< 2 Mpanjaka 8 >
1 Ie amy zao nisaontsy ty hoe amy rakemba amañ-anadahy nampisotrafe’e t’i Elisà: Miavota, le mañaveloa rekets’ o añ’anjomba’oo le mitaveaña amy ze mete itaveaña’o, fa nikaike san-kerè t’Iehovà; vaho hivotrak’ an-tane atoy fito taoñe izay.
Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
2 Aa le niongake i rakembay ty amy saontsi’ indatin’ Añahareiy vaho nienga rekets’ o añanjomba’eo nitaveañe fito taoñe an-tane’ o nte-Pelistio.
Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
3 Ie nimodo i fito taoñey le nimpoly boak’ an-tane’ o nte-Pelistio i rakembay; naho nimb’eo hitoreo i anjomba naho tane’ey amy mpanjakay.
Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
4 Ie amy zao, nisaontsy amy Gekazý mpitoro’ indatin’ Añaharey i mpanjakay, ami’ty hoe: Ehe, atalilio amako, ze he’e ra’elahy nanoe’ i Elisà.
Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
5 Natalili’e amy mpanjakay amy zao ty nampihereña’e ho veloñe i nivetrakey, vaho ingo i rakemba nampisotrafeñe i ana-dahi’eiy, hitoreo i anjomba’e naho i tane’ey amy mpanjakay. Le hoe t’i Gekazý: O ry talèko mpanjaka, intoy i rakembay, ingo i ana-dahi’e nampihereñe’ i Elisà ho veloñey.
Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
6 Aa ie nañontane i rakembay i mpanjakay, le nitalilia’e. Aa le tinendre’ i mpanjakay ty mpifehe, ami’ty hoe: Hene ampolio ama’e o niazeo, naho ty voka’ i tete’ey sikal’ amy andro nienga’e i taney am-para henane.
Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
7 Nivotrake e Damesèke t’i Elisà, ie nisiloke t’i Benehadade mpanjaka’ i Arame, le natalily ama’e ty hoe: Fa pok’ eo indatin’Añaharey.
Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
8 Le hoe i mpanjakay amy Kazaele; endeso ravoravo am-pità’o le akia mifañaoña amy ‘ndatin’Añaharey, vaho ampañontaneo aze t’Iehovà, ty hoe: Hibodañe ami’ ty areteko toy hao iraho?
Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
9 Aa le nimb’eo t’i Kazaele hifañaoña’e reketse ravoravo am-pita’e naho ze hene raha soa’ i Damesèke, kilankan-drameva efapolo, vaho nimb’eo re nijohañe añatrefa’e, nanao ty hoe: Nañirak’ ahy i ana’o Benehadade mpanjaka’ i Aramey hanao ty hoe: Ho jangañe hao iraho amo aretekoo?
Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
10 Le hoe t’i Elisà tama’e, Akia, isaontsio: Toe hibodan-drehe; fe nitoroa’ Iehovà t’ie toe hihomake.
Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
11 Le nampifahara’e fiatreke aze ty lahara’e am-para’ t’ie nisalatse; vaho nirovetse indatin’ Añaharey.
Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
12 Le hoe t’i Kazaele: Ino o iroveta’oo ry talèko? le hoe ty natoi’e: Amy te apotako ty hankàñe hanoe’o amo ana’ Israeleo; ho forototoe’o o rova’ iareoo, ho lafae’o am-pibara o ajalahi’eo, hadasi’o ho demoke o keleia’eo vaho ho riate’o o rakemba mivesatseo.
Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
13 Fa hoe t’i Kazaele: Ino ty mpitoro’o? amboa hao t’ie hanao o halosorañe zao? le hoe t’i Elisà: Fa natoro’ Iehovà amako te ihe ty ho mpanjaka’ i Arame.
Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
14 Aa le nienga i Elisà re, niheo amy talè’ey mb’eo vaho hoe re ama’e: Ino ty asa’ i Elisà tama’o? Le hoe ty natoi’e: Tinaro’e amako t’ie toe hibodañe.
Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
15 Ie te loak’ andro, nandrambe lamba mateveñe, le nalo’e an-drano ao, naho nalama’e an-tarehe’e nametrek’ aze vaho nifehe nandimbe aze t’i Kazaele.
Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
16 Ie tan-taom-paha-lime’ Iorame ana’ i Akabe mpanjaka’ Israele, le niorotse nifehe t’Iehorame ana’ Iehosafate mpanjaka’ Iehodà.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
17 Ie niajalahy telopolo taoñe roe amby te niorotse nifehe; le nifehe valo taoñe e Ierosalaime ao.
Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
18 Nañavelo an-tsata’ o mpanjaka’ Israeleo re, manahake ty nanoe’ i anjomba’ i Akabey; amy te nitañanjomba’e ty anak’ ampela’ i Akabe vaho nanao haloloañe am-pivazohoa’ Iehovà.
Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
19 Fe tsy narotsa’ Iehovà t’Iehodà, ty amy mpitoro’e Davidey, fa nafè’e ama’e te hitoroa’e failo hirehetse nainai’e amo tarira’eo.
Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
20 Niola ambanem-pità’ Iehodà tañ’ andro’e t’i Edome vaho nañorem-panjaka hifehe iareo.
Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
21 Aa le nitsake mb’e Tsaire mb’eo t’Iorame rekets’ o sarete’e iabio; le nitroatse haleñe naho zinevo’e o nte-Edome niarikoboñe azeo naho o mpifehe sareteo vaho nitriban-day mb’ an-kiboho’e mb’eo ondatio.
Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
22 Fe mbe niola ambanem-pità’ Iehoda pak’ androany t’i Edome. Niola ka t’i Libnà henane zay.
Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
23 Aa naho o fitoloña’ Iorameo naho o raha nanoe’e iabio; tsy fa sinokitse am-bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodao hao?
Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
24 Nitrao-piròtse aman-droae’e t’Iorame, le nalentek’ aman-droae’e an-drova’ i Davide ao; vaho nandimbe aze ho mpifehe t’i Ahkazià ana’e.
Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 Tamy taom-paha-folo-ro’ ambi’ Iorame ana’ i Akabe mpanjaka’ Israeley le niorotse nifehe t’i Ahkazià ana’ Iehorame mpanjaka’ Iehodà.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
26 Roapolo-ro’amby taoñe t’i Ahkazià te namototse nifehe; le nifehe rai-taoñe e Ierosalaime ao; Atalià, anak’ ampela’ i Omrý mpanjaka’ Israele, ty tahinan-drene’e.
Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
27 Nañavelo an-tsatan’ anjomba’ i Akabe re, nanao haloloañe am-pivazohoa’ Iehovà, manahake ty nanoe’ i anjomba’ i Akabey, amy t’ie vinanton’ anjomba’ i Akabe.
Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
28 Ie nindre am’ Iorame ana’ i Akabe hialy amy Kazaele mpanjaka’ i Arame e Ramote-gilade añe; le nahafere Iorame o nte-Arameo.
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
29 Nimpoly mb’e Iezreele ao t’Iorame mpanjaka, himelaña’e amo fere natolo’ o nte-Arameo aze e Ramà añeo, ie nialy amy Kazaele mpanjaka’ i Arame. Le nizotso mb’eo hitilike Iehorame ana’ i Akabe e Iezreele ao amy hasilo’ey t’i Ahkazià ana’ Iehorame mpanjaka’ Iehodà.
Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.