< Ezekiela 38 >
1 Le niheo amako ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe:
Neno la Yahwe likanijia, likisema,
2 O ana’ondatio, atrefo ty Goge an-tane’ i Magoge, roandria’ ty rova-bey Meseke naho i Tobale vaho itokio
“Mwanadamu, weka uso wako kumwelekea Gogu, nchi ya Magogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali; na kutabiri dhidi yake.
3 ami’ty hoe: Inay ty nafè’ Iehovà Talè, Inao ry Goge, roandria’ ty rova bei’ i Meseke naho i Tobale t’ie atrefeko;
Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako, Gogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali.
4 hampibaliheko naho ho porengoteko o valañorà’oo, vaho ho kozozoteko mb’eo rekets’ o lahindefo’o iabio, soavala naho mpiningitse, songa misikiñe fikalañe, valobohòke jabajaba songa an-kalan-defo naho fañaro-sirañe, sambe mitam-pibara.
Hivyo nitakugeuza na kuweka kulabu kwenye taya yako; nitakupeleka nje pamoja na jeshi lako lote, farasi, na waendesha farasi, wote wakiwa wamevaa silaha, kusanyiko kubwa pamoja na ngao ndogo na ngao kubwa, wote wakishikilia panga!
5 Hitraok’ am’iareo t’i Parase, i Kose vaho i Pote, songa amam-pikalañe naho fañaron-doha.
Persia, Kushi, Uajemi wapo pamoja nao, wote pamoja na ngao na chapeo!
6 I Gomere naho ze hene lian-dahin-defo’e; ty anjomba’ i Togarmà boak’ an-tsietoitane avaratse añe naho ze fonga firimboña’e naho ondaty maro mihipok’ ama’oo.
Gomeri na jeshi lake lote, na Beth-Togarma, kutoka sehemu za mbali ya kaskazini, na jeshi lake lote! Watu wengi wako pamoja nawe!
7 Mañalankàña, le mihentseña, ihe naho o valobohòke nifanontone ama’oo, vaho ifeheo!
Kuwa tayari! Ndio, jiandae na jeshi lako waliokusanyika pamoja na wewe, na amiri wao mkuu.
8 Ie modo ty andro maro le ho tilihen-drehe hitoroñe amy figadoñan-taoñey, haname i tane nivotsoreñe amy fibaraiy, o hinoloholo amo kilakila’ ndatioo, mb’ am-bohibohi’ Israele mb’eo, ie nainai’e niratraratra; f’ie nakareñe amo fifelehañe maroo vaho songa miaiñ’ añoleñañe.
Utaitwa baada ya siku nyingi, na baada ya miaka michache utaenda kwenye nchi iliyofunikwa kutoka upanga na ambayo iliyokusanywa kutoka watu wengi, iliyowkusanya kuwarudisha milima ya Israeli ambayo imeendelea kuangamizwa. Lakini watu wa nchi watatolewa na kabila za watu, na wataishi salama, wote!
9 Hionjom-beo hoe tio-bey irehe hanahake rahoñe manaroñe i taney, ihe naho ze hene firimboña’o naho o valobohòke mihipok’ ama’oo.
Hivyo utapanda juu kama tufani iendavyo; utakuwa kama wingu lililofunika nchi, wewe na jeshi lako lote, maaskari wako wote pamoja na wewe.
10 Hoe ty nafè’ Iehovà Talè: hifetsak’ amy andro zay, te, hionjo-mb’ añ’ arofo’o ao ty saontsy, hikitrok’ an-tsafiry raty:
Bwana Yahwe asema hivi: Itakuwa siku hiyo hayo mawazo yataingia moyoni mwako, na utatunga njama mbaya.'
11 hanao ty hoe: Hionjoñe mb’amy tane aman-tanañe tsy aman-kijoliy iraho; haname o mitofao, o miaiñañoleñañeo, o songa mimoneñe tsy mifahetseo, tsy misikadañe tsy aman-dalambey,
Kisha utasema, 'nitapanda hata nchi iliyowazi; nitaenda hata kwa watu wapole waishio salama, wote wakiishi mahali ambapo hakuna kuta wala makomeo, na mahali ambapo hakuna malango ya mji.
12 hikopahako naho hitsindrohako, hampitoliha’o fitàñe mb’amo tane nangoakoake fa imoneñañeo naho mb’am’ ondaty natontoñe amo kilakila’ ndatio, ie aman’ añombe naho vara, mpimoneñe añivo’ ty tane toy.
Nitanyakua mateka na kuiba mateka, ili nilete mkono wangu juu kuwaangamiza wale wakazi wapya, na juu ya watu waliokusanyika kutoka mataifa, watu wale waongezao wanyama na mali, na wale waishio katikatika ya dunia.'
13 Hañontane azo t’i Seba naho i Dedane naho o mpanao balibali’ i Tarsise, rekets’ o ana-donak’ama’eo, Nivotrake eo hitavane vara hao? Nampirimboñe valobohòke hitsindroke hao, hitarazo volafoty naho volamena mb’eo, hinday hare naho kilankañe, hitavane fikopaham-bey?
Sheba na Denani, na wafanya biashara wa Tarshishi pamoja na mahodari wake wote watakwambia, 'Je, umekuja kuteka nyara? Je, umewakusanya majeshi yako kuchukua mateka, kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua mifugo yao na mali na kuwakokota mateka wengi sana?'
14 Aa le mitokia, ry ana’ ondatio, taroño amy Goge ty hoe: Inao ty nafè’ Iehovà Talè: Amy andro hiaiñañoleña’ ondatiko Israeleoy; tsy ho fohi’o hao?
Kwa hiyo tabiri, mwanadamu, na mwambie Gogu, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku hiyo, wakati watu wangu Israeli watakapoishi salama, je, hutajifunza kuhusu wao?
15 Le hitandroake eo irehe boak’ an-toe’o añ’ila avaratse añe, ihe rekets’ ondaty mitozantozañe, songa miningi-tsoavala, valobohòke jabajaba vaho firimboñan-dahindefon-dra’elahy,
Utakuja kutoka mahali pangu mbali katika kaskazini pamoja na jeshi kubwa, wote wakiendesha farasi, kusanyiko kubwa, jeshi kubwa.
16 haname ondatiko Israeleo hoe rahoñe mampikopoke i taney, amo andro honka’eo, ie hendeseko mb’an-taneko mb’eo, hahafohina’ o kilakila’ndatio ahy, le havahen-draho ty ama’o añatrefam-pihaino’ iareo eo, ry Goge.
Utawashambulia watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Katika siku za baadaye nitakuleta juu ya nchi yangu, ili mataifa wanijue nitakapojifunua mwenyewe kupitia wewe, Gogu, kuwa mtakatifu mbele ya macho yao.
17 Aa hoe ty nafè’ Iehovà Talè: Tsy ihe hao ty nampisaontsieko o mpitorokoo, o mpitoki’ Israeleo, ie nitoky tañ’ andro izay t’ie tsy mete tsy ho tehafeko mb’am’ iereo mb’eo?
Bwana Yahwe asema hivi: Je, wewe siye yule ambaye niliyeongea naye katika siku za zamani kwa mkono wa watumishi wangu, manabii wa Israeli, waliotabiri katika mda wao wenyewe kwa miaka niliyowaleta juu yao?
18 Aa amy sa-panamea’ i Goge ty tane Israeley, hoe t’Iehovà Talè: hitroatroake ty fiforoforoako.
Basi itakuwa katika siku hiyo wakati Gogu atakapo ishambulia nchi ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-ghadhabu yangu itapanda katika hasira yangu.
19 Fa ty famarahiako naho fifomboko ty nivolañako, Toe ho fañozokozoñañe jabajaba ty an-tane’ Israele ao amy andro zay,
Katika wivu wangu katika hasira ya moto wangu, ninasema kwamba katika siku hiyo kutakuwa na tetemeko kubwa la nchi katika nchi ya Israeli.
20 kanao sindre hititititike añatrefako eo ze fiañe an-driak’ ao naho o voron-dikerañeo, naho o bibin-kivokeo, naho ze raha milalilaly misitsitse an-tane eo, naho ze kila ondaty ambone’ ty tane toy, mbore hihotrake o vohitseo, hihintsañe o tevañeo vaho hikoromak’ an-tane eo ze kijoly iaby.
Watatetemeka mbele yangu-samaki wa baharini na ndege wa angani, wanyama wa mashambani, na viumbe watambaao juu ya nchi, na kila mtu aliyeko juu ya uso wa nchi. Milima itaangushwa chini majabali yataanguka, hadi kila ukuta utaanguka kwenye nchi.
21 Le ho ikoiheko fibara ambone’ o haboako iabio, hoe t’Iehovà Talè; vaho fonga hañatsake ty rahalahi’e ze fibara’ ondaty.
Nitaita upanga dhidi yake juu ya milima yangu yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-upanga wa kila mtu utakuwa kinyume na ndugu yake.
22 Hizakako añ’ angorosy naho an-dio, naho hampahavieko ama’e naho amo mpirai-lia’eo naho amo valobohòke mindre ama’eo ty orañe mampiòpo, naho ty havandra gadaboñe, vaho ty afo amam-ponde.
Kisha nitamuhukumu kwa tauni na damu; nakufurika mvua na mvua ya mawe na kuchoma asidi nitainyeshea chini juu yake na jeshi lake na mataifa mengi yaliyo pamoja naye.
23 Le honjoñen-dRaho naho havaheñe naho ho rendrem-pihainom-pifeheañe maro, vaho ho fohi’ iareo te Izaho Iehovà.
Kwa kuwa nitaonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu na nitafanya kujulikana mimi mwenyewe katiaka macho ya mataifa mengi, na watajua kwamba mimi ni Yahwe.”