< Deotoronomia 17 >

1 Asoao tsy hisoroña’o am’ Iehovà Andrianañahare’o ty bania ndra añondry aman-kandra ndra aman-kila amy t’ie tiva am’ Iehovà Andrianañahare’o.
Haupaswi kumtolea dhabihu Yahwe Mungu wako ng'ombe au kondoo aliye na kasoro au kitu chochote kibaya, kwa kuwa hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
2 Aa naho oniñe ama’ areo ao, amo rova natolo’ Iehovà Andria­nañahare’o azoo ty lahilahy ndra ty ampela manao hakeo ampivazohoa’ Iehovà Andria­na­ña­hare’o, ie mandilatse amy fañina’ey;
Kama kunapatikana miongoni mwenu, ndani ya malango ya mji wowote ambao Yahwe Mungu wenu anawapatia, mwanaume yoyote au mwanamke ambaye anafanya uovu mbele ya Yahwe Mungu wenu kuiharibu agano lake -
3 ie nimb’ an-drahare ila’e hito­roñe naho hitalaho ke amy àndroy, he amy volañey, hera amo fifamorohotan-dikerañeo, ze tsy nandiliako;
yoyote ambaye ameenda na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, wala jua, mwezi, au kati ya jeshi la mbinguni- hakuna chochote nimekuamuru,
4 aa ie nitaroñeñe ama’o le jinanji’o naho hinotsohotso’o soa naho nioniñe t’ie to, vaho tsy kalafo te nanoeñe e Israele ao i hativàñe zay,
na kama ungeambiwa kuhusu hiki, au kama una mifugo- basi unapaswa kufanya uchunguzi wa makini. Kama ni kweli na hakika kwamba chukizo kama hilo limefanyika Israeli-
5 le hasese’o mb’an-dalan-drova’o mb’eo i lahilahy ndra ampela nanao i haratiañeiy vaho ho retsahe’o vato i lahilahiy ndra i ampelay hampibabòke iareo.
-basi utamleta huyo mwanaume au mwanamke, aliyefanya uovu huu, katika malango ya mji, kwamba mwanaume kabisa au mwanamke, na umponde huyo mtu mpaka kufa.
6 Am-paliem-pitalily telo ndra mpitalily roe ty hañohofan-doza i mañeva havetrakey, f’ie tsy ho vonoeñe am-pa­lie’ ty mpitalily raike.
Kwa kinywa cha mashahidi wawili, au mashahidi watatu, itakuwa yeye anayepaswa kuuwawa; lakini kwa kinywa cha shahidi mmoja peke hatauwawa.
7 Ho ama’e hey ty fità’ o nita­lily azeo hañohofa’ iareoav loza, izay vaho ty fità’ ondaty iabio. Izay ty hañitoa’o ama’o o haratiañeo.
Mkono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuuwa, na badae mkono wa watu wote; na mtamuondoa muovu miongoni mwenu.
8 Aa naho ama’o ty raha tsy lefe’o zakaeñe añivo’ ty lio naho lio, añivo’ ty halaly naho halaly, añivo’ ty lafa naho lafa, amy ze fifandierañe an-drova’o ao le miongaha vaho mionjona mb’amy toetse ho joboñe’ Iehovà Andria­nañahare’oy mb’eo;
Kama jambo linatokea ambalo ni gumu kwenu kufanya maamuzi- pengine swali la mauaji au kifo cha ajali, haki ya mtu mmoja na haki ya mtu mwingine, au swali moja la aina ya kuzulu kufanyika, au aina nyingine ya jambo-mambo ya utata ndani ya malango yenu, basi utapaswa kwenda kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kama patakatifu pake.
9 le miheova mb’ amo mpisoroñeo naho mb’amo nte-Levio vaho mb’amy mpizaka amy andro zay le mañontanea, vaho ho taroñe’ iereo ama’o ty hizakàñe aze.
Utapaswa kwenda kwa makuhani, wazao wa Lawi, na kwa mwamuzi atakayetumika kwa wakati huo; mtatafuta ushauri wao, na watawapa ninyi maamuzi.
10 Aa le hanoe’o i hitoroa’ iareo boak’ amy toetse ho joboñe’ Iehovày vaho hambena’o te hanoeñe ze hene taroñe’ iereo ama’o;
Mnapaswa kufuata sheria mliyopewa, katika eneo Yahwe atachagua kama patakatifu pake. Mtakuwa makini kufanya kila kitu ambacho wanawaelekeza kufanya.
11 le i Hake hañòha’ iareo azo, le ho henefe’o i lily hisaontsia’ iereo te hanoe’o, le tsy hivike ndra mañavana ndra mañavia irehe amy zaka taroñe’ iereo ama’oy.
Fuata sheria wanayowafundisha, na kufanya kulingana na maamuzi wanawapa. Msigeuke kutoka kwa kile wanawambia, kwa kulia au kushoto.
12 Fa i lahilahy manao ze satri’e vaho tsy mañaoñe i mpisoroñe mijohañe am-pitoroñañe añatrefa’ Iehovà Andrianañahare’oy ndra i mpizakay, le havetrake i lahiy; haitoañe am’ Israele i haloloañey,
Yeyote anayefanya kwa kiburi, kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama kutumika mbele ya Yahwe Mungu wako, au kwa kutomsikiliza mwamuzi- huyu mtu atakufa; mtaweka mbali uovu kutoka Israeli.
13 le hahajanjiñe ondaty iabio vaho ho hembañe tsy hanao ze satri’e avao.
Watu wote wanapaswa kusikia na kuogopa, na kutofanya kwa kiburi tena.
14 Aa ie fa nivotrak’ an-tane hatolo’ Iehovà Andrianañahare’o azo naho tavane’o, naho mimoneñe ao, vaho manao ty hoe: hañory mpanjaka hifehe ahy iraho manahake o rofoko iaby mañohok’ ahikoo,
Wakati mlipokuja kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu anawapa, na wakati mnamiliki na kuanza kuishi ndani yake, na halafu unasema, 'Nitajiwekea mfalme juu yangu, kama mataifa yote yanayonizunguka mimi,'
15 le toe i ho joboñe’ Iehovà Andria­nañahare’oy ty hedrè’o ho mpanjaka ama’o; ty hirik’ amo rolongo’oo ty hajado’o ho mpanjaka hifehe azo, fa tsy hampifehè’o azo ty renetane tsy longo’o.
basi unapaswa kwa hakika kujiwekea mfalme juu yako mtu yeyote ambaye Yahwe atachagua. Unapaswa kujiweka kama mfalme juu yako mtu yeyote kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Haupaswi kuweka mgeni, ambaye si ndugu yenu, juu yenu.
16 Asoao tsy hamorohotaha’e soa­vala ho am-bata’e, ndra hampibalihe’e mb’e Mitsraime mb’eo ondatio hampi­tomboa’e soavala amy ni­tsarae’ Iehovà ama’ areoy ty hoe: Tsy himpoly mb’eo ka nahareo.
Lakini hapaswi kuzidisha farasi kwa ajili yake, wala kusababisha watu kurudi Misri ili kwamba aweze kuzidisha farasi, kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, 'Unapaswa kuanzia sasa usirudi njia hiyo tena.'
17 Le ie tsy hañenga valy maro, tsy mone hitsile ty arofo’e, vaho tsy hanontoña’e volafoty naho volamena mitoabotse.
Na hapaswi kuzidisha wake kwa ajili yake, ili kwamba moyo wake usigeuke kotoka kwa Yahwe; wala hapaswi sana kuzidisha kwa ajili yake fedha au dhahabu.
18 Aa ie miambesatse amy fiam­besam-panjakam-pifehea’ey, le ho tsikombe’e an-tsokitse ty Hake toy, ami’ty boke añatrefa’ o nte-Levy mpisoroñeo.
Wakati aketipo kwenye kiti cha enzi cha ufalme wake, anapaswa kuandika kwenye kitabu kwa ajili yake nakala ya sheria hii, kutoka kwenye sheria ambayo iko mbele ya makuhani, ambao ni Walawi.
19 Hirekets’ ama’e izay vaho ho vakie’e amo hene andro hiveloma’eo, hioha’e ty hañeveñe am’ Iehovà Andria­naña­hare’e, fonga hambena’e o tsara ami’ ty Hake toio naho o fañè retoañe;
Kitabu kinapaswa kuwa na yeye, na anapaswa kusoma ndani yake kwa siku zake zote, ili kwamba aweze kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, ili kwamba ashike maneno yote ya sheria hii na amri hizi, kuzishika.
20 tsy hirengevoha’ ty arofo’e ambone’ o longo’eo, naho tsy hivio mañavàna ndra mañavia’ ty lily toy, soa te ho lava-haveloñe am-pifehea’e ao, ie naho o tarira’eo añivo’ Israele ao.
Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa kulia au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.

< Deotoronomia 17 >