< Asan'ny Apostoly 17 >
1 Ie niranga i Ampifolia naho i Apolonia le nandoake e Tesalonika fa ama’e ao ty Fitontonan-Jiosy.
Na walipopita katika miji ya Amfipoli na Apolonia, walikuja mpaka mji wa Thesalonike ambao kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
2 Nizilik’ am-pitontonañ’ ao t’i Paoly amy lili’ey, le nitoroa’e boak’ amo Sokitse Masiñeo ami’ty Sabotse telo,
Kama ilivyo kawaida ya Paulo, alienda kwao, na kwa muda wa siku tatu za Sabato alijadiliana nao juu ya maandiko.
3 nampalange naho nampidodea te tsi-mahay tsy nijale i Norizañey vaho nitroatse amy havilasiy, ami’ty hoe, Iesoà itaroñakoy, ie ‘nio i Norizañey.
Alikuwa akiwafungulia maandiko na kuwaeleza kuwa, ilimpasa Kristo ateseke na kisha kufufuka tena kutoka kwa wafu. Aliwaambia, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake ndiye Kristo”
4 Niantoke ty ila’e le nirekets’ amy Paoly naho i Silasy; nanao zay ka ty maro amo Grika mpitalahoo, vaho maromaro amo roakemba beio.
Baadhi ya Wayahudi walishawishika na kuungana na Paulo na Sila, pamoja na Wagiriki wachamungu, akinamama wengi waongofu na kundi kubwa la watu.
5 Fe nañitrike ondaty tsivokatse boak’ an-tsena ao am-pikirañañe, o Tehodao, nitrobotrobo i lahialeñey, nampivalitsingorake i rovay; vaho nifajifajy mb’ añ’ anjomba’ i Jasona hañakarañe iareo mb’amy màroy.
Lakini baadhi ya Wayahudi wasioamini, waliojawa na wivu, walienda sokoni na kuwachukuwa baadhi ya watu waovu, wakakusanya umati wa watu pamoja, na kusababisha ghasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Jason, wakitaka kuwakamata Paulo na Sila ilikuwaleta mbele za watu.
6 F’ie tsy nitendreke; le kinororòke mb’añatrefa’ o bei’ i rovaio mb’eo t’i Jasona naho ty roahalahy ila’e, vaho nitazataza ty hoe: Hehe te nivotrak’ atoy ka o mpampibalitaboake ty tane toio,
Lakini walipowakosa, walimkamata Yasoni na baadhi ya ndugu wengine na kuwapeleka mbele ya maofisa wa mji, wakipiga kelele, “Hawa wanaume walioupindua ulimwengu wamefika mpaka huku pia,
7 mbore nampihovàe’ i Jasona. Mandilatse o lilin-Kaisarao ty sata’ iareo le inao eo ze o mpanjaka tovo’e atao Iesoà zao.
Wanaume hawa waliokaribishwa na Yasoni wanaihalifu sheria ya Kaisari, wanasema kuna mfalme mwingine anayeitwa Yesu”
8 Ie nahajanjiñe izay, le nitsiborehetoke i lahialeñey naho o bein-drovao.
Umati na maofisa wa mji waliposikia mambo hayo, waliingiwa na wasiwasi.
9 Le nampandoà’ iareo àntoke t’i Jasona naho o rañe’eo vaho navotsotse.
Baada ya kuwa wamekwisha kuchukua fedha ya thamani ya ulinzi kutoka kwa Yason na wengine, waliwaachia waende.
10 Aa le nahitri’ o roahalahio aniany amy haleñey mb’e Berea mb’eo t’i Paoly naho i Silasy. Ie pok’ eo le nizilik’ am-pitontonan-Jiosy ao.
Usiku ule ndugu walimtuma Paulo na Sila Beroya. Na walipofika kule walikwenda katika sinagogi la Wayahudi.
11 Nivañoñe te amo nte Tesalonikao iretoa, amy t’ie nandrambe o tsarao am-pahimbañañe vaho nañotsohotso o Sokitse Masiñeo lomoñandro handrendreke ty hatò’ o raha zao.
Watu wale walikuwa wenye werevu mkubwa kuliko wale watu wa Thesalonike, kwa sababu walikuwa na utayari wa kulipokea neno kwa akili zao, na kuchunguza maandiko kila siku ili kuona kama maneno yaliyonenwa ndivyo yalivyo.
12 Aa le maro ty niantoke, miharo ami’ty roakemba maromaro aman-kasy naho amo lahilahy Grikao.
Kwa hiyo wengi wao waliamini, wakiwemo wanawake wenye ushawishi mkubwa wa Kigiriki na wanaume wengi.
13 Aa ie nifohi’ o Jiosy nte Tesalonikao te mbore nitaroñe i tsaran’ Añaharey e Berea t’i Paoly, le niheo mb’eo ka iereo nitrobo i lahialeñey.
Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipogundua kwamba Paulo anatangaza neno la Mungu huko Beroya, walienda huko na kuchochea na kisha kuanzisha ghasia kwa watu.
14 Le nampihitrife’ o roahalahio pak’an-driak’ añe aniany t’i Paoly, fe mbe nitambatse eo t’i Silasy naho i Timoty.
Kwa haraka, ndugu wakampeleka Paulo kwa njia ya ziwa, lakini Sila na Timotheo wakabaki pale.
15 Nasese’ o lahilahio pak’ Atena añe t’i Paoly; le nimpoly ninday saontsy amy Silasy naho i Timoty ty homb’ama’e añe masìka.
Wale ndugu waliompeleka Paulo walienda naye hadi Athene, walipomwacha Paulo huko, walipokea maagizo kutoka kwake kuwa, Sila na Timotheo waje kwake kwa haraka iwezeanavyo.
16 Nandiñe iareo e Atena ao t’i Paoly fe nitsimboetse añ’arofo t’ie nahaisake te lifo-kazomanga i rovay.
Na wakati akiwasubiri huko Athene, roho yake ilikasirishwa ndani yake kwa jinsi alivyouona mji ulivyojaa sanamu nyingi.
17 Aa le nitaroñe lomoñandro amo Jiosio naho amo mpañeveñe aman’ Añahareo am-pitontonañe ao naho an-tsena ey amy ze nifanampe ama’e.
Hivyo akajadiliana katika sinagogi na wayahudi wale waliomcha Mungu na kwa wale wote aliokutana nao kila siku sokoni.
18 Nifanaontsy ama’e ka o mpikaro-kihitse amo Epikoreo naho amo Stoikao. Hoe ty ila’e: Ino ty ho volañe’ ty mpangaradadake tìa? Hoe ka ty ila’e: Hoe t’ie mpitalily ndrañahare hafa, amy t’ie nitaroñe Iesoà naho i fivañonambelo’ey.
Lakini baathi ya Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. Na wengine wakasema, “Ni nini anachokisema huyu mwongeaji mchanga? Wengine wakasema, “inaonekana anahubiri habari ya mungu mgeni,” kwasababu anahubiri habari ya Yesu na ufufuo.
19 Rinambe’ iereo naho nasese mb’ami’ty Areopagò mb’eo, le nanao ty hoe: Ehe ampahafohino anay te inoñe o fañòhañe vao saontsie’oo;
Wakamchukua Paulo na kumleta Areopago, wakisema, “Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea?
20 amy t’ie minday enta ankafankafa an-dravembia’ay, paia’ay ty hahafohiñe ty lengo’ o raha zao.
Kwasababu unaleta mambo mapya katika masikio yetu. Kwahivyo tunataka kujua haya mambo yana maana gani?”
21 (Toe fonga tsy nanao inoñ’ inoñe o nte Atenao naho ze ambahiny ao naho tsy ty hitalily ndra ty hijanjiñe ze atao vao lomoñandro.)
(Na watu wote wa Athene pamoja na wageni waliopo kwao, hutumia muda wao aidha katika kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya.)
22 Aa le nijohañe añivo’ i Vohi-Arese eo t’i Paoly nanao ty hoe: O ry nte Atenao! Treako t’ie vata’e mpitalaho amy ze he’e.
Kwa hiyo Paulo akasimama katikati ya watu wa Areopago na kusema, “Enyi watu wa Athene, naona kuwa ninyi ni watu wa dini kwa kila namna,
23 Izaho nijenlajelañe, nisamba o fitalahoa’ areoo, le nizoeko ty kitrely nipatereñe ty hoe: Ho amy t’i Andrianañahare tsy Fohiñe. Aa le hitaroñako i italahoa’ areo fa tsy apota’ areoy.
Kwani katika kupita kwangu na kuangalia vitu vyenu vya kuabudu, nimeona maneno yalioandikwa kwenye moja ya madhabahu yenu, ikisema “KWA MUNGU ASIYEJULIKANA”. Hivyo basi, huyo mnayemwabudu pasipokujua, ndiye ninayewajulisha ninyi.
24 I Andrianañahare nanao ty voatse toy naho ze he’e ama’ey, ie i Talè i likerañey naho ty tane toiy vaho tsy mpimoneñe an-kibohotse nanoem-pitàñe re;
Mungu aliyeumba dunia na kila kitu kilichoko ndani, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hawezi kukaa katika mahekalu yaliyotengenezwa na mikono.
25 mbore tsy atràm-pità’ ondaty—ino ty paiae’e? Ie ty mpanolo-kaveloñe naho arofo vaho ze he’e.
Na pia hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu kwao, kwani yeye mwenyewe huwapa watu uzima na pumzi na vitu vingine vyote.
26 Le songa namboare’e an-dio raike ze foko’ ondaty, himoneña’e an-tane atoy, le ie ty nisafiry o sàn’ andro hiraoraoa’ iareo, vaho ty efem-pimoneña’ iareo;
Kupitia mtu mmoja, alifanya mataifa yote ya watu waishio juu ya uso wa dunia, na akawawekea nyakati na mipaka katika maeneo wanaoishi.
27 soa te hipay an’ Andrianañahare, hitsoek’ aze, he ho tendreke, ie tsy lavitse an-tikañ’ iaby.
Kwa hiyo, wanatakiwa kumtafuta Mungu, na yamkini wamfikie na kumpata, na kwa uhakika hayupo mbali na kila mmoja wetu.
28 Fa ama’e ao tika ro veloñe naho mihetseke vaho manañ’ aiñe, manahake ty fitaroña’ o mpahay sabo’ areoo, ty hoe: Tarira’e ka tikañe.
Kwake tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu, kama vile mtunzi wenu mmoja wa shairi aliposema 'tu wazaliwa wake.'
29 Aa kanao tariran’ Añahare tika, le tsy mete ty fitsakorean-tika te ampihambañeñe ami’ty volamena ndra volafoty ndra vato nisokireñe an-kilala naho ami’ty hihi’ ondatio i Masiñey.
Kwa hiyo, ikiwa sisi ni wazaliwa wa Mungu, hatupaswi kufikiri kuwa uungu ni kama dhahabu, au shaba, au mawe, sanamu iliyochongwa kwa ustadi na mawazo ya watu.
30 Ie nihevea’e heike an-tsa habahimoañe, ro taroñen’ Añahare henaneo te tsi-mete tsy hene misoloho ondatio ndra aia aia,
Kwa hiyo, Mungu alinyamazia nyakati zile za ujinga, lakini sasa anaamuru watu wote kila mahali wapate kutubu.
31 amy te nifotoàña’e andro zaka an-katò ty voatse toy añam’ indaty tinendre’ey; ie niventè’e amy ze kila ondaty amy nampitroara’e an-kavilasy.
Hii ni kwa sababu ameweka siku atakayo ihukumu dunia kwa haki kwa mtu ambaye alimchagua. Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu kwa kila mtu pale alipomfufua katoka kwa wafu.
32 Aa ie jinanji’ iereo ty hoe: Fitroarañ’ an-kavilasy, le nikobìha’ ty ila’e, vaho hoe ka ty ila’e: Mbe hijanjiña’ay indraike.
Na watu wa Athene waliposikia habari ya kufufuliwa kwa wafu, baadhi yao wakamdhihaki Paulo, ila wengine wakasema “Tutakusikiliza tena kwa habari ya jambo hili”
33 Aa le nienga iareo t’i Paoly.
Baada ya hapo, Paulo akawaacha.
34 Fe nipitek’ ama’e t’indaty ila’e vaho niato. Tam’ iereo t’i Dionisio, mpiamy Areopagoy, naho ty rakemba atao Damarie vaho ty ila’e.
Lakini baadhi ya watu waliungana naye wakaamini, akiwemo Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari na wengine pamoja nao.