< 2 Mpanjaka 5 >
1 Ni-ondaty ra’elahy aman-talè’e t’i Naamane, mpifeleke ty valobohò’ i Arame, nanan-kasy amy te tinolo’ Iehovà fandrebahañe ho a i Arame; fanalolahy nahasibeke ondatio, f’ie niangamae.
Wakati huu, Naamani alikuwa jemadari wa jeshi la mfalme wa Aramu. Alikuwa mtu mkuu mbele ya bwana wake na aliyeheshimiwa sana, kwa sababu kupitia kwake, Bwana alikuwa amewapa Aramu ushindi. Alikuwa askari shujaa, lakini alikuwa na ukoma.
2 Teo te niakatse am-pirimboñañe o nte-Arameo naho ninday ty ajaja ampela an-drohy boak’ an-tane’ Israele añe, ie ty niatrake ty tañanjomba’ i Naamane.
Siku hizo vikosi kutoka Aramu vilikuwa vimekwenda na vikawa vimemteka msichana kutoka Israeli, naye akamtumikia mkewe Naamani.
3 Le hoe re amy rakemba talè’ey, Lonike te tamy mpitoky e Somerone añey ty talèko, le ho nijangañ’ amy haangamae’ey.
Akamwambia bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake.”
4 Aa le nimb’eo re nitalily aman-talè’e ty hoe: Hoe zao naho ty hoe ty natalili’ i anak’ ampatañe boak’ an-tane’ Israeley.
Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.
5 Le hoe ty mpanjaka’ i Arame. Akia, henaneo, le hañitrifako taratasy ty mpanjaka’ Israele. Le nienga re ninday talenta volafoty folo naho bogady volamena eneñ-arivo vaho fiovan-tsaroñe folo.
Mfalme wa Aramu akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu, na mivao kumi ya mavazi.
6 Le nendese’e mb’amy mpanjaka’ Israeley añe i taratasy nanao ty hoe: Ie henaneo, ami’ty fiavi’ ty taratasy toy ama’oy, ingo fa niraheko mb’ama’o t’i Naamane mpitoroko, hañafaha’o i haangamae’ey.
Barua aliyopelekea mfalme wa Israeli iliandikwa hivi: “Pamoja na barua hii ninamtuma mtumishi wangu, Naamani, kwako ili uweze kumponya ukoma wake.”
7 Aa ie namaky i taratasiy i mpanjakay le rinia’e o siki’eo nanao ty hoe, Andrianañahare v’iraho hahafate naho hahaveloñe, te nirahe’ ondatio amako t’indaty toy hañafahañe ty haangamae ama’e? Aa le isafirio naho oniño t’ie manao lie-drokoñe amako.
Mara mfalme wa Israeli alipomaliza kuisoma ile barua, akararua mavazi yake na kusema, “Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha ugomvi nami!”
8 Aa ie jinanji’ i Elisà, ondatin’ Añahare, te nandriatse ty saro’e i mpanjakay, le nirahe’e mb’amy mpanjakay ty hoe: Akore ty nandriata’o saroñe? Ampombao mb’ amako mb’ etoa hahafohina’e te amam-pitoky t’Israele.
Elisha mtu wa Mungu aliposikia kwamba mfalme wa Israeli alikuwa amerarua mavazi yake, akamtumia ujumbe huu: “Kwa nini umerarua mavazi yako? Mwamuru mtu huyo aje kwangu, naye atajua ya kuwa yuko nabii katika Israeli.”
9 Aa le nimb’eo t’i Naamane rekets’ o soavala’eo, naho i sarete’ey, vaho nijohañe an-dala’ i Elisà eo.
Kwa hiyo Naamani akaenda, akiwa na farasi zake na magari yake, na kusimama mlangoni mwa nyumba ya Elisha.
10 Nañitrifa’ i Elisà ìrake nanao ty hoe: Akia, misasà im-pito am’ Iordaney, le ho jangañe ty sandri’o vaho halio.
Elisha akamtuma mjumbe kumwambia, “Nenda uoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itapona, nawe utatakasika.”
11 Fe niavotse mb’eo t’i Naamane, le hoe re amy hatorifi’ey: Inay ie, nataoko te tsy mete tsy ho niakatse amako, ho nijohañe eo nikanjy ty tahina’ Iehovà Andrianañahare’e, le hañelahela fitañe ambone’ i rarey hañafaha’e i haangamaey.
Lakini Naamani akaondoka akiwa amekasirika, akasema, “Hakika nilidhani kwamba angetoka nje, asimame na kuliitia jina la Bwana Mungu wake, na kuweka mkono wake juu ya mahali pagonjwa, aniponye ukoma wangu.
12 Tsy lombolombo’ ze hene rano’ Israele hao ty Amanà naho ty Par’pare, oñe e Damesèk’ ao? Tsy hamake hisasa ami’ty raik’ am’ iereo haliovako? Le nitsambolitio’e fa nitorìtotse.
Je, Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora zaidi kuliko mito yoyote ya Israeli? Je, nisingeweza kuoga ndani ya hiyo mito na kutakasika?” Basi akageuka na kuondoka kwa hasira kuu.
13 Niharinea’ o mpitoro’eo nanao ty hoe. O roaeko, naho nampanoe’ i mpitokiy raha ra’elahy, tsy ho nanoe’o? Àntsake t’ie nanao ty hoe: Misasà, halio?
Watumishi wa Naamani wakamwendea na kumwambia, “Baba yangu, kama huyo nabii angekuambia kufanya jambo lililo kubwa, je, usingelifanya? Je, si zaidi sana basi, anapokuambia, ‘Oga na utakasike!’”
14 Aa le nizotso mb’eo re nilipotse im-pito am’ Iordaney, ty amy saontsi’ indatin’ Àñahareiy; le nibalike indraike ho hambañe ami’ty nofon’ anak’ ajaja ty nofo’e, vaho nalio,
Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa mvulana mdogo.
15 le nibalike mb’am’ indatin’ Añaharey, ie naho o mpindre-lia ama’e iabio; nimbeo re nijohañe añatrefa’e, nanao ty hoe: Fohiko henaneo te tsy aman-Añahare ty tane toy naho tsy e Israele ao avao. Ie amy zao, ehe, andrambeso ravoravo amo mpitoro’oo.
Kisha Naamani na wahudumu wake wote wakarudi kwa yule mtu wa Mungu. Akasimama mbele yake na kusema, “Sasa najua kwamba hakuna Mungu katika ulimwengu wote isipokuwa katika Israeli. Tafadhali sasa upokee zawadi kutoka kwa mtumishi wako.”
16 Fa hoe re: Kanao veloñe t’Iehovà ijohañako, izaho tsy handrambe. Ndra te nosihe’e handrambe, nifoneñe.
Nabii akajibu, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ninamtumikia, sitapokea kitu hata kimoja.” Ingawa Naamani alimsihi sana, yeye alikataa.
17 Le hoe t’i Naamane, Miambane ama’o, tsy hatolotse amo mpitoro’oo hao ty tane ho entam-borìke roe? Amy te le lia’e tsy hañenga horoañe ndra hanao soroñe amo ‘ndrahare ila’eo o mpitoro’oo henane zao naho tsy am’ Iehovà avao.
Naamani akasema, “Ikiwa hutapokea, tafadhali mtumishi wako na apewe udongo kiasi cha mzigo wa kuweza kubebwa na punda wawili, kwa sababu mtumishi wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa na dhabihu kwa mungu mwingine isipokuwa Bwana.
18 Fe amo raha zao, ehe, te hapo’ Iehovà ty hakeom-pitoro’o, te ie mimoak’ an-kiboho’ i Rimone ty talèko hitalaho naho manazok’ an-tañako hibokoboko an-kiboho’ i Rimone ao; te hado’ Iehovà i tahi’ o mpitoro’ooy, izaho miambane an-kiboho’ i Rimone ao.
Lakini Bwana na amsamehe mtumishi wake kwa kitu hiki kimoja: Wakati bwana wangu atakapoingia kwenye hekalu la Rimoni ili kusujudu, naye akiwa anauegemea mkono wangu, nami nikasujudu huko pia, wakati nitakaposujudu ndani ya hekalu la Rimoni, Bwana na amsamehe mtumishi wako kwa ajili ya jambo hili.”
19 Le hoe re ama’e Akia, an-kanintsiñe. Aa ie nisitake eroa hoek’ eo,
Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,
20 le hoe ty natao’ i Gekazý mpitoro’ i Elisà, indatin’ Añaharey, Inge te napo’ i talèko t’i Naamane nte-Arame, ie tsy nandrambe am-pità’e o nendese’eo. Aa kanao veloñe t’Iehovà, hihitrihitry mb’ama’e iraho hangalak’ ama’e.
Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akajiambia mwenyewe, “Bwana wangu amemwachia kirahisi sana Naamani, huyu Mwaramu, kwa kutokupokea kutoka kwake vile alivyovileta. Hakika kama Bwana aishivyo, nitamkimbilia na kupata kitu kutoka kwake.”
21 Aa le niheañe’ i Gekazý t’i Naamane, le ie niisa’ i Naamane t’ie nañeañe aze, le nizotso an-tsarete’e hifañaoñe ama’e, vaho hoe re: manintsiñe hao?
Hivyo Gehazi akaharakisha kumfuatilia Naamani. Naamani alipomwona akikimbia kumwelekea, akashuka chini kutoka kwenye gari lake na kwenda kumlaki. Akauliza, “Je, mambo yote ni sawa?”
22 Le hoe re, Mbe soa, fa nañirak’ ahy i talèkoy, hinday ty hoe: Inao, pok’ amako aniany ty ajalahy roe anam-pitoky boak’ am-bohi’ Efraime añe, Ehe, anoloro talenta volafoty naho fiovan-tsiky roe.
Gehazi akajibu, “Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma nikuambie, ‘Vijana wawili kutoka kwa wana wa manabii wamenijia kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tafadhali wape talanta ya fedha na mivao miwili ya mavazi.’”
23 Le hoe t’i Naamane, Aa naho tea’o rambeso talenta roe. Le nañosik’ aze vaho nafato’e an-koroñe roe ao ty talenta volafoty roe mitraok’ ami’ty fiovan-tsaroñe roe naho nampipoha’e ami’ty mpitoro’e roe vaho nendese’ iareo aolo’e mb’eo.
Naamani akasema, “Hakika, chukua talanta mbili za fedha.” Akamsihi Gehazi azipokee, kisha akafunga talanta mbili za fedha katika mifuko miwili pamoja na mivao miwili ya mavazi. Akawapa watumishi wake wawili mizigo hiyo, nao wakaibeba wakitangulia mbele ya Gehazi.
24 Ie avy an-tamboho ey, le rinambe’e am-pità’ iareo o rahao, naho napo’e añ’ anjomba ao; naho nirahe’e mb’ eo indaty rey vaho nienga. Nimoak’ ao re nijohañe añatrefa’ i talè’ey.
Gehazi alipofika kwenye kilima, akavichukua vile vitu kutoka kwa wale watumishi na kuvificha ndani ya nyumba. Akawaaga wale watu, nao wakaondoka.
25 Le hoe t’i Elisà ama’e. Hirik’ aia v’iheo Gekazý? Le hoe re: Tsy nimb’ aia o mpitoro’oo.
Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Elisha bwana wake. Elisha akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakwenda popote.”
26 Aa hoe re tama’e: Tsy nindre ama’o hao ty troko, ie nitolik’ amy sarete’ey indatiy hifanalaka ama’o? Andro handrambesan-drala ke handrambesan-tsikiñe naho tanen’ olive naho tanembahe naho añondry naho añombe naho lahilahy mpitoroñe vaho ampela mpitoroñe hao henaneo?
Lakini Elisha akamwambia, “Je, roho yangu haikuwa pamoja nawe wakati yule mtu aliposhuka kutoka kwenye gari lake ili kukulaki? Je, huu ni wakati wa kupokea fedha au kupokea nguo, mashamba ya mizeituni, mashamba ya mizabibu, makundi ya kondoo na mbuzi, makundi ya ngʼombe, au watumishi wa kiume na wa kike?
27 Aa le hipitek’ ama’o naho amo tiri’oo nainai’e ty haangamae’ i Naamane. Aa le angamae foty mikatsatsaoke re te niavota’e.
Ukoma wa Naamani utakushika wewe na wazao wako milele.” Kisha Gehazi akaondoka mbele ya Elisha, mwenye ukoma, mweupe kama theluji.