< Galatiana 5 >
1 Fidadàñe ty nañahà’ i Norizañey antika, aa le mijadoña, soa tsy ho fandrihe’ i jokam-pañondevozañey ka.
Ni kwa sababu Kristo alitupa uhuru ili tuwe huru. Hivyo, simameni imara wala msinaswe tena katika kongwa la utumwa.
2 Intoy, izaho Paoly o mivolañe ama’ areoo, t’ie miafa-boy, le tsy hahasoa anahareo i Norizañey.
Tazama, Mimi Paulo, ninawaambia kwamba ikiwa mtatahiriwa, Kristo hatawafaidia kwa njia yoyote ile.
3 Ataliliko indraike ze hene lahilahy mamotso-boiñe, t’ie mpisongo, ro voalily hañambeñe ze he’e amy Hake ao.
Tena, namshuhudia kila mwanaume aliyetahiriwa kwamba anapaswa kuwajibika kwa sheria yote.
4 Fa nifampiria amy Norizañey nahareo, mipay havantañañe amo fañèo, vaho fa nitraboke amy hasoay.
Mmetengwa mbali na Kristo, wale wote “mnaohesabiwa haki” kwa sheria. Mmeanguka mbali na neema.
5 F’ie amy Arofoy ro mandiñe am-patokisañe te ho heneke i havantañañe tamàñey.
Maana kwa njia ya Roho, kwa imani tunasubiri ujasiri wa haki.
6 Ie am’ Iesoà Norizañey ao, le songa tsy vente’e ty fisavarañe naho ty tsi-fisavarañe, fa ty fatokisañe mifanehake am-pikokoañe.
Katika Kristo Yesu kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuna maana yoyote. Ni imani pekee inayofanya kazi kupitia upendo ndiyo humaanisha kitu.
7 Nisoa ty filaisa’ areo, fa ia ty nanebañe anahareo tsy hañambeñe ty hatò?
Mlikuwa mnapiga mbio vizuri. Nani aliwazuia kutokuitii kweli?
8 Tsy boak’ amy mpikanjy anahareoy o manigìke anahareo zao.
Ushawishi wa kufanya hivyo hautoki kwake yeye anayewaita ninyi.
9 Mahaatseke ty boko’e iaby ty lalivay kede.
Chachu kidogo huathiri donge zima.
10 Iantofako amy Talè, t’ie tsy hivetsevetse raha ila’e; fa i mampitsiborehetoke anahareoy ty hivave i fizakàñe azey, ndra te ia.
Nina matumaini na ninyi katika Bwana kwamba hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote. Yeyote yule atakayewapotosha atabeba hukumu yake yeye mwenyewe, yeyote yule.
11 Izaho ka ry longo, naho mbe mitaroñe fisavarañe, inoñe ty ampisoañañe ahy? amy t’ie ho nampikòake ty sirìka’ i hatae ajaley.
Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa.
12 Ee te ho vosireñe ka o mañembetse anahareoo.
Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya watajihasi wenyewe.
13 Toe kinanjy ho haha nahareo ry longo, aa le ko afotetse ho filomolorañe amo nofotseo ty fidadà’ areo, fe mifañasoà an-koko.
Mungu amewaiteni ninyi, ndugu, kwenye uhuru. Ila msiutumie uhuru wenu kama fursa kwa mwili. Badala yake kwa upendo mhudumiane ninyi kwa ninyi.
14 Toe mahaeneñe i Hake ty tsara raike manao ty hoe: Kokò ondatio manahake ty vata’o.
Kwa kuwa sheria yote imekamilika katika amri moja; nayo ni “Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”
15 Fa naho mifandrimitse naho mifamotseke, mitaoa, hera hifampigodrañe!
Lakini kama mkiumana na kulana, jiangalieni kwamba msijiharibu ninyi kwa ninyi.
16 Aa hoe iraho: Mihaveloa amy Arofoy, le tsy ho haoñe’ areo ty hadrao’ i nofotsey.
Nasema, tembeeni kwa roho, na wala hamtazitimiza tamaa za mwili.
17 Mpandietse i Arofoy i nofotsey, naho i nofotsey i trokey; mifandietse iereo soa tsy hanoe’ areo ze satri’areo,
Kwa kuwa mwili una tamaa kubwa dhidi ya Roho, na Roho ina tamaa kubwa dhidi ya mwili. Hizi zinapingana kila moja na nyingine. Matokeo ni kwamba hamfanyi vitu mnavyotamani kuvifanya.
18 f’ie iaolòa’ i Arofoy, le tsy ambane’ i Hake.
Lakini kama Roho anawaongoza ninyi, hamko chini ya sheria.
19 Malange ty sata’ o nofotseo: ty hakarapiloañe, fandratoañe, hameñarañe,
Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi,
20 fiatoañe am-pahasive, famorehañe, fifalaiñañe, filie-drokoñe, fitsikirihañe, filoa-tiñake, fifandierañe, fifampiambahañe, fifampiriàñe,
ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko wa madhehebu,
21 fihàñañe, hamamoañe, fihisàn-draty vaho o manahake irezaio; inao indraike i hatahata hinatahatako anahareoy, te tsy handova i Fifehean’ Añaharey o manao irezaio.
wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu.
22 Le ty voka’ i Arofoy: fikokoañe, firebehañe, fañanintsiñe, fahaliñisañe, havantañañe, fatarihañe, figahiñañe,
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, ukarimu, utu wema, imani,
23 trentram-po, filieram-batañe. Tsy amy Hake ty mandrara irezay.
upole, na kiasi. Hakuna sheria dhidi ya mambo kama hayo.
24 Fa naradorado’ o mpiamy Iesoà Norizañeio i haondaty hambo’ey rekets’ o fañiria’e naho hadrao’eo.
Wale walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na shauku na tamaa zao mbaya.
25 Kanao veloñe amy Arofoy tikañe, antao hañavelo amy Arofoy ka.
Kama tukiishi kwa Roho, pia tutembee kwa Roho.
26 Asoao tsy hirengevoke, hifanikisìky naho hifampitsikirìke.
Tusiwe wa kujivuna, tusichokozane kila mmoja na mwenzake, wala tusioneane wivu.