< Hebreo 7 >

1 I Melkizedeke ‘nio, nimpanjaka’ i Salema, mpisoron’ Añahare Andindimoneñey, ie ty nifanalaka amy Abraàme nimpoly amy nandrebaha’e i mpanjaka rey naho nitata’e,
Ilikuwa hivi Melkizedeki, mfalme wa Salemu, Kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwaua wafalme na akambariki.
2 le nitolora’ i Abraàme ty fahafolo’ ze he’ey—ie atao Mpanjakan-kavantañañe hey, ty amy dika i tahina’ey, vaho Mpanjaka’ i Salema ndra Mpanjakam-panintsiñañe;
Abrahamu alimpa moja ya kumi ya kila kitu alichokuwa amekiteka. Jina lake “Melkizedeki “maana yake” mfalme wa haki” na pia “mflame wa Salemu” ambayo ni “mfalme wa amani.”
3 ie tsy aman-drae, tsy aman-drene, tsy aman-toñon-droae, tsy aman’ androm-pifotora’e, tsy amam-pitamperan-kaveloñe, fe nampanahafeñe amy Anan’ Añaharey, mitoetse ho mpisoroñe nainai’e tsy modo.
Hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa maisha yake. Badala yake, anabakia kuhani milele, kama mwana wa Mungu.
4 Haraharao heike ty hara’ elahi’ indatiy kanao nitolora’ i Abraàme raentika ty faha-folo’ o kino­pa’eo.
Sasa fikiria jinsi huyu mtu alivyokuwa mkuu. Mzazi wetu Abrahamu alimpa moja ya kumi ya vitu vizuri alivyovichukua vitani.
5 Le toe lilie’ i Hake o tarira’ i Levy norizan-ko mpisoroñeo ty hanontoñe am’ondatio, toe amo longo’eo, i faha-foloy, ie boak’ am-pisafoa’ i Abraàme.
Na hakika, ukoo wa Walawi waliopokea ofisi za kikuhani walikuwa na amri kutoka kwenye sheria kukusanya moja ya kumi kutoka kwa watu, ambayo ni, kutoka kwa Wairaeli wenzao, pamoja na kwamba wao, pia, ni ukoo kutoka kwa Abrahamu.
6 Le i tsy toñoneñe aman-droae’ iareoy ty nandrambe ty faha-folo amy Abraàme vaho nitata i nampitamàñey.
Lakini Melkizedeki, ambaye hakuwa wa ukoo kutoka kwa Walawi, alipokea moja ya kumi kutoka kwa Abrahamu, na akambariki, yeye aliyekuwa na ahadi.
7 Tsy kalafo te mitata ty zay ty zoke.
Hapo haikataliwi kwamba mtu mdogo hubarikiwa na mkubwa.
8 Naho atoy re le rambese’ ondaty mbe hihomakeo i faha-foloy, fe i añey ro taroñeñe te veloñe.
Kwa jambo hili mtu apokeaye moja ya kumi atakufa siku moja, lakini kwa jambo jingine mmoja aliyepokea moja ya kumi kwa Abrahamu ikaelezwa kama anayeishi.
9 Aa ie tsaraeñey, i Levy mpandrambe i fahafoloy, ro nandoa ty faha-folo añamy Abraàme,
Na kwa namna ya kuzungumza, Lawi aliyepokea moja ya kumi, pia alilipa moja ya kumi kwa Abrahamu,
10 amy t’ie tampisafoan-droae’e ao te nifanalaka amy Melkizedeke.
kwa sababu Lawi alikuwa katika viuno vya baba yake Abrahamu wakati Melkizedeki alipokutana na Abrahamu.
11 Aa naho nahafonitse ty fisoroña’ i Levy (toe ama’e ty nandrambesa’ ondatio Hake) le inoñe amy zao ty ipaiañe mpisoroñe hitroatse amy famosora’ i Melkizedekey, fa tsy amy famosora’ i Aroney?
Sasa kama ukamilifu uliwezekana kupitia ukuhani wa Lawi, (hivyo chini yake watu hupokea sheria), kulikuwa na hitaji gani zaidi kwa kuhani mwingine kuinuka baada ya mfumo wa Melkizedeki, na siyo kuitwa baada ya mpangilio wa Haruni?
12 Aa kanao vaoeñe i famosorañey, tsy mahay tsy vaoeñe ka t’i Hake.
Kwa hiyo ukuhani ukibadilika, hapana budi sheria nayo kubadilika.
13 Amy te foko hafa i tsaraeñey, le tsy ama’e ty nito­ron-kitrely.
Kwa mmoja ambaye mambo haya yalisemwa kuhusu kabila jingine, kutoka kwake hakuna aliyehudumu madhabahuni.
14 Toe fohiñe te tarira’ i Joda i Talèn-tika, fe tsy nisaontsie’ i Mosè fisoroñañe t’i Joda,
Sasa ni wazi kwamba Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila ambalo Musa hakutaja kuhusu makuhani.
15 miha-malange te mpi­soroñe manahak’ i Melkizedeke ty nitroatse,
Na haya tusemayo ni wazi hasa ikiwa kuhani mwingine atatokea kwa mfano wa Melkizedeki.
16 ie tsy nanoeñe am-pepè’ i Hake ty am-panoñonan-drae, fa an-kaozaran-kaveloñe tsy modo.
Kuhani huyu mpya siyo mmoja ambaye amekuwa kuhani juu ya msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mtu, lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyoweza kuharibika.
17 Ty hoe ty nitaroñe’e: Mpisoroñe nainai’e irehe Amy famosora’ i Melkizedekey. (aiōn g165)
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
18 Toe miha-modo i fepetse taoloy ami’ty hamavazoa’e naho ty tsy fahalefea’e,
Kwa kuwa amri iliyotangulia iliwekwa pembeni kwa sababu ilikuwa dhaifu na haifai.
19 (amy te tsy eo ty nahatafetere’ i Hake), fe nipoteake ty fitamàn-tsoa, hitotofan-tika aman’ Añahare;
Hivyo sheria haikufanya chochote kikamilifu. Isipokuwa, kulikuwa na ujasiri mzuri kwa hayo tunamsogelea Mungu.
20 mbore nanoeñe am-panta,
Na Ujasiri huu mzuri haukutokea pasipo kuzungumzia kiapo, kwa hili makuhani wengine hawakuchukua kiapo chochote.
21 (toe tsy fanoeñ’ am-panta o mpisoroñeo, f’itoy ro am-panta, ie nanoeñe ty hoe: Toe nifanta t’Iehovà vaho tsy hihotike: Mpisoroñe nainai’e irehe.) (aiōn g165)
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
22 Antsake t’ie ho fañina soa, amy te mitsoak’ aze t’Iesoa.
Kwa hili Yesu pia amekuja kuwa dhamana ya agano bora.
23 Maro i mpisoroñe rezay, ie tsy mijadoñe am-pitoloña’e fa agadon-kavilasy.
Kwa hakika, kifo huzuia makuhani kuhudumu milele. Hii ni kwa sababu walikuwapo makuhani wengi, mmoja baada ya mwingine.
24 Fa itìañe ka, kanao mitoloñe nainai’e, ro am-pisoroñañe tsy ifandimbezañe. (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
25 Izay ty talim-pahahenefa’e rombake do’e o mitotok’ aman’ Añahare añama’eo, ie veloñe nainai’e hihalaly ho a iareo.
Kwa hiyo yeye pia anaweza kwa ukamilifu kukamilisha kuwaokoa wanaomkaribia Mungu kupitia kwake, kwa kuwa yeye anaishi daima kwa kuomba kwa ajili yao.
26 Mañeva an-tika i Mpisorombey zay: ie masiñe, tsy aman-tahiñe, tsy aman-kila, miavak’ amo aman-kakeoo, vaho nonjoneñe ambone’ o likerañeo.
Kwa hiyo kuhani mkuu wa namna hii anastahili kwetu. Asiye na dhambi, hatia, msafi, aliyetengwa kutoka kwa wenye dhambi, na amekuwa juu kuliko mbingu.
27 Ie tsy mipay boak’ andro, manahake o mpisoroñe taoloo, ty hañenga soroñe ho amo tahi’eo hey vaho ho amo hakeo’ ondatio. Fa nanoe’e indraik’ avao ie nañenga i fañòva’ey.
Yeye hakuwa na uhitaji, mfano wa makuhani wakuu, kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa dhambi yake mwenyewe, na baadaye kwa dhambi za watu. Alifanya hivi mara moja kwa wote, alipojitoa yeye mwenyewe.
28 Oriza’ i Hake t’indaty aman-kila ho mpisorom-bey; fe i tsara am-panta sinokitse tafara’ i Hake ty nañorizañe i Anake nifonireñe ho nainai’ey. (aiōn g165)
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)

< Hebreo 7 >