< 2 Petera 1 >
1 I Simeona Petera, fetrek’oro naho Firàhe’ Iesoà Norizañey, Ho amo fa nandrambe fatokisañe mirai-hasiñe ami’ty anay, añamy havantañan’ Añahare naho i Mpandrombak’ antikañeio—Iesoà Norizañey:
Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:
2 Hasoa naho fañanintsiñe hiregorego ama’ areo handrendrehañe an’Andrianañahare naho Iesoà Talèntikañey.
Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
3 Oniñe te i haozaran’ Añaharey ty nanolotse antikañe ze hene paiaeñe ami’ty haveloñe toy naho ami’ty fiambenañe Hake am-paharendrehañe to ie nikanjy antika ho ami’ty enge’e naho ty hasoa’ey.
Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
4 Ie ro nanolora’e an-tika o fampitamañe jabajaba naho sarotseo, soa t’ie ama’e ro hitraok’ ami’ty vintan’ Añahare naho fa nibolitits’ amo drao-lo’ ty voatse toio.
Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.
5 Ie amy zay, milozoha hatovon-kavañonañe ami’ty fatokisa’areo naho hilala amy havañonañey,
Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa;
6 naho filieram-batañe amy hilalay naho fahaliñisañe amy filieram-batañey naho fiasian-Kake amy fahaliñisañey
katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
7 naho firañetañe amy fiasiañey vaho fikokoañe amy firañetañey.
katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.
8 Aa ie ama’ areo vaho miraorao, ro isebaña’e tsy halejolejo tsy ho po-bokatse ami’ty faharendrehañe i Talèntika Iesoà Norizañey.
Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
9 F’ie tsy ama’e, le rìpeke, toe fey, amy te nandikofa’e ty nañeferañe aze amo hakeo taoloo.
Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.
10 Ie amy zao ry longo, imaneo an-joton-tro ty hañatò i fikanjiañe naho fijoboñañe anahareoy, amy t’ie mitoloñe am’ irezay, le lia’e tsy hitsikapy,
Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe,
11 vaho hatobake ama’areo ty fizilihañe am-Pifehea-tsy modo’ i Talè naho Mpañàha an-tika, Iesoà Norizañey. (aiōnios )
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
12 Aa le tsy hapoko t’ie ho tiahieñe am’irezay ndra te fa fohi’ areo vaho ijohaña’ areo ami’ty hatò ze ama’ areo henaneo.
Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo.
13 Eka ataoko mañeva ty hañetseketseke ty fitiahia’ areo, izaho mbe an-kiboho’ ty tsandriñe atoañe,
Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu,
14 fa apotako te hadoko aniany ty kibohotse toy, amy nampalangesa’ i Talèntika Iesoà Norizañey amakoy.
kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu.
15 Aa le imaneako te izaho fa nonjoneñe añe, ty hahatiahia’areo nainai’e irezay.
Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.
16 Tsy nañorike talily finoromporom-pañahy te nampandrendreha’ay ama’areo ty haozarañe naho fitotsaha’ i Talèntika Iesoà Norizañey, f’ie valolombeloñe nahaisake i enge’ey,
Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake.
17 ie nandrambe hasiñe naho engeñe aman’ Añahare Rae, naho niheo ama’e i fiarañanañañe boak’ amy Engem-bolonahetseiy, nanao ty hoe: Intoy ty Anak’ isoko, O toe norokoo.
Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.”
18 Tsinano’ay i fiarañanañañe boak’ andindìñe ey, t’ie nindre ama’e amy vohitse miavakey.
Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.
19 Toe aman-tika o tsaram-pitoky niventeñeo, le mahasoa anahareo ty hitsendreñe, hoe t’ie jiro mireandreañe am-pimoromoroñañe ao, ampara’ te manjirike i àndroy vaho mionjoñe i misaron-kazavañey.
Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu.
20 Le maharendreha hey añ’arofo ao te tsy amy sokitse masiñey ty fitokiañe niboak’ ami’ty fisafiria’ ondaty.
Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.
21 Amy te mbe lia’e tsy nanoeñe ami’ty zoton-tro’ ondaty ty fitokiañe, fe ondaty nentoe’ i Arofo-Masiñeio t’i ninday taroñe boak’ aman’ Añahare.
Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.