< Hebreo 13 >
1 Mitoloña am-pikokoan-dongo.
Endeleeni kupendana kama ndugu.
2 Ko ado’ areo ty fampiantrañoañe ambahiny, amy t’ie ro nampiantrañoa’ ty ila’e anjely fe tsy nahafohiñe.
Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.
3 Tiahio o an-drohio hoe te mindre mirohy ama’e, naho o samporeraheñeo kanao an-tsandriñe ka nahareo.
Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao. Pia wakumbukeni wale wanaotendewa vibaya, kana kwamba ni ninyi wenyewe mnateswa.
4 Ee te hene hiasy o fanambaliañeo vaho tsy ho leoreñe i tihiy amy te zakaen’ Añahare o mpañarapiloo naho o manao fioloram-palio.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati wote.
5 Le asoao tsy ho an-troke ao ty fikiràñe, mierañeràña amo fanaña’ areoo, ty amy tsara’e ty hoe: Le lia’e tsy hienga azo raho vaho tsy haforintseko.
Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema, “Kamwe sitakuacha, wala sitakupungukia.”
6 Le hahavany hanao ty hoe tika: I Talè ro mpañimb’ahiko; tsy ho hemban-draho ino ty hanoe’ ondaty amako
Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, “Bwana ni msaada wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”
7 Tiahio o manan-dily ama’areoo, ie nisaontsy ty tsaran’ Añahare ama’ areo, naho ty havokaram-pañaveloa’ iareo vaho tsikombeo ty fatokisa’ iareo.
Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao.
8 Tsy mihotike t’Iesoà Norizañe, ndra omale, ndra androany, ndra nainai’e donia. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn )
9 Asoao tsy hampitsilè’ o fañòhañe ankafankafa mañembetseo. Mahasoa ty arofo te ampaozareñe am-patarihañe fa tsy amo raha kamaeñe, ie tsy nahasoa o nitoloñe ama’eo.
Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria.
10 Aman-kitrely tika tsy anaña’ o mpitoron-kivohoo zo ikamañe.
Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.
11 Fa oroañe alafe’ i tobey ty vata’ o biby angala’ o mpisorom-beio lio hendese’e amy toetse masiñey ao ty amo hakeoo.
Kuhani mkuu huchukua damu ya wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu, kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
12 Toe nijale alafen-dalam-bey ao ka t’Iesoà, hañefera’e ondatio amy lio’ey.
Vivyo hivyo, Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.
13 Antao arè, homb’ama’e, alafe’ i tobey añe, hivave o fañinjeañ’ azeo.
Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.
14 Tsy aman-drova tsy ho modo atoy tika, fe misalala i hitotsakey.
Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.
15 Aa le ie abey ty hibanabanàn-tika engan-tsabo nainai’e aman’ Añahare, ty vokam-pivimby mibango i tahina’ey.
Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake.
16 Le ko apo’ areo ty fanoan-tsoa, naho ty fifañaoñañe, fa non’ Añahare t’ie banabanaeñe.
Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.
17 Mivohora amo mpiaolo’ areoo, le iambaneo, fa iereo ro mpañambem-piai’areo hoe ondaty tsy mahay tsy hamolily. Efao abey iereo hitoloñe an-kaehake, fa tsy aman’ anahelo tsy hahasoa anahareo.
Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao wanakesha kwa ajili yenu kama watu watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.
18 Mihalalia ho anay, fa iantofa’ay te mazava ty tro’ay, toe satri’ay ty hañavelo an-kavañonañe amy ze he’e.
Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu kwa kila njia.
19 Aa le onjoneko ama’ areo ty osike hanao izay, soa te hampolieñe ama’ areo masìka iraho.
Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.
20 I Andrianañaharem-panintsiñañey abey, i nampitroatse i Mpiarak’ añondry ra’elahy boak’an-kavilasiy, amy liom-pañina tsy modo’ Iesoà Talèn-tika, (aiōnios )
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios )
21 ro hampañeneke anahareo amy ze hene sata soa hitoroña’areo amo satrie’eo, ie hitoloñe aman-tika ze no’e am-pivazohoa’e, añam’ Iesoà Norizañey: aze ty engeñe nainai’e tsy modo. Amena. (aiōn )
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
22 O ry longo, ehe iantofo ty fañisohañe sinokiko bòry toy.
Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa nimewaandikia waraka mfupi tu.
23 Fohino te navotsotse t’i Timoty rahalahin-tika; aa ie pok’ atoy aniany, le hindrezako hitilik’ anahareo.
Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.
24 Salamao iaby o mpifehe’ areoo naho o noro’e iabio. Mañontane anahareo o nte-Italio.
Wasalimuni viongozi wenu wote na watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia wanawasalimu.
25 Hasoa ama’ areo iaby. Amena.
Neema iwe nanyi nyote. Amen.