< Asan'ny Apostoly 14 >

1 Ie te Ikonioma añe le nindre nizilik’ am-pitontona’ o Jiosio, le akore ty lañona’ iareo kanao maro amo Jiosio naho o Grikao ro niantoke.
Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
2 Fe trinobo’ o Jiosy tsy niantokeo ty arofo’ o kilakila ‘ndatio vaho vinore’ iareo afero-añ’ate ty amo mpiroahalahio.
Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
3 F’ie nitambatse ao andro maro, nitalily i Talè am-pahasibehañe, ie namente i tsaray ami’ty hasoa’e, nanolotse viloñe naho halatsàñe nanoeñe am-pità’ iareo.
Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
4 Fe nifañambake ondati’ i rovaio; atia o mpiamo Jiosioo, le etia o nimpiamo Firàheñeoo.
Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
5 Nikilily ty ila’ o Tehodao miharo amo kilakila’ ondaty ila’eo naho o bei’ iareoo, ty hijoy iareo am-pametsaham-bato,
Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
6 ie naharendreke le nibolititse mb’e Derbe naho mb’e Listra, rova i Likaonia naho mb’am-paripari’e ao,
wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
7 nitolom-pitaroñe i talili-soay.
na huko waliihubiri injili.
8 Te Listra ao ty lahilahy nikonenake avao, naleme fandia, kepeke boak’ an-kovin-drene’e, mb’e lia’e tsy ninokitse.
Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
9 Tsinendre’e ty saontsi’ i Paoly, le hinare’ i Paoly naho nioni’e te naha­tsàke hañahàñ’ aze i fatokisa’ey,
Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
10 le napaza’e ty hoe: Miongaha am-pandia’oo! Aa le nitsamboan-dre naho nanjotike.
Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
11 Ie nioni’ i lahialeñey i nanoe’ i Paoliy, le songa nikontsiañe an-tsaontsy Likaonia, ami’ty hoe: Fa totsak’ aman-tikañ’ atoy o ndrañahareo misare ondaty!
Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
12 Natao’ iereo Jopitera t’i Barnabasy, naho Hermese t’i Paoly amy t’ie ty talèn-tsara.
Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
13 Nanese añombelahy naho voñe firavahañe mb’ an-dalam-bey mb’eo ty talèm-pisoro’ i Jopitera mpimoneñe amy anjomba’e miavake aolo’ i rovay eiy, Ie naho i lahialeñey ho nisoroñe.
Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
14 Fe jinanji’ i Barnabasy naho i Paoly izay, le nandriatse saroñe vaho nilay anteñateña’ i lahialeñey ao nikoike ty hoe:
Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
15 O roandriañeo, akore ty anoa’ areo zao? Ondaty hambam-bintañe ama’ areo zahay, minday talily soa ho anahareo, hitaroñe ty hiambohoa’ areo o raha tsy jefa’e retiañe ho mb’aman’ Añahare veloñe, i namboatse i likerañey naho ty tane toy naho i riakey vaho ze he’e ama’e ao.
na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
16 Toe nado’e hañavelo amy ze homba’e o mpirofoko amo tariratse taoloo.
Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
17 Fe tsy nenga’e tsy ho amam-pitalily, le tolora’e hasoa naho ampahavia’e orañe boak’ andindìñe ao naho vole an-tsam-pamokarañe vaho anjotsoa’e mahakama naho hafaleañe mahaeneñe amo arofon-tikañeo.
Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
18 Fe didý tsy nahasebañe i lahialeñey hisoroñe am’ iereo i saontsy zay.
Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
19 Lonea amy zao ty Jiosy ila’e boak’ Antiokia naho e Ikaonioma nitrobo i lahialeñey, nametsa-bato amy Paoly le kinovovo’ iereo alafe’ i rovay ey, fa natao t’ie nivetrake.
Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
20 Aa naho niarikoboña’ o mpiama’eo, le niongake re nizilik’ an-drova ao. Ie amy loak’ àndroy, nienga rekets’ i Barnabasy le nomb’e Derbe mb’eo,
Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
21 nitaroñe i talili-soay amy rovay, nampivangongo o mpiòkeo, le nibalike mb’e Listra naho e Ikaonioma vaho Antiokia mb’eo,
Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
22 nañafatratse ty arofo’ o mpiòkeo, nandrisike iareo hitoloñe am-patokisañe, ami’ty hoe: Lako hasotry ty hisorohañe hahafizilihan-tika amy Fifehean’ Añaharey.
Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
23 Le nanendre mpifehe amy Fivory iaby rey naho nihalaly an-dilitse, ie nonjone’ iareo amy Talè natokisa’ iareoy.
Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
24 Niranga i Pisidia iereo, le nipok’ e Pamfilià añe;
Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
25 nitaroñe i tsaray e Perga vaho nizotso mb’e Atalìa mb’eo.
Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
26 Hirik’ ao le nijon-dakañe mb’e Antio­kia añe, amy nanolo­rañe iareo an-kasoan’ Añahare i fitoroñañe nihenefa’ iareoiy.
Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
27 Ie nivotrak’eo, le natonto’ iareo i Fivoriy vaho nitalily ze hene nanoen’ Añahare añam’ iereo naho ty nanokafa’e lalañe amo kilakila ondatio.
Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
28 Aa le nitam­batse ela amo mpiokeo iereo.
Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.

< Asan'ny Apostoly 14 >