< 2 Samoela 8 >
1 Ie añe, linafa’ i Davide o nte-Pilistio le navoho’e ambane vaho tinava’ i Davide am-pità’ o nte Pilistio ty renen-drova’ iareo.
Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.
2 Linafa’e ka o nte-Moabeo le zinehe’e an-taly, ie nampibaboheñe an-tane eo; nanjehe taly roe ho zamañe, le nitana’e ho veloñe ty taly raike. Aa le nitoroñe i Davide o nte-Moabeo, nañenga ama’e.
Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.
3 Linafa’ i Davide ka t’i Kadadetsere ana’ i Rekobe, mpanjaka’ i Tsobà, amy nionjona’e mb’ an-tsaka Eofrata mb’eo hampijadoñe ty fifehea’e.
Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati.
4 Tinava’ i Davide ama’e ty mpiningi-tsoavala arivo-tsi-fiton-jato, naho lahindefoñe ro’ ale; le nanoe’ i Davide fira-sintake iaby o soavalan-tsareteo naho tsy ty zato nahaja’e ho an-tsarete zato.
Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.
5 Aa ie pok’eo o nte-Arame boake Damasek’ añeo hañolotse i Kadadetsere mpanjaka’ i Tsobà, le zinevo’ i Davide ty ro-ale-tsi-ro-arivo lahindefo’ o nte-Arameo.
Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
6 Nampipoha’ i Davide e Arame’ i Damasek’ ao ty mpirai-lian-dahindefoñe naho nanoeñe mpitoro’ i Davide o nte-Arameo, vaho nañenga ama’e. Tinolo’ Iehovà fandreketañe amy ze nomba’e iaby t’i Davide.
Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
7 Rinambe’ i Davide ze fikalan-defo volamena amo mpitoro’ i Kadadetsereo vaho nasese’e e Ierosalaime añe.
Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
8 Le nangalà’ i Davide torisike tsifotofoto ty Betà naho i Berotae, rova’ i Kadadetsere.
Kutoka miji ya Beta na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.
9 Aa ie jinanji’ i Toy, mpanjaka’ i Kamate te fonga zinevo’ i Davide ty valobohò’ i Kadadetsere,
Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
10 le nampihitrife’ i Toy amy Davide mpanjaka ty ana’e Iorame, hañontane aze naho hitata aze ty amy nialia’e i Kadadetsere naho nahagioke; fa nimpialy amy Toy t’i Kadadetsere, le nandesa’ Iorame fanake volafoty naho fanake volamena vaho fanake torisike.
akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
11 Nengae’ i Davide mpanjaka am’ Iehovà izay, mindre amo volafoty naho volamena navi’e boak’ amo hene fifeheañe nampiambanea’eoo:
Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:
12 boak’ Arame naho i Moabe naho amo ana’ i Amoneo naho amo nte-Pilistio naho amy Amaleke vaho amo nikopaheñe amy Kadadetsere, ana’ i Rekobe, mpanjaka’ i Tsobàio.
yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
13 Nahazo asiñe t’i Davide te nimpoly amy nandafañe o nte-Arameo am-bavatanen-tsira ao, ondaty rai-ale-tsi-valo-arivo.
Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
14 Nampipoha’e mpirai’ lia t’i Edome, toe nitsitsihe’e mpirai-lia ty Edome vaho hene natao mpitoro’ i Davide o nte-Edomeo. Natolo’ Iehovà amy Davide ty fandreketañe ndra aia’aia ty nomba’e.
Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. Bwana alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.
15 Nifelehe’ i Davide t’Israele iaby naho nizaka ze hene ondati’e an-kavantañañe naho an-kavañonañe.
Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
16 Ioabe ana’ i Tseroia ty nifehe i valobohòkey; naho mpamolily t’Iehosafate, ana’i Akilode;
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
17 mpisoroñe t’i Tsadoke ana’ i Akitobe naho i Akimelek’ ana’ i Abiatare; naho mpitan-tsokitse t’i Sereià;
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;
18 naho mpifehe’ o nte-Keretìo naho o nte-Peletìo t’i Benaià, ana’ Iehodaià; vaho talèm-pifehe o ana’ i Davideo.
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.