< 2 Mpanjaka 21 >
1 Folo-tao-ro’amby t’i Menasè te namototse nifeleke vaho nifehe limampolo-taoñe lime amby e Ierosalaime ao; i Kefezobà ty tahinan-drene’e.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hefziba.
2 Nanao haratiañe am-pivazohoa’ Iehovà re, manahake ty haloloa’ o kilakila’ ondaty rinoa’ Iehovà aolo’ o ana’ Israeleoo.
Alifanya maovu usoni kwa Yahwe, kama machukizo ya mataifa ambayo Yahwe aliyafukuza nje mbele ya wana wa Israeli.
3 Amy te namboare’e indraike o toets’ abo rinotsan-drae’e Kezkiào; le nampitroare’e kitrely t’i Baale, naho nandranjie’e hazomanga manahake ty nanoe’ i Akabe mpanjaka’ Israele; le fonga nitalahoa’e o valobohòn-dikerañeo vaho nitoroña’e.
Kwa kupajenga tena mahala pa juu ambapo Hezekia baba yake alipaharibu, na akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali, akafanya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya, akasujudu kwa nyota zote za mbinguni na kuwaabudu wao.
4 Nandranjie’e kitrely añ’anjomba’ Iehovà, ie nanoe’ Iehovà ty hoe: E Ierosalaime ao ty hampipohako ty añarako.
Manase akajenga madhabahu za kipagani kwenye nyumba ya Yahwe, ingawaje Yahwe aliamuru, “Jina langu litakuwa Yerusalemu daima.”
5 Namboara’e kitrely i valobohòn-dikerañe iabiy, an-kiririsa roe’ i anjomba’ Iehovà eo.
Akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe.
6 Nampirangae’e añ’afo i ana-dahi’ey, naho nañorik’ andro, naho namoreke, naho nitrobo angatse vaho nitoloñe amo jinio; halò-tsereke ty nanoe’e am-pivazohoa’ Iehovà eo, hiviñera’e.
Akamuweka mtoto wake wa kiume kwenye moto; akatazama bao ushirikina na kujishuhulisha pamoja wale ambao wenye pepo wa utambuzi na wale wachawi. Akafanya maovu mengi usoni kwa Yahwe na kuchochea hasira kwa Mungu.
7 Natroa’e i hazomanga rinanji’e ho a i Aserày, amy anjomba nanoe’ Iehovà amy Davide naho amy Selomò, ana’ey, ty hoe, Ami’ty anjomba toy naho e Ierosalaime jinoboko amo hene fifokoa’ Israeleo ty hampipohako ty añarako ho nainai’e donia;
Sanamu ya kuchongwa ya Ashera ambayo aliitnegeneza, akaiweka kwenye nyumba ya Yahwe. Nyumba hii ndiyo ambayo Yahwe alimwambia Daudi na Sulemani mwanawe; alisema: “Ni nyumba hii na katika Yerusalemu, ambayo nimeichagua kutoka makabila yote ya Isaraeli, ambako nitaliweka jina langu milele.
8 le tsy hampirerererèko hienga i tane natoloko an-droae’ iareoy o fandia’ Israeleo naho ambena’ iareo hanoeñe ze hene nandiliako vaho i Hake iaby linili’ i Mosè mpitorokoy.
Sintofanya miguu ya Israeli kushindwa tena nje ya nchi ambayo niliwapa babu zao, kama tu watakuwa makini kutii yale yote niliyowaamuru, na kufuata sheria zote ambazo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.”
9 F’ie tsy hinao’ iereo, le tinao’ i Menasè hanao haloloañe mandikoatse o fifeheañe rinotsa’ Iehovà añatrefa’ o ana’ Israeleoo.
Lakini watu hawakusikia, na Manase akawaongoza kufanya maovu zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli.
10 Le nitsara añamo mpitoky mpitoro’eo t’Iehovà, nanao ty hoe,
Basi Yahwe akaongea na watumishi wake manabii, akisema,
11 Kanao nanoe’ i Menasè o haloloañe zao naho nitolon-katserehañe mandikoatse ty nanoe’ o nte-Amore taolo’eo vaho nampanaña’e tahiñe Iehoda amo hazomanga’eo;
Kwasababu Manase mfalme wa Yuda amefanya haya machukizo, na kutenda maovu zaidi kuliko yote waliyoyatenda Waamori ambao walikuwa mbele yake walikubali, na pia aliwafanya Yuda kuasi kwa sanamu zake,
12 le hoe ty nafè’ Iehovà, Andrianañahare Israele, Akore ty hankàñe hafetsako am’ Ierosalaime naho am’ Iehodà kanao hiñiñiñiñe an-dravembia’e roe ze mahajanjiñe.
kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, akasema hivi: Tazama, nakaribia kuleta uovu juu ya Yerusalemu na Yuda ambayo kila mtu asikiapo kuhusu hilo, masikio yake yote yatang'aa.
13 Ho kazazaheko am’ Ierosalaime ty tali’ i Somerone naho ty vato-polòmbi’ ty anjomba’ i Akabe, vaho ho faopaoheko manahake ty famaoha’ ondaty ty finga’e t’Ierosalaime, ie faopaohe’e naho ababo’e.
Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu; Nitaifuta Yerusalemu safi, kama kufuta sahani, kuifuta na kuifunika juu chini.
14 Le haforintseko ty sehanga’ i lovakoy, naho hatoloko ampità’ o rafelahi’ iareoo; vaho ho fitsindrohañe naho fikopaha’ o fonga rafelahi’eo,
Nitawatupa masalia ya urithi wangu na kuwaweka mikononi mwa maadui zao. Watakuwa nyara na mateka kwa maadui zao wote,
15 ty amo haratiañe nanoe’ iereo am-pahatreavakoo, ie nikaike ty habosehako boak’ amy andro niavotan-droae’ iareo i Mitsraimey pak’ androany.
kwa sababu wamefanya yaliyo maovu usoni kwangu, na kunichochea hasira, tangu siku babu zao walipotoka Misri, hadi leo.”
16 Mbore nampidoandoan-dio maliñe t’i Menasè ampara’ te natsafe’e boak’ an-tsarira’e pak’an-tondohà’e t’Ierosalaime, ho tovo’ ty hakeo’e nampanaña’e tahiñe t’Iehodà, i nanoa’e haloloañe am-pivazohoa’ Iehovày.
Aidha, Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia, hadi alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo. Hii ilikuwa ni kuongeza kwenye dhambi ambayo aliifanya Yuda kuasi, wakati walipofanya uovu mbele za Yahwe.
17 Aa naho o fitoloña’ i Menasè ila’eo, o nanoe’e iabio vaho i hakeo nanoe’ey, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodaoy hao?
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Manase, yote aliyoyafanya, na dhambi ambayo aliyoifanya, je haya hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Yuda?
18 Nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Menasè, naho nalentek’ an-kiririsan’ anjomba’e an-golobo’ i Ozià ao, vaho nandimbe aze nifehe t’i Amone ana’e.
Manase akalala pamoja na babu zake na alizikwa kwenye bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza. Amoni mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.
19 Roapolo-taoñe ro’ amby t’i Amone te niorotse nifeleke, vaho nifehe roe toañe e Ierosalaime ao. I Mesolemetee, ana’ i Karotse nte-Iotebà, ty tahinan-drene’e.
Amoni alikuwa na miaka kumi na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Meshlemethi; alikuwa binti wa Haruzi wa Yotba.
20 Nanao haratiañe ampivazohoa’ Iehovà re manahake i Menasè rae’ey.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama manase baba yake alivyofanya.
21 Le fonga nañaveloa’e ty fañaveloan-drae’e, naho nitoroñe o hazomanga nitoroñen-drae’eo vaho nitalahoa’e.
Amoni alifuata njia zote ambazo baba yake alizotembelea na kuabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu, na kuzisujudia.
22 Naforintse’e t’Iehovà Andrianañaharen-droae’e vaho tsy nañaveloe’e ty lala’ Iehovà.
Akajitenga na Yahwe, Mungu wa baba zake, na hakutembea katika njia ya Yahwe.
23 Nikililia’ o mpitoro’ i Amoneo vaho zinevo’ iareo añ’anjomba’e ao.
Watumishi wa Amoni wakafanya njama dhidi yake na kumuua mfalme kwenye nyumba yake mwenyewe.
24 Vinono’ ondati’ i taneio amy zao ondaty nikinia i Amone mpanjakao le nanoe’ ondati’ i taneio mpanjaka t’Iosia, ana’e, handimbe aze.
Lakini watu wa nchi wakawaua watu wote waliofanya njama dhidi ya mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia mtoto wake kuwa mfalme katika sehemu yake.
25 Aa naho o fitoloñañe nanoe’ i Amone ila’eo, tsy fa sinokits’ amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodaoy hao?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Amoni yale aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
26 Nalentek’ an-kibori’e an-golobo’ i Ozà ao re vaho nandimbe aze nifehe t’Iosià ana’e.
Watu wakamzika kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza, na Yosia mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.