an-tsandriñeo, fe raha ra’elahy ty iroharohà’e. Haraharao ty habei’ ty ala viàñe’ ty pitsik’ afo.
Vivyo hivyo, ulimi ni kiungo kidogo cha mwili, lakini hujisifia makuu sana. Angalia msitu mkubwa unavyoweza kuwashwa kwa cheche ndogo ya moto!
6 Afo i famelekey, haliforan-katserehañe; napok’ amo haraon-tikañ’ ao i famelekey f’ie mahativa i sandriñey iaby, naho mamiañ’ afo an-dalam-pañaveloan-tika, toe ampiforehete’ i tsikeokeokey. (Geenna )
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
7 Hene mete folahe’ ondatio naho toe fa nifolahe’e ze karazam-biby naho voroñe naho mpilaly vaho o bibin-driakeo,
Kila aina ya mnyama wa polini, ndege, kitambaacho na kiumbe cha baharini kinadhibitiwa na wanadamu.
8 fe tsy lefe’ ondaty folaheñe i famelekey. Ie haratiañe mitsingoetse, lifo-boreke mahafate.
lakini hakuna mwanadamu hata mmoja ambaye anaweza kudhibiti ulimi; ni uovu usiotulia, umejaa sumu ya kufisha.
9 Ie ty andrengean-tika i Talè Raentikañey, ie ka ty añonjiran-tika t’indaty namboareñe hambam-bintañe aman’ Añahare.
Kwa ulimi twamtukuza Bwana na Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.
10 Songa am-palie raike ty iakaran-tata naho fàtse. O ry longo, sondo’e t’ie anoeñe!
Katika kinywa hichohicho husema maneno ya baraka na laana. Ndugu zangu mambo haya hayapaswi kuwa.
11 Ampikararahe’ ty loharano hirik’ am-bava raike hao ty mamy naho ty mafaitse?
Je, kisima kimoja huweza kutoa maji matamu na machungu?
12 O ry longo, mete mamoa takoko hao ty sakoañe? ndra sakoañe ty vahe? Toe tsy vokaren-drano masiake ty mamy.
Ndugu zangu, Je, mti wa mtini unaweza kuzaa matunda ya mzeituni, au mzabibu unazaa matunda ya mtini? Wala chemchemi ya maji chumvi haitoi maji yasio na chumvi.
13 He ama’ areo ao ty mahihitse naho mahilala? Ee te ho vente’e amy havañona’ey, t’ie mitoloñe an-katretran-troke mahihitse.
Ni nani miongoni mwenu aliye na hekima na ufahamu? Hebu mtu huyo na aoneshe maisha mema katika kazi zake kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
14 Fe naho añaja’o fikirañañe mafaitse aman-katea-teña ty an-tro’o ao, le ko mibohaboha handañira’o ty hatò.
Lakini kama mnao wivu mkali na nia ya ubinafsi mioyoni mwenu, msijivune na kusema uongo mkiupinga ukweli.
15 Toe tsy hirik’ añ’abo i hihitse zay, f’ie an-tane, an-kasijin-tsandriñe naho itokoan-angatse.
Hii siyo hekima ile ishukayo kutoka juu, lakini badala yake ni ya kidunia, si ya kiroho, na ni ya kipepo.
16 Aa naho eo ty fitsikirihañe naho fifandierañe, le eo ka ty fivalitaboahañe naho ze fonga atao sata raty.
Kwa kuwa palipo na wivu na ubinafsi upo, kuna vurugu na kila matendo maovu
17 Hiringiri’e hey ty hihitse boak’ andindìñe ao, ie mifampilongo, lem-pò, mete mivohotse, lifo-tretrè naho voka-tsoa, tsy mitroetroe vaho po-famañahiañe.
Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, kisha kupenda amani, upole na ukarimu, yenye kujaa rehema na matunda mema, bila kupendelea watu fulani, na kweli.
18 Tongisam-pampilongo am-panintsiñañe ty tabiry mamoa havantañañe.
Na tunda la haki hupandwa katika amani kwa wale ambao wanatenda mambo ya amani.