< Habakoka 1 >
1 Ty entañe nioni’ i Kabakòke mpitoky.
Neno alilopokea nabii Habakuki.
2 O ry Iehovà, pak’ombia ty hitoreovako, Ihe tsy mijanjiñeo? naho ipoñafako feo, ami’ty hoe: Varata! Tsy rombahe’o!
Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada, lakini wewe husikilizi? Au kukulilia, “Udhalimu!” Lakini hutaki kuokoa?
3 Ino ty ampahaisaha’o ahy o tsy fanjofahañeo, naho ampandrendreha’o ty halonjerañe, naho ty harotsahañe, vaho ty halò-tserehañe aoloko ey? eo ka o mpiolao naho o mpandietseo.
Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma? Kwa nini unavumilia makosa? Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu; kuna mabishano na mapambano kwa wingi.
4 Aa le repake t’i Hake, vaho tsy miboake ho vantañe o zakao; fa arikoboña’ o tsivokatseo o vañoñeo, aa le zaka vìlañe avao ty mandeha.
Kwa hiyo sheria imepotoshwa, nayo haki haipo kabisa. Waovu wanawazunguka wenye haki, kwa hiyo haki imepotoshwa.
5 Sambao o kilakila’ ondatio, le maharendreha naho mañaraharà, Ilatsao fa hanoeñe amo andro’ areoo ty fitoloñañe tsy hiantofa’ areo, ndra t’ie italilañe.
“Yatazame mataifa, uangalie na ushangae kabisa. Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu ambacho hungeamini, hata kama ungeambiwa.
6 Inao! te hampitroareko o nte-Kasdìo, i fifeheañe mafaitse naho malìsay, o hangovovoke hitsaha’e i tane bey heneheneio hitavana’e o akiba tsy a iareoo.
Nitawainua Wakaldayo, watu hao wakatili na wenye haraka, ambao hupita dunia yote kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.
7 Ie mampangebahebake naho mampirevendreveñe; miboak’ am-bata’e ty hionjona’ ty zaka naho ty enge’e.
Ni watu wanoogopwa na wanaotisha; wenyewe ndio sheria yao, na huinua heshima yao wenyewe.
8 Masika te amo farasio o soavala’eo, ie maola te amo amboa-hako an-kaleñeo, mitsapiotsapioke o mpiningitseo, boake tsietoitane añe o mpiningi’eo; miherereake hoe hondria malisa t’ie hanao revozeake.
Farasi wao ni wepesi kuliko chui, na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo. Askari wapanda farasi wao huenda mbio; waendesha farasi wao wanatoka mbali. Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;
9 Fonga hihofike mb’eo am-bodongero’e o azeo, miatre-daharañe manahake i tiok’ atiñanañey hanontom-pirohy hoe faseñe.
wote wanakuja tayari kwa fujo. Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele kama upepo wa jangwani, na kukusanya wafungwa kama mchanga.
10 Ie mpanivetive mpanjaka, inje’ iareo o roandriañeo, itohafa’ iareo ze rova fatratse, ampirampia’ iereo tane le mitavañe.
Wanawabeza wafalme, na kuwadhihaki watawala. Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma; wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.
11 Mihelañe hoe tioke ty arofo’iareo, fa voa hakeo, amy te samposampo’e ty haozara’e.
Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele: watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”
12 Tsy taolo’ ty atao andro hao irehe ry Iehovà Andrianañahareko masiñe? tsy ho mongotse zahay. Ry Iehovà, toe tinendre’o ho zakaeñe re, Ihe Lamilamy, ro nañory aze ho liloveñe.
Ee Bwana, je, wewe sio wa tangu milele? Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa. Ee Bwana, umewachagua wao ili watekeleze hukumu; Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.
13 Amam-pihaino mikotritriake irehe, tsy mañeva azo ty hivazoho haratiañe; tsy mete mioniñe hatsivokarañe; akore te metea’o o mañoho-dozao? Ihe mianjiñe avao, t’ie abotse’ i lo-tserekey t’indaty vantañe te ama’e;
Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu, wala huwezi kuvumilia makosa. Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu? Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu wanawameza wale wenye haki kuliko wao wenyewe?
14 Ie anoe’o hoe fian-driake ondatio, hoe raha milalilaly tsy amam-pifehe.
Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.
15 Fonga tarihe’e am-porengotse, kozozote’e an-karato, naho manontoñe an-jarifa, vaho mirebeke am-pitreñañe,
Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana, anawakamata katika wavu wake, anawakusanya katika juya lake; kwa hiyo anashangilia na anafurahi.
16 Misoroñe amo harato’eo, naho mañemboke amo jarifa’eo, amy t’ie ro mahavondrake ty anjara’e, naho mahatobàke o mahakama’eo.
Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake, na kuchoma uvumba kwa juya lake, kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe, na anafurahia chakula kizuri.
17 Aa ho koahe’e hao o harato’eo? ho zamane’e nainai’e hao o fifeheañeo fa tsy hanisa?
Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?