< Ezekiela 40 >

1 Ie amy taom-paha roapolo lim’ ambi’ i fandrohiza’aiy, amy loha-taoñey, amy andro valoha’ i volañeiy, le amy taom-paha-folo-efats’ ambi’ ty fandafañe i rovay, le tamako amy andro zay ty fità’ Iehovà vaho nendese’e mb’eo.
Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
2 Ie amo aroñaron’ Añahareo, le nen­dese’e mb’an-tane’ Israele añe naho napo’e ambone’ ty vohitse mitiotiotse eo, vaho ama’e ey ty firafin-drova mañatimo.
Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
3 Teo ty nendese’e ahy, le ingo t’indaty hoe tarehen-torisìke ty vinta’e, nitintiñe taly leny am-pità’e naho kobaim-panjeheañe; nijohañe an-dalambey ey.
Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
4 Le hoe indatiy tamako: O ana’ ondatio, mahaisaha am-pihaino, naho mijanjiña an-dravembia, vaho ajadoño an-tro’o ao ze he’e haboako, fa nendeseko etoañe hanoroako azo; hene taroño amy anjomba’ Israeley ze oni’o.
Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
5 Ingo ty kijoly alafe’ i anjombay mañarikatoke aze; ampità’ indatiy ty kobaim-panjeheañe, enen-kiho-lava ty andava’e, kiho raike itovoñam-pohem-pitañe i kiho zay; aa le zinehe’e ty ampohe’ i kijoliy: kobaiñe raike, naho ty haabo’e: kobaiñe raike.
Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
6 Niheo mb’amy lalambey mitolik’ atiñanan-dre le niañambone’ i fanonga’ey, vaho zinehe’e ty tokona’ i lalambeiy, kobaiñe raike ty ampohe’e, le ty tokona’e ila’e: kobaiñe raike ty ampohe’e.
Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
7 Le ty trañom-pigaritse, kobay raike ty andava’e naho kobay raike ty ampohe’e; kiho lime ty añivo’ i traño rey, vaho kobay raike ty takona’ i lalañe amy lavaranga’ i lalambey miatreke i anjombaiiy.
Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
8 Zinehe’e ka ty tokona’ añate’ i lalambey, kobaiñe raike.
Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
9 Le zinehe’e ty treha’ i tokonan-dalambeiy: kiho valo; naho o tolà’eo: kiho roe; vaho niatreke i anjombay ty fiziliha’ i lalambeiy.
ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
10 Trañom-pigaritse telo ty añ’ila’ i lalambey atiñanañey etoy naho telo añ’ ila’e aroy, mira ty zehe’ i telo rey; vaho sindre aman-jehen-tolàñe mira ty añ’ila’e atoy naho ty añ’ila’e aroy.
Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
11 Zinehe’e ka ty am-pohe’ i fizilihan-dalambeiy: kiho folo; naho ty andava’ i lalambeiy: kiho folo-telo’ amby.
Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
12 Ty jeba’e aolo’ o efe-trañoo le kiho raik’ añ’ila’e atoy naho kiho raik’ añ’ila’e eroy; i efe-traño rey le enen-kiho añ’ila’e etoy naho enen-kiho ty eroy.
Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
13 Zinehe’e ka ty lalambey boak’ ami’ty tafon-efe-traño raike pak’ an-tafo’ i raikey; kiho roapolo-lim’amby, an-dalañe miatre-dalañe.
Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
14 Nanoe’e tolàñe ka, kiho enempolo, le nanahake izay o lalambey sisa añ’ariari’ i kiririsaio.
Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
15 Le boak’an-tarehe’ i lalam-pizilihañey pak’ an-tarehe’ ty figadoña’ i efe-pizilihañey, limampolo kiho.
Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
16 Songa reke-pikatohañe o lalan-kede amy efe-traño rey naho amo tolà’e añate’ i lalambeio mb’eo mb’eo, le izay ka amo mivokokeo, vaho mañariary o efe-traño am-po’ iareoo o lalan-kede’eo; sindre aman-tsatrañe o tolàñeo.
Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
17 Nendese’e an-kiririsa añate’e ao iraho, le ingo ty efe-traño naho ty dalaze am-bato hara’e tsara­tseak’ añ’ ariari’ i kiririsay; efe-traño telopolo ty niatreke i dalazey.
Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
18 Tañ’ila’ o lalambeio i damokey ty amy halava’ o fizilihañeoy, i damok’ ambaney izay.
Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
19 Zinehe’e maniñana boak’ am-piatrefa’ i lalambey ambaney pak’am-para’ i kiririsa añate’ey, kiho zato, vaho hoe izay ka ty mañavaratse.
Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
20 Le nizehe’e ty andava naho ty am-pohe’ i lalambein-kiririsa’ alafe’e nitolik’ avaratsey.
Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
21 Telo ty trañom-pigaritse añ’ila’e etoy naho telo ty añ’ila’e eroy; ie mira amo nizeheñe amy lalambey valoha’ey naho o tolañeo naho o vokokeo; kiho limampolo ty andava’e le kiho roapolo-lim’ amby ty ampohe’e.
Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
22 Mira amo nanjeheañe amy lalambey nitolik’ atiñanañeio o lalan-kede’eo naho o lavaranga’eo vaho o satra’eo; fanongañe fito ty mañambone ama’e le aolo’ iareo eo i lavaranga’ey.
Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
23 Manahake i lalam-bey atiñanañey le mitolik’ amy lalam-bein-kiririsa añate’e ty lalambey avaratse, ie zinehe’e boak’an-dalambey pak’an-dalambey tandrife: le kiho zato.
Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
24 Ie amy zay nendese’e mañatimo, le inge ty lalambey mitolik’ atimo: zinehe’e o tolà’eo naho o voko’eo, le nira amy nizehèñe rey.
Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
25 Manahake o ila’eo o lalan-kede niariary aze naho o voko’eo; kiho limampolo ty andava’e naho kiho roapolo-lim’ amby ty am-pohe’e.
Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
26 Fito ty fanongañe miañambone ama’e, le aolo’ iareo o voko’eo; nitemeren-tsatrañe o tolà’eo, ty añ’ila’e etoy naho ty añ’ila’e eroy.
Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
27 Teo ty lalambey nitolik’ atimo amy kiririsa añate’ey; zinehe’e ty boak’an-dalambey pak’ an-dalambey atimo, zato kiho.
Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
28 Nendese’e nizilik’ an-dalam-bey atimo mb’an-kiririsa añate’e mb’eo; le zinehe’e i lalam-bey atimoy ie nira amy nanjeheañe o ila’eoy;
Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
29 mira amy nanjeheañe rey ka o efe-traño’eo, naho o tolà’eo naho o voko’eo; mañariary aze naho o voko’eo o lalan-kede’eo; kiho limampolo ty an-dava’e vaho roa-polo-lim’ amby ty am-pohe’e.
Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
30 Vokoke ty nañariary aze, kiho roapolo-lim’ amby ty an-dava’e naho kiho lime ty ampohe’e.
(Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
31 Miakatse an-kiririsa alafe’e ao o voko’eo, hene aman-tsatrañe o tolà’eo, valo ty fanongañe miañambone ama’e.
Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
32 Nendese’e mb’añ’ila atiñana’ i kiririsa añate’ey mb’eo iraho; le zinehe’e i lalambeiy t’ie nira amo ila’eo.
Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
33 Mira ami’ty zehe’ o ila’eo ka o efe-tra­­ño’eo, naho o tolà’eo, naho o voko’eo; mañariary aze naho o voko’eo o lalan-kede’eo; kiho limampolo ty an­dava’e naho kiho roapolo-lim’ amby ty am­pohe’e.
Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
34 Miakatse mb’ an-kiririsa ala­fe’e mb’eo o voko’eo, sindre reke-tsatrañe o tolà’eo añ’ ila’e etoy naho añ’ ila’e eroy; valo ty fanongañe miañambone ama’e.
Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
35 Le nendese’e mb’amy lalam-bey avaratsey mb’eo, naho zinehe’e te mira ami’ty zehe’ o ila’eo:
Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
36 o efe-traño’eo, o tolà’eo naho o voko’eo; vaho mañariary aze o lalan-kede’eo; kiho limampolo ty andava’e naho kiho roapolo-lim’ amby ty ampohe’e.
kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
37 Mimoak’ an-kiririsa alafe’e ao o tolà’eo; nitemeren-tsatrañe o tolà’e añ’ila’e etoy naho añ’ila’e eroio, valo ty fanongañe miañambone ama’e.
Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
38 Añivo o tolà’ i lalambei’eio ty fizilihañe mb’ami’ty traño-kede; ao ty fanasañe o hisoroñañeo.
Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
39 Le amy fizilihañey ty rairay roe añ’ila’e etoy naho ty roe añ’ila’e eroy, handentàñe o soroñeo, o engan-kakeoo naho o engan-tahiñeo.
Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
40 Rairay roe ty añ’ila’ alafe’ i fanongañe mimoak’ an-dalam-bey avaratsey; naho rairay roe ty añ’ila’e ka, amy fizilihañe i lalambeiy ao.
Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
41 Aa le rairay efatse ty añ’ ila’e etoy, naho rairay efatse ty añ’ila’ ty lalambey eroy; rairay fandentàñe valo.
Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
42 Nanoeñe vato tsine­rake i rairay efats’ o soron-koroañeo rey, kiho raike tsy tampa’e ty andava’e naho kiho raike tsy tampa’e ty am­pohe’e, vaho kiho raike ty ha­abo’e; ie ambone’e eo ty fampipohañe haraom-pandentàñe engan-ko lorañe naho soroñe.
Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
43 Nirekets’ añ’ ariari’ i trañoy ty porengotse maro, sindre zehem-pitàñe ty andava’e; naho amy rairay rey i hena hisoroñañey.
Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
44 Alafe’ i lalambei’ añate’ey an-kiririsa’ añate’e añ’ila’ i lalambey avaratsey ty trañom-pisabo miatrek’ atimo, teo ka ty añ’ila’ i lalambey atiñanañey miatrek’ avaratse.
Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
45 Le hoe re amako, Ty traño miatrek’ atimo toy le a o mpisoroñe mitoloñe amy anjombaio.
Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
46 I traño miatrek’ avaratsey le a’ o mpisoroñe mitoroñe amy kitreliio; o ana’ i Tsadoke kinoik’ amo ana’ i Levio ro hitotok’ am’ Iehovà hiatrak’ azeo.
nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
47 Zinehe’e ka i kiririsay, kiho zato ty andava’e naho kiho zato ty ampohe’e, efa-mira; aolo’ i anjombay ty kitrely.
Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
48 Le nendese’e mb’am-piziliha’ i anjombay iraho, vaho zinehe’e o tolà’ i fizilihañeio: kiho lime ty añ’ ila’e etoy naho kiho lime ty añ’ ila’e eroy; kiho telo ka ty am-pohe’ i lalambeiy añ’ ila’e etoy naho telo kiho ty añ’ ila’e eroy.
Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
49 Kiho roapolo ty andava’ i fizilihañey, naho kiho folo-raik’ amby ty ampohe’e; fanongañe ty fimoahañe; tsotsòke raike ty añ’ila’ o tolà’eo etoy naho raike ty eroy.
Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.

< Ezekiela 40 >