< Eksodosy 27 >

1 Tseneo kitrely am-barama mendoraveñe, lime kiho ty halava’e naho lime kiho ty ampohe’e; hatao efa-mira i kitreliy vaho telo kiho ty haabo’e.
Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
2 Le itseneo tsifa i hotso’e efatse rey; ho raik’ ama’e i tsifa’e rey vaho ipakoro torisìke­.
Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
3 Le andranjio ty fana’e fañafahan-davenoke naho o sadròm-poroha’eo naho o antova’eo, o firango’eo naho o finga’eo; ano torisìke o harao’e iabio.
Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
4 Le andranjio harato torisike tsingarakarake; le tseneo ravake torisìke efatse i tsingarakarakey ankotso’e efatse.
Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
5 Reketo ambane’ ty soñi’ i kitreliy i tsingarakarakey hahatakara’e ty havaki-miran-kaabo’ i kitreliy mañambane.
Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
6 Andranjio baoñe i kitreliy, baoñe ami’ty mendoraveñe, le ipakoro torisìke.
Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
7 Aziliho amo ravakeo i bao’e rey le songa hifamalahañe añ’ila’ roe’ i kitreliy i bao rey hitarazo­añe aze.
Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
8 Itseneo koake am-barambañe, amy nanoroañ’ azo ambohitse eiy ty handranjiañ’ aze.
Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
9 Itseneo kiririsa i kivohoy: mb’amy Negeve mañatimo le lamba tinenon-kèreñe am-pole leny matify ty hiradorado amy kiririsay; zato kiho ty halava’e ami’ty lafe’e raike;
Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
10 ty anakòre’e roapolo naho ty vave’e torisìke roapolo; ty porengo volafoty amo anakòreñe naho bandi’eo.
Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
11 Ie ka ty avaratse ami’ty andava’e: ty firadoradoa’e zato kiho, ty anakòre’e roapolo naho ty vave’e torisìke roapolo vaho o fiporengon’ anakòreñeo naho o bandi’eo am-bolafoty.
Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
12 Le ty ampohe’ i kiririsay ahandrefañey, limampolo kiho ty firadorado’e, folo ty anakòre’e naho folo ty vave’e.
Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
13 Le ty andava’ i kiririsay, limampolo kiho ty añ’ila’ i fanjirihañey mianiñànañe.
Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
14 Ty firadoradoa’e ami’ty ila’ i lalambeiy, folo-lime amby kiho, ty anakòre’e telo vaho ty vave’e telo.
Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
15 Le ty firadorado’e añ’ ila’e ka, folo-lime amby naho ty anakòre’e telo vaho ty vave’e telo.
Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
16 Ty lalambei’ i kiririsay, firadoradoañe roapolo kiho: ami’ty manga, malòmavo naho mena mañabasà vaho leny rinorotse am-pole matify nivahorem-pitrebeke; ty anakòre’e efatse naho ty vave’e efatse.
Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
17 Songa bandieñe volafoty o anakòre’e mañohoke i kiririsaio, volafoty o porengo’eo vaho tori­sìke o vave’eo.
Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
18 Kiho zato ty andava’ i kiririsay naho limampolo ty ampohe’e etoa naho eroa naho kiho lime ty haabo’ o aman-deny rinorotse matifio, vaho o vave’e torisìkeo.
Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
19 Hene torisìke o fana’ i kivohoio amy ze fitoloñañe aze naho o tsato’eo vaho o tsato’ i kiririsaio.
Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
20 Amantoho amo ana’Israeleo ty hinday menak’olive ki’e finofoke hireheta’ i jiroy nainai’e
awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
21 amy kibohom-pamantañañey alafe’ i lamba-fañefetse aolo’ i fañinaiy, le ho hajarie’ i Aharone naho o ana’eo ty hireheta’e añatrefa’ Iehovà boa-kariva ampara’ te porea’ ty maraindray: ho fañè amo hene’ tariran’ ana’ Israeleo.
Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.

< Eksodosy 27 >