< 2 Timoty 3 >

1 Rendreho te ho tondroke an-tsa sehanga’e añe ty hasotriañe.
Lakini yakupasa ufahamu jambo hili, kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari.
2 Le ho mpikoko-teña naho mpitea vola ondatio, hibohaboha, hirengevoke, hiteratera, hanjehatse roae, tsy hañandriañe, tsy ho aman-kasy,
Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio watakatifu,
3 tsy ho aman-katea, tsy handrae raven-de, ho mpañinje, tsy maha-lie-batañe, tsy mirèke, mpa­lain-kasoa,
wasio na upendo, wasiopenda kupatanishwa, wasingiziaji, wasiozuia tamaa zao, wakatili, wasiopenda mema,
4 mpifotetse, mpanao ty tsy nahi’e, mpi­ebotsebotse, mpitea ty mahafalefale fe tsy mpikoko an’ Andrianañahare,
wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mungu:
5 misare te aman-Kake f’ie mandietse ty hao­zara’e. Iholiaro!
wakiwa na mfano wa utauwa kwa nje, lakini wakizikana nguvu za Mungu. Jiepushe na watu wa namna hiyo.
6 Am’ iereo ty mipiapia an-kivoho ao hitsepake ty rakemba sere­tse milogologo hakeo naho avio­vio’ ty drao raty,
Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa mbaya.
7 nainai’e mioke, fa le lia’e tsy maharendreke ty hatò.
Wakijifunza siku zote lakini kamwe wasiweze kufikia ujuzi wa kweli.
8 Hambañe amy nitambolitritria’ i Jana naho i Jambra i Mosèy, ty andiera’ iretia ty hatò; ondaty maleo-betsevetse; zoeñe koake tsy amam-patokisañe.
Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.
9 Tsy hiraorao, fa halange amy màroy t’ie tsivokatse, manahake ty nizoeñe amy nitsaraeñe rey.
Lakini hawataendelea sana, kwa sababu upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama ulivyokuwa dhahiri upumbavu wa hao watu wawili.
10 F’ie nañorike i fañòhakoy, ty satan-kaveloko, ty firefeako, ty fatokisako, ty fifeahako, ty fikokoako, ty fahaliñisako,
Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu, mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo, ustahimilivu,
11 ty fampisoañañe, ty faloviloviañe manahake i nitendreke amako e Antioka naho e Ikonioma naho e Listra añe rezay—Akore o samporerahañe nifeahakoo, fe rinomba’ i Talè amy iabiy.
mateso na taabu, yaani mambo yote yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Listra, mateso yote niliyostahimili, lakini Bwana aliniokoa katika hayo yote.
12 Eka, toe fonga ho samporeraheñe ze te hañorike i Hake am’ Iesoà Norizañey,
Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Kristo Yesu atateswa.
13 fe hiharaty avao ondaty lo-tserekeo naho o mpamorekeo; mamañahy mbore ifañahiañe.
Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
14 Ihe ka, toloño o nioha’o naho niantofa’oo, fohiñe o nandrendreha’o azeo,
Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza hayo kutoka kwa nani,
15 naho te nifohi’o boak’ amy naha’ ajaja azoy o Sokitse Masiñe mete mampahihitseo, hitaoñe azo mb’ am-pandrombahañe t’ie miato am’ Iesoà Norizañey.
na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.
16 Nikofòn’ Añahare ze hene Sokitse Masiñe, le mahasoa ami’ty fañòhañe, fañendahañe, fañitiañe vaho fanoroan-kavantañañe,
Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki,
17 hahafonirañe ondatin’ Añahareo ho veka’e amy ze fitoloñan-tsoa iaby.
ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.

< 2 Timoty 3 >