< 2 Tesaloniana 1 >
1 I Paoly naho i Silasy vaho i Timoty, Ho amy Fivori’ o nte Tesalonika aman’ Añahare Raen-tika vaho i Talèntika Iesoà Norizañeio:
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
2 Hasoa naho Fañanintsiñe ama’ areo boak’ aman’ Añahare Rae naho i Talè Iesoà Norizañey.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Andriañe’ay nainai’e nahareo ry longo aman’ Añahare fa mañeva, amy te vata’e mitombo ty fatokisa’ areo vaho mitolom-pihavelo ty fifampikokoa’ areo,
Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka.
4 ie ty isengea’ay amo Fivorin’ Añahareo, toe ty fifeaha’ areo naho ty fatokisa’ areo amo fonga fampisoañañe naho faloviloviañe vavè’ areoo,
Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
5 ze toe mamente ty fahiti-tom-pizakan’ Añahare, te volilieñe mañeva i Fifehean’ Añaharey nahareo, ie toe ampisoañeñe.
Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
6 Ty havantañan’ Añahare ty andilova’e o mañembetse anahareo,
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7 naho hampanintsiñe anahareo nivolevolèñe vaho zahay, ami’ty fisodeha’ Iesoà Talè andindìñe eñe rekets’ o anjeli’eo añ’afo mibebañe ao,
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
8 hamalea’e an-tsotry ze tsy mahafohiñe an’ Andrianañahare, ie tsy mañorike i talily soa’ i Talèntika Iesoà Norizañeiy,
Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
9 fa ho liloveñe am-pimongorañe nainai’e lavitse ty fiatrefa’ i Talè naho ty enge’ i haozara’ey, (aiōnios )
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
10 ie mitotsake atoy ho rengèñe amo noro’eo vaho hifalea’ o hene mpiatoo amy andro zay, amy te natokisa’ areo i nitaroña’aiy.
siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
11 Le zao ty ihalalia’ay nainai’e ho anahareo, t’ie ho volilien’ Añaharen-tika te hañeva i fikanjiañey naho ho henefa’e ze hene fisalalan-kasoa naho fitoloñam-patokisañe an-kaozarañe,
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
12 soa te honjoneñe ama’ areo ty tahina’ Iesoà Talèntikañey, vaho inahareo ama’e ao, ty amy fatarihan’ Añaharen-tika naho i Talè Iesoà Norizañeiy.
Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.