< 3 Jaona 1 >
1 I Zokey, Ho an-drañeko Gaio, ikokoako an-katò.
Mzee, kwa Gayo mpenzi, ninayempenda katika kweli.
2 O rañetse, mitat’azo iraho, lonike t’ie hiraorao naho ho jangañe, mira amo fanintsiñan’ arofo’oo.
Mpendwa, nakuombea ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema, kama vile roho yako inavyofanikiwa.
3 Akore ty hafalean-troko, te niloneak’ atoy o rolongoo nitaroñe ty hatò ama’o ao, ty fañaveloa’o an-katò.
Maana nilifurahi sana wakati nilipoambiwa na ndugu waliokuja na kutoa ushuhuda juu ya kweli yako, kama vile unavyoenenda katika kweli.
4 Tsy eo ty mahaehak’ ahy mandikoatse zao, t’ie mahatsanoñe te mañavelo an-katò o anakoo.
Sina furaha kubwa zaidi ya hii, kusikia kwamba watoto wangu wanatembea katika kweli.
5 O rañetse, migahin-drehe amo hene fañimbà’o an-drolongoo antsak’ amo ambahinio.
Mpendwa, unaenenda kwa uaminifu unapowahudumia ndugu na wageni,
6 Fa nitalilie’ iareo añatrefa’ i Fivoriy ty fikokoa’o. Aa le mahasoa azo t’ie ampionjone’o mañeva an’Andrianañahare,
ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. Unafanya vizuri kuwasafirisha katika safari zao kwa namna ambayo inampendeza Mungu.
7 amy te i Tahina’ey ty niavota’ iareo mb’eo tsy nandrambe ndra inoñ’ inoñe amo kilakila ondatio.
Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa Mataifa.
8 Aa le mete aman-tika ty mañimba ondaty hoe zaio, hitraofan-tika fitoloñe ami’ty hatò.
Hivyo, tunatakiwa kuwakaribisha watu kama hawa, ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli.
9 Nisokireko i Fivoriy, fe tsy mandrambe ty enta-tika t’i Diotrefa, ie te ho mpiaolo añivo’ iereo.
Nililiandikia kusanyiko jambo fulani, lakini Diotrofe, anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao, hakubaliani na sisi.
10 Aa naho mb’eo iraho le hampanohineko aze o sata anoe’eo ie manambaitambaiñ’ antika. Mbore tsy mahaeneñe aze, kanao mitoky tsy handrambe o rahalahio, naho sebañe’e o te hanao zaio, toe aitoa’e amy Fivoriy.
Hivyo, kama nikija nitayakumbuka matendo yake anayoyafanya, jinsi anavyosema maneno mabaya kinyume nasi. Hajaridhika na matendo haya, yeye mwenyewe hawapokei ndugu. Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao ndugu na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
11 O rañetse, ko mitsikombe ty raty fa ty soa. Boak’ aman’ Añahare ty manao soa; tsy nahaisak’ an’ Andrianañahare ty mpanao raty.
Mpenzi, usiige kilicho kibaya, bali iga kilicho chema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; na yeye atendaye mabaya hajamwona Mungu.
12 Hene mitalily soa i Demetrio, naho ty hatò, naho onjone’ay amy taro’aiy vaho fohi’o te to ty taro’ay.
Demetrio ameshuhudiwa na wote na kweli yenyewe. sisi pia ni mashahidi, na unajua kuwa ushahuhuda wetu ni wa kweli.
13 Maro ty ho nisokirako, fe tsy teako t’ie an-taratasy ndra rano-mainte te sokireñe.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino.
14 Misalala hahatrea azo te aniany, hifañòhahohàn-tika laharañ’ an-daharañe. Hanintsiñe ama’o. Mañontane azo o rañetseo. Añontaneo an-tahinañe o rañetseo.
Bali ninatarajia kukuona hivi karibuni, na tutaongea nawe ana kwa ana. Amani iwe pamoja nawe. Marafiki wanakusalimu. Wasalimu marafiki kila mmoja kwa jina lake.